Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

Tutalumbana humu na kuumizana vichwa bila kujua adui Ni Nani? Hawa jamaa wanafanya hayo wanayoyafanya kwa sababu ya sheria zilizopo kwanza zinawaruhusu pili zina kinga hata akikosea asishtakiwe, ndo maana wanakosea makusudi wakijua hatuna cha kuwafanya
ADUI YETU NI KATIBA
 
Mbona yeye alipoingia madarakani aliwatoa baadhi ya mawaziri waliokuwepo? Kwanini basi iwe nongwa kwa Rais Samia akiteua mawaziri anayeona ndio sahihi kwake kufanya nao kazi?
 
Usisahau bomba la Gas toka Mtwara lililoishia Kinyerezi linatakiwa kufika Bagomoyo.
 
Mkuuu unahasira sana
 
Kuna watu humu ndani hawana haya hata kidogo wako tayari kusaidia wezi kuchukua rasilimali za nchi hii kwa kupewa hela kidogo. tuna bandari ya Dar Es Salaam inatoa mapato ya 75% ya mapato yote, halafu waziri anakuja na Bandari ya Bagamoyo ya Mchina. Si anataka Bandari ya Dar Es Salaam Ife. Mapato yatatoka wapi ? Kupata fedha ya 75% ya mapato, nasema TUTAPIGWA TUZO mpaka tushike adabu zetu. Kwa kweli Magufuli alikuwa Mzalendo wa kweli, Mungu amueke mahali pema peponi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unafikiri aliyefanya hayo mabadiliko hana lake kichwani? Ujue huyo mama ni bendera kifuata upepo!
Kwani hukumbuki hata Magufuli alisafisha safu za mawaziri wa mtangulizi wake Kikwete?
Hiyo ni kawaida.
Mwinyi alifanya hivyo, Mkapa alifanya na Kikwete pia alipangua mawaziri wa mtangulizi wake.
Kumbuka hata CAG Asad alipobaini wizi wa 1.5 trilioni uliofanywa na hao hao unaowasifia alifukuzwa.
Kampeni yenu ya kutafuta kuungwa mkono kwa kisingizio cha uzalendo haitafaulu.
Hamtafaulu maana mliendesha nchi kikatili.

Vitendo vyenu vya ukiukwaji wa haki za binadamu mlivyofanya kwa miaka mitano vinakosa sifa za kuungwa mkono.
 
Hii awamu ya neema umeinyeshwa upi
 
Statement yako ya mwisho imenena jambo ambalo niliambiwa siku nyingi zilizopita lakini sikutaka kuliamani na wala sijawahi kuliandika. Lisemwalo lipo?
 
Mbona Mikataba ya makinikia hakuitoa ila alizuia makinikia kusafirishwa.
JPM alikuwa mzalendo wa kweli,ila Msoga gang walifanya kila namna kumchafua.
 
Post yako hii ni speculative, na inalinganisha machungwa na ndimu. Serikali unazosema zilizotokuwa zinapangwa baada ya uchaguzi, ni tofauti na serikali inayozungumziwa. Baada ya Uchaguzi kuna Mawaziri waliokuwa ama wameshindwa, au wamefanya vibaya sana huko kwenye uchaguzi hivyo hawakurudishwa au walipewa majukumu mengine. Lakaini serikali inayoongelewa, ni ya kurithi, siyo ya uchaguzi, na hao wote aliowaondoa hakukuwa na sababu yoyote. Ninajua kuwa Chamuriho ndiyo tu alikuwa amekabidhiwa Wizara ile na hakukuwa na metrics zozote za kuonyesha kuwa hakuingoza vizuri kwani ndiyo alikuwa ameanza tu. Kosa lake ni hilo moja la kuwa na mtazamo unaoonekana kuwa sawa na wa mwendazake.
 
Kwa hiyo yaliyokosa uzalendo enzi za sgang sasa yanatanatakiwa ya pate uzalendo enzi mpya, au lisilo na manufaa Kwa sgang nikukosa uzalendo, yafaa tujifunze upya maana ya kizalendo, tuachane na uzalendo wa kisiasa au uzalendo wa kitanzania🤔.
Sisi KAZI yetu kusema,nyinyi KAZI yenu kutetea,mambo yenu ya mama anaupiga mwingi!

Kila mtu ashinde mechi zake
 
Mkuu Kichuguu kukosoa na kusifia ni haki yako na ni haki ya kila mmoja.

Naheshimu maoni yako, lakini Rais ana haki ya kuamua nani na nani afanye naye kazi,
Sababu ni zake.
Wala rais halazimishwi kuja hapa kututangazia sababu za kufanya mabadiliko.
Istoshe, wizara za nchi siyo maalum kwa mtu furani kwa kuwa alifanyakazi na furani, ni maamuzi ya rais.
Wala uongozi wa nchi siyo mali ya mtu mpaka iwe ya urithi.
Watu wakarithi mali siyo uongozi.
Endeleeni kulalamika, lakini kazi za nchi zitafanywa na kila mtanzania mwenye sifa.
 
Wewe ni kabila gani? Wewe mwenyewe mpumbavu mkubwa! Unakuja kujadili usukuma wangu unakuhusu nini? Kwemda zako mkundu wewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe kweli msukuma, ila jua umewaangusha sana wasukuma wenzio, Nasema tena wasukuma ni watu poa sana ila Jiwe kawaharibia sana image yao. Nakuona wewe kama wewe kuwa ni msukuma mpumbavu lakini siyo wasukuma kama kabila. Juwa kuwa Jiwe hana kabila hapa Tz sema aliamua kujificha kwenu na kuharibu image yenu.
 
Wakati wa mwenda zake mlilalamika, amekuja mama mnalalamika wa tz mnataka nini? Kwani kuona huo mkataba wa Bagamoyo hadi tuamini maneno ya mwendazake?
 
Yule jamaa wala hakuwa msukuma, haijulikani hata kama kweli ni Mtanzania. Alijiita msukuma kuficha tuu. Hakuna msukuma mwenye roho ya ajabu kama mwenda zake.
Mkuu uko sahihi, ni kweli jamaa hakuwa Msukuma, awali alikuwa anajiita Muhaya by then anafundisha Sengerema, I was so young and he was working with my father. Namjua vizuri sana kwa sababu he was a friend of my father. Na ujeri wake kaanza zamani. Naomba niishie hapa.
 
Kwa hiyo niliowataja hapo Kakoko na Chamriho ni wasukuma? Yaani nyinyi watu ni wapumbavu sana!
Nachoweza kusema ni pole kwa maumivu mkuu, ni maisha tu so don't take everything seriously
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…