Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

Je kama alitumia ujanja ili ahamishwe?
Mwingine si huyo jamaa hapo katoa ushuhuda bariadi,Dem alimkataa mtoto wa chief,hayo ni mambo yanatokea,nilikua mkuranga shamba,huko hawalimi bila kuloga,mzee mmoja alitamba kuwa mazao ya kijana yakifikia kuzaa yatanyauka na kuwa tayari kuchomwa moto,na kweli ikawa,yule kijana alipata habari,akaenda kupiga dawa ya magugu shamba la mzee mchana saa sita,haya mambo Kama hujuwahi kutana nayo huwezi yaamini
 
Siwezi kusema uongo na nikisema mchawi si ata jua mkuu? ,Siku nikija dar nitakutafuta mkuu pia uje utoe ushuhuda apa.
Wewe ukija dar sema uko wapi,nikupeleke,maana wazaram na wandengereko kuloga ni kama mchezo,wanapenda kweli kukomoa
 
Hivi unafikiri kila mtu anataka kwenda kuishi kwenye baridi na maisha ya kibinafsi!?..mi binafsi ziwezi ishi ulaya Wala marekani
Mkuu ww unalamba keki ya taifa ndio maana unasema hivyo.
 
Mkuu ww unalamba keki ya taifa ndio maana unasema hivyo.
Mimi mtz mnyonge,siwezi ishi maisha ya kimbuzi wanayoishi wamarekani na ulaya,hakuna kujamiiana(socialisation),all the time uko stressed unawahi something
 
Kijijini kwetu kila mtu anaamni mimi ni mchawi hayo unayoyasema nina uzoefu nayo ndio maana nakuambia uchawi upo kwa watu waliamua kufikiri hivyo tu.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Mimi mtz mnyonge,siwezi ishi maisha ya kimbuzi wanayoishi wamarekani na ulaya,hakuna kujamiiana(socialisation),all the time uko stressed unawahi something
Mkuu kama umeishi Tz maisha hayo hauwezi yaita ya upweke maisha ya upweke ni kukosa maji na umeme wa uhakika.
 
Ata muchawi mwenyewe ukimuliza kama kuna uchawi ata kwambia haupo . Kuna vitu walimwengu wanaamua kuvifanya kama havipo na kutuaminishi kuwa havpo ili wawe huru zaidi kuvifanya
 
Hivi Mchawi wa kweli kweli anashindwaje kujua jina langu?, Huo nao ni Ushahidi kuwa Uchawi haupo,na hao wanaojiita Wachawi hawana lolote

hana nguvu za kujua jina langu ila anaweza kunigeuza panya
Cha muhimu ndugu yangu heshimu tu watu wote pia kwepa kabisa ugomvi na watu unapokuwa Afrika. Itakusaidia kuwa salama. Kinyume na hapo ndo utajua kweli uchawi upo.
 
Uwepo wa matapeli usikuhadae uchawi upo sana ndugu ungekuwa maeneo fulani alafu ukaongea maneno haya watu wangekupiga tukio ili kukuonyesha kwamba mambo ni moto

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Uchawi upo na unafanya kazi.
Waganga wapo na wana tibu.
Ikiwa huamini uchawi upo basi huwezi kuamini kua majinn yapo.
Usipo amini uwepo wa majinn huwezi kuamin uwepo wa M/mungu muumba wa vyote hivi.
Usipo amin uwepo wa mungu basi utaamini kwamba hivi vitu vyote vipo vipo tuu,vimezuka tuu hakuna muubaji,ukidhani hivo tuseme wewe ndio mjanja mwenye Akili kuliko mamilions yawatu hapa duniani wanao amini uwepo wa mungu muumba..ukifata Akili za kilanga unakua bonge la mjinga unae jioni mjanja.
Kilanga hoja zingine kwenye baadhi yamambo hua yupo sahihi kiasi flani lakini kwenye upande huu wa imani hana analo lijua nikutengeneza ligi zakijinga tuu.
 
Ata muchawi mwenyewe ukimuliza kama kuna uchawi ata kwambia haupo . Kuna vitu walimwengu wanaamua kuvifanya kama havipo na kutuaminishi kuwa havpo ili wawe huru zaidi kuvifanya
Sasa ulichokisema ukikigeuza ndio jibu sahihi , watu wengi wanapenda kuwaaminisha hayo mambo ili kuweza kuwachezeeni kwa sababu wanajua kabisa msipo amini sio rahisi kuucheza huo mziki.
 
Kwa hiyo Wagagagigikoko, Komredi Kipepe, Madenge, Dr. Pimbi Love, Lodilofa, Sukununu, Sokomoko, Zena, Betina, na wengineo, wapo kweli?
 
Kisichokuwepo kinathibitishikaje?
Swali la msingi ni mmejuaje kisichokuwepo kama hakipo. Hichi kichaka huwa mnapenda sana kukitumia na kiukweli kinaonyesha ni kwa namna gani msivyo yajua mambo. Bali mnafikiria kitoto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…