Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

Uchawi upo hata uende kwa wazungu wanaamini pasingekuwa na movies za kichawi.

Namaanisha wazungu asilia sio mbongo unayeishi kwa wazungu.
Vitabu vya dini vyenyewe vimejaa contradictions nikiwawekea hapa hawawezi kuzipangua.
 
Hiyo ni michezo ya akili tu kuna namna ata mimi naweza kukutengeneza ukawa super hero kwa maneno machache tu .
Lakini je, hayo maneno machache kweli yanatafanya kazi na ntakua superhero?
Kwa sababu kuna dawa tunaona watu wanatumia za kupata wanawake na kwa namna furani unaona kweli zinafanya kazi
 
Pia wanaogopa kuacha kuamini uchawi kwa sababu kwenye vitabu vya dini uchawi umetajwa😁

huo ndio ukweli. na hata wazungu zamani walikuwa wanafanya Witch Hunt sababu umetajwa kwenye vitabu vya dini. zamani Ulaya na marekani sheria za kanisa ndizo zilikuwa zinatumika kuendesha Taifa na kuhukumu watu. kama nchi za kiislamu zinavyotumia Quran kuhukumu watu leo hii.

wazungu walipoacha tu kutumia sheria za kanisa baada ya kuelimika na kufanya gunduzi nyingi za kisayansi, ndipo Witch hunt zikakatazwa. waligundua biblia na dini zimejaaa upuuzi

kitabu kilichoandika nyoka anaongea na binadamu kina upuuzi mwingi . hakipaswi kutumika kama sheria
 
Wewe hujui hata uthibitisho ni nini.

Sitaki shombo.

Ukileta shombo nakupeleka ignore list kwa kushusha viwango vya mazungumzo.
Sasa si ndo uthibitisho ulitaka nipige picha au nilete tena maneno kama nyie?? Maana hata na nyie hamjaleta uthibitisho wowote zaidi tu ya maneno
 
Akili ya binadamu ina uwezo wa kutengeneza chochote , shetani ,Mungu, uchawi na chochote kikawa kama kweli, na kikakupata , kinachohitajika apo ni imani na wazo la kuamni kutokea ndani , watu wengi wanacheza kwenye mitego ya frequency za kuamin uchawi bila kujijua na mwisho wa siku wana umba kushindwa mwisho wa siku wanaua ile hali ya kushinda ndani mwao .
 
Naomba nipe namba yako nikupeleke kwenye nyumba moja ipo mbagala. Utalala hapo siku moja tu alafu utakuja kutoa humu ushuhuda utakacho kikuta hapo. Kodi ya nyumba tutakulipia wenyewe.
 
huo ndio ukweli. na hata wazungu zamani walikuwa wanafanya Witch Hunt sababu umetajwa kwenye vitabu vya dini. zamani Ulaya na marekani sheria za kanisa ndizo zilikuwa zinatumika kuendesha Taifa na kuhukumu watu. kama nchi za kiislamu zinavyotumia Quran kuhukumu watu leo hii.

wazungu walipoacha tu kutumia sheria za kanisa baada ya kuelimika na kufanya gunduzi nyingi za kisayansi, ndipo Witch hunt zikakatazwa. waligundua biblia na dini zimejaaa upuuzi

kitabu kilichoandika nyoka anaongea na binadamu kina upuuzi mwingi . hakipaswi kutumika kama sheria
Sure.
 
Uchawi upo hata uende kwa wazungu wanaamini pasingekuwa na movies za kichawi.

Namaanisha wazungu asilia sio mbongo unayeishi kwa wazungu.


 
Naomba nipe namba yako nikupeleke kwenye nyumba moja ipo mbagala. Utalala hapo siku moja tu alafu utakuja kutoa humu ushuhuda utakacho kikuta hapo. Kodi ya nyumba tutakulipia wenyewe.
Ukishaanza kuomba namba umekubali uchawi haupo.

Vinginevyo ungeipata namba kwa uchawi ukampeleka huyo mtu huko Mbagala kwa uchawi pia.

Ukiomba namba hata matapeli wanatumia namba sasa tutajuaje wewe si tapeli tu unataka kupata namba za watu uwatapeli?
 
Akili ya binadamu ina uwezo wa kutengeneza chochote , shetani ,Mungu, uchawi na chochote kikawa kama kweli, na kikakupata , kinachohitajika apo ni imani na wazo la kuamni kutokea ndani , watu wengi wanacheza kwenye mitego ya frequency za kuamin uchawi bila kujijua na mwisho wa siku wana umba kushindwa mwisho wa siku wanaua ile hali ya kushinda ndani mwao .
The world is mental....hata huo uchawi ni kucheza tu na manipulation za frequency za kiroho, sasa yakimkuta asielewa nini kinaendelea ndo atasema uchawi,,,ni kama dini tu pia
 
Lakini je, hayo maneno machache kweli yanatafanya kazi na ntakua superhero?
Kwa sababu kuna dawa tunaona watu wanatumia za kupata wanawake na kwa namna furani unaona kweli zinafanya kazi
Hizo dawa zinaamsha ile nguvu ya kufanya unachokita kupitia iman yako nina weza kukupaka ata mavi ya kuku tu na ukanikubali huu uhuni nilisha ufanya mkuu.
 
Back
Top Bottom