Usisahau bomba la Gas toka Mtwara lililoishia Kinyerezi linatakiwa kufika Bagomoyo.Msitegemee mema yoyote yale katika mchakato huo ambako majizi yamepanga safu ya mashambulizi!
Mission ni bandari ijengwe wapige hela ndefu toka kwa wawekezaji wa kichina[emoji28]! Zitaongelewa story nyingi ila ni yale yale tu...
Fanikisheni dili katika zile Trillion 70 mtakula mgao wa 10 Trillion na hapo mzigo unatembea kuanzia kwa mawaziri, Ex boyfrendi wa bibi tozo pamoja na wapambe wake!
Mkuuu unahasira sanaMsitegemee mema yoyote yale katika mchakato huo ambako majizi yamepanga safu ya mashambulizi!
Mission ni bandari ijengwe wapige hela ndefu toka kwa wawekezaji wa kichina[emoji28]! Zitaongelewa story nyingi ila ni yale yale tu...
Fanikisheni dili katika zile Trillion 70 mtakula mgao wa 10 Trillion na hapo mzigo unatembea kuanzia kwa mawaziri, Ex boyfrendi wa bibi tozo pamoja na wapambe wake!
Kwani hukumbuki hata Magufuli alisafisha safu za mawaziri wa mtangulizi wake Kikwete?Kwa hiyo unafikiri aliyefanya hayo mabadiliko hana lake kichwani? Ujue huyo mama ni bendera kifuata upepo!
Hii awamu ya neema umeinyeshwa upiNa pia siyo ya team mwendazake wala wahutu wala Sukuma Gang
Ila mwendazake peke yake aliyekuwa na mamlaka ya kuwafanya watanzania wote wajinga. Mwendazake angeutoa hadharani huo mkataba mbaya haya yote yasingekuwepo. Yeye angetamani hiyo Bandari ingejengwa Chalttle.
Statement yako ya mwisho imenena jambo ambalo niliambiwa siku nyingi zilizopita lakini sikutaka kuliamani na wala sijawahi kuliandika. Lisemwalo lipo?Msitegemee mema yoyote yale katika mchakato huo ambako majizi yamepanga safu ya mashambulizi!
Mission ni bandari ijengwe wapige hela ndefu toka kwa wawekezaji wa kichina😅! Zitaongelewa story nyingi ila ni yale yale tu...
Fanikisheni dili katika zile Trillion 70 mtakula mgao wa 10 Trillion na hapo mzigo unatembea kuanzia kwa mawaziri, Ex boyfrendi wa bibi tozo pamoja na wapambe wake!
🤣🤣🤣🤣Hakuna anayeota hapa! Akili kubwa ndo inaweza kung'amua haya mambo akili kisoda kajadili mapenzi!
Mbona Mikataba ya makinikia hakuitoa ila alizuia makinikia kusafirishwa.Na pia siyo ya team mwendazake wala wahutu wala Sukuma Gang
Ila mwendazake peke yake aliyekuwa na mamlaka ya kuwafanya watanzania wote wajinga. Mwendazake angeutoa hadharani huo mkataba mbaya haya yote yasingekuwepo. Yeye angetamani hiyo Bandari ingejengwa Chalttle.
Post yako hii ni speculative, na inalinganisha machungwa na ndimu. Serikali unazosema zilizotokuwa zinapangwa baada ya uchaguzi, ni tofauti na serikali inayozungumziwa. Baada ya Uchaguzi kuna Mawaziri waliokuwa ama wameshindwa, au wamefanya vibaya sana huko kwenye uchaguzi hivyo hawakurudishwa au walipewa majukumu mengine. Lakaini serikali inayoongelewa, ni ya kurithi, siyo ya uchaguzi, na hao wote aliowaondoa hakukuwa na sababu yoyote. Ninajua kuwa Chamuriho ndiyo tu alikuwa amekabidhiwa Wizara ile na hakukuwa na metrics zozote za kuonyesha kuwa hakuingoza vizuri kwani ndiyo alikuwa ameanza tu. Kosa lake ni hilo moja la kuwa na mtazamo unaoonekana kuwa sawa na wa mwendazake.Kwani hukumbuki hata Magufuli alisafisha safu za mawaziri wa mtangulizi wake Kikwete?
Hiyo ni kawaida.
Mwinyi alifanya hivyo, Mkapa alifanya na Kikwete pia alipangua mawaziri wa mtangulizi wake.
Kumbuka hata CAG Asad alipobaini wizi wa 1.5 trilioni uliofanywa na hao hao unaowasifia alifukuzwa.
Kampeni yenu ya kutafuta kuungwa mkono kwa kisingizio cha uzalendo haitafaulu.
Hamtafaulu maana mliendesha nchi kikatili.
Vitendo vyenu vya ukiukwaji wa haki za binadamu mlivyofanya kwa miaka mitano vinakosa sifa za kuungwa mkono.
Sisi KAZI yetu kusema,nyinyi KAZI yenu kutetea,mambo yenu ya mama anaupiga mwingi!Kwa hiyo yaliyokosa uzalendo enzi za sgang sasa yanatanatakiwa ya pate uzalendo enzi mpya, au lisilo na manufaa Kwa sgang nikukosa uzalendo, yafaa tujifunze upya maana ya kizalendo, tuachane na uzalendo wa kisiasa au uzalendo wa kitanzania🤔.
Mkuu Kichuguu kukosoa na kusifia ni haki yako na ni haki ya kila mmoja.Post yako hii ni speculative, na inalinganisha machungwa na ndimu. Serikali unazosema zilizotokuwa zinapangwa baada ya uchaguzi, ni tofauti na serikali inayozungumziwa. Baada ya Uchaguzi kuna Mawaziri waliokuwa ama wameshindwa, au wamefanya vibaya sana huko kwenye uchaguzi hivyo hawakurudishwa au walipewa majukumu mengine. Lakaini serikali inayoongelewa, ni ya kurithi, siyo ya uchaguzi, na hao wote aliowaondoa hakukuwa na sababu yoyote. Ninajua kuwa Chamuriho ndiyo tu alikuwa amekabidhiwa Wizara ile na hakukuwa na metrics zozote za kuonyesha kuwa hakuingoza vizuri kwani ndiyo alikuwa ameanza tu. Kosa lake ni hilo moja la kuwa na mtazamo unaoonekana kuwa sawa na wa mwendazake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni kabila gani? Wewe mwenyewe mpumbavu mkubwa! Unakuja kujadili usukuma wangu unakuhusu nini? Kwemda zako mkundu wewe!
Mkuu uko sahihi, ni kweli jamaa hakuwa Msukuma, awali alikuwa anajiita Muhaya by then anafundisha Sengerema, I was so young and he was working with my father. Namjua vizuri sana kwa sababu he was a friend of my father. Na ujeri wake kaanza zamani. Naomba niishie hapa.Yule jamaa wala hakuwa msukuma, haijulikani hata kama kweli ni Mtanzania. Alijiita msukuma kuficha tuu. Hakuna msukuma mwenye roho ya ajabu kama mwenda zake.
Nachoweza kusema ni pole kwa maumivu mkuu, ni maisha tu so don't take everything seriouslyKwa hiyo niliowataja hapo Kakoko na Chamriho ni wasukuma? Yaani nyinyi watu ni wapumbavu sana!
Nachoweza kusema ni pole kwa maumivu mkuu, ni maisha tu so don't take everything seriouslyKwa hiyo niliowataja hapo Kakoko na Chamriho ni wasukuma? Yaani nyinyi watu ni wapumbavu sana!