Ukiwa kama mzazi, ukifahamu mtoto wako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utafanya nini?

Hili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?

Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
Ni kuomba tu mungu atuepushe na hayo majanga aisee
 
Hili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?

Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
Huyo ni Mimi kabisaa siwi mnaafiki ntakua mwehu!naomba Allah aninusuru!!
 
Watoto wengi wanapitia kipindi cha majaribio km haya na wala haimaanishi kuwa watakuwa mashoga.
Mkuu enzi zetu michezo ya kujificha inafanywa na wasichana na wavulana Sasa Ukiona wanajificha wavulana kwa wavulana hizo sio dalili nzuri kabisa,, na mwanzo ndiyo huo ukisema kuwa ni kawaida kupitia mitihani hiyo napata uoga kidogo ila akianza ni rahisi Sana kuendelea

Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
 
Cocoa stk
 


"A 1997 study based on limited variables found no correlation between early childhood (age 6 and under) peer sexual play and later adjustment".


 
u lesbian kwan nalo ni tatizo?! si wanapigana deki tu! ila ushoga jaman hata kuutamka bas tu!
shida yangu kubwa ni kuhusu wateja wa mashoga wanakuwa na ugonjwa au ulemavu gani akilini?
 
Kilichobaki ni kumuomba Mwenyezi Mungu tu, akishakuwa hivyo mzazi unabaki kumwaga machozi tu kila siku iendayo kwa Mungu na kuhisi labda kuna kitu ulikosea.

Tujitahidi tu kufuatilia mienendo ya watoto/wadogo zetu hasa hii jinsi iliyoshika hatamu ili wasije jikwaa kwa mashetani watu.
 
You are right rafiki
 
Ni moja kati ya swali gumu sana kwanza kulikubali na baadae kulijibu__Sio jambo rahisi kama ambavyo wengi wetu hasa wadau wanavyolichukulia,kikubwa kama mzazi kawanza ni UKUBALIANE na hali hiyo then utafute namna bora ya kumsaidia mtoto wako!!!! Sio rahisi narudia tena lakini ni mchakato endelevu..
 
Nilikua nasoma comments tyuuh, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikuwepo jamaa shoga pale geita mwaka 2003-2005, baada ya ndugu wa familia yake kuona aibu inazidi, ilibidi wapange mipango ili wamuondoe duniani

Na kweli mipango ikafanywa ndipo akavamiwa usiku akiwa anatoka kwenye biashara zake nakupoteza maisha

Jina lake la mwanzo linaanzia na herufi "H"
 
Na hakuna kesi hapo!
 

Hii ni point hao ndio wa kudeal nao[emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…