Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

hapo ndipo ninapokuja na kukwambia hebu dadavua strong points ili hoja yako ilete maana na kuclick kwenye vichwa vya watu...

Unapoanza kusema unafikiri ooooh unajua, tayari ni vitu vya kufikirika ambavyo tunaweza pia kufikiri vinginevyo kama issue ni kufukiri tu....kufikiri kuna negative na positive...
Hivi nikuulize umaweza kufanya jambo bila fikira? Basi wewe tayari si binadamu mwenye utashi maana unanitaka niandike bila fikira kitu ambacho siwezi! Na ushahidi unataka lakini mi nimekupa ushahidi ya kimazingira!
 
Hii kusema inasaidia sana,kuliko kuogopa kuitwa Sukuma gang KWA watu waliokosa uzalendo ndani ya nchi hii,Tunapigwa nje na ndani tena KWA speed ya Tozo na Mfumuko wa bei kila kona
Wasukuma mmeonekana ni wapumbavu sana, mtu mmoja kawavunjia heshima kwa jamii, ukweli wasukuma mlikuwa watu poa sana, sijui hilo bwana mlilitoa wapi
 
Waziri Mwambe amefikia hatua yakuwadanganya watanzania kuwa hakuna mkataba wowote uliowahi kusainiwa!!
Na watadanganywa sana maana hakuna anayefuatilia tena habari kutokana na mwendazake kuminya uhuru wa kupata habari ikiwemo kuzima bunge live
 
Wasukuma mmeonekana ni wapumbavu sana, mtu mmoja kwavunjia heshima kwa jamii, ukweli wasukuma mlikuwa watu poa sana, sijui hilo bwana mlilitoa wapi
Usinitukane haya maoni sio ya Wasukuma! Fiche upumbavu wako mku..du wewe! Kama unachangia changia kwa maoni yako sio kuita watu wapumbavu!
 
Sukuma gang ndiyo mlileta haya yote, pole sana ndugu kwani huna budi kuvumilia na kurudi kijijini.
Kwa hiyo niliowataja hapo Kakoko na Chamriho ni wasukuma? Yaani nyinyi watu ni wapumbavu sana!
 
Kwanini usiuweke hapa huo mkataba Ili tuone uongo wa Waziri Mwambe?
Dah....Mheshimiwa akifungua shule mpya Kivukoni🤭

IMG-20211122-WA0030.jpg


IMG-20211122-WA0028.jpg


IMG-20211122-WA0028.jpg
 
That shit is very complicated somehow, mtu anaweza kusema Samia amewaweka hao ili afanye nao kazi vizuri wenye mtazamo unaofanana nae, lakini kwasababu amewaweka watu wenye rekodi mbovu hiyo dhana inakufa kifo cha mende.

Habari ya bandari ya Bagamoyo na miradi mingine yote mikubwa ukiwemo wa LNG sharti mikataba yake iwekwe wazi ijulikane hizo pesa za miradi zitatoka wapi na kama ni mikopo itarudishwa kwa njia zipi, tusileteane maneno mengi hapa ya kuipamba hiyo miradi bila vitu vya msingi vinavyoihusu kupatiwa majibu ya kuridhisha kwa wakati.
 
Unamuona Fisadi Msoga hapo kwenye picha anasaini mikataba ya bandari ya bagamoyo kama kakatwa kichwa! Yaani hakuna utawala kwa kitaahira kama wa huyu mtu! Ambaye ni sumu kwa taifa hili!
Tulipowambia tunahitaji Katiba Mpya inayobalance madaraka ya Urais. Sio kumnyanganya mamlaka bali kuwe na checks
 
Wasukuma mmeonekana ni wapumbavu sana, mtu mmoja kawavunjia heshima kwa jamii, ukweli wasukuma mlikuwa watu poa sana, sijui hilo bwana mlilitoa wapi
Yule jamaa wala hakuwa msukuma, haijulikani hata kama kweli ni Mtanzania. Alijiita msukuma kuficha tuu. Hakuna msukuma mwenye roho ya ajabu kama mwenda zake.
 
Yule jamaa wala hakuwa msukuma, haijulikani hata kama kweli ni Mtanzania. Alijiita msukuma kuficha tuu. Hakuna msukuma mwenye roho ya ajabu kama mwenda zake.
Alikuwa na Roho mbaya kwa mafisadi kama nyinyi! Stupid unafikiri wasukuma wote ni malaika?
 
Waliokuwepo waliwekwa na mtu kwa jinsi alivyoona yeye inafaa na waliondolewa na mtu kwa jinsi alivyoona inafaa na kawaweka wengine kwa jinsi alivyoona inafaa.Hizi shida zote hamtaki kujua kua zinatokana na kua na katiba iliyopitwa na nyakati.Tungekua na katiba bora inayojenga uwajibikaji katika mifumo thabiti badala ya kumtegemea mtu mmoja hizi kelele kelele zingepungua kwa kiwango kikubwa na zingebaki kelele za hoja za namna yakurekebisha penye mapungufu badala ya kelele za malalamishi.
 
Acha maneno bana,nchi ina watu milioni 60,kwani lazima hao wawe masultani wahudumu miaka yote?kwani kabla yao hizo wizara na maeneoengine hayakuwepo?HATUTAKI USUKUMA HAPA,mulifurahia kugawana vyeo kikanda,kikabila na kidini acha "KAZI IENDELEE"bana.
 
Back
Top Bottom