Ukiwa kama mzazi, ukifahamu mtoto wako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utafanya nini?

u lesbian kwan nalo ni tatizo?! si wanapigana deki tu! ila ushoga jaman hata kuutamka bas tu!
shida yangu kubwa ni kuhusu wateja wa mashoga wanakuwa na ugonjwa au ulemavu gani akilini?
Hakuna penye unafuu binti akiisha kuwa lesbian hupoteza matamanio na wanaume pia usagaji ni zaid ya kupigana deki.
 
u lesbian kwan nalo ni tatizo?! si wanapigana deki tu! ila ushoga jaman hata kuutamka bas tu!
shida yangu kubwa ni kuhusu wateja wa mashoga wanakuwa na ugonjwa au ulemavu gani akilini?
Na mimi naona bora hao lesbians maana wanawake wengi walio kuwa wafanya hiyo michezo baada ya miaka kazaa nime wakuta wameolewa au wamezalishwa na u Tom boy kwisha ni wengi wameishia hivyo na walikuwa na michezo hiyo imebaki story ila kwa ndugu zetu mashoga kuacha ime kuwa ni ngumu na wengi wanakufa wakiwa wapo kwenye tabia hiyo.
 
Duuuh
 
mkuu Umenena kweli kabsa.. kama tukiwajua hawa..hatutaweza sali..wala kuswali.. ushoga hauwez isha.. maana wanaowapa jeuri ni watu wakubwa mno..si hawa wa kawaida..
 
Wengi waliokoment ujinga hawana watoto, hawajaoa au kuolewa, hawajui hata bei ya msumari wa bati.
Yaani ukimfukuza mtoto wako kwako kisa tabia yoyote ile basi wewe ni mwovu na mbaya zaidi ya huyo mtoto wako.
 
Corporate ladies wakiwa wanakucheki tu

 
Huo ni ulemavu hayo sijui malezi ni visingizio tu
 
Hakuna namna ila kumtoa hapo na kumpeleka kijijini akakutanishwe na wazee wa jadi wamfanyie maswala ya kimila ikiwamo kumjenga kiume akae huko hata miaka mitano. Akitoka huko anaweza kuwa sawa.
hii ni kweli kabisa kuna mtu namfahamu kabisa alikuwa shoga karegea alipelekwa kijijini alikaa kama miez mitatu akishughulikiwa,hivi tunavyoongea juzi amefumwa na mtoto wa baba mwenye nyumba akimgegeda uchochoroni
 
Ni kusema Inalilah Waainalilah rajuun maana ni msiba uo
 
Sina la kumfanya...

Ila kama ni mwanangu basi kamwe hatokanyagaa kwangu...


Nitampa life ban...
Tahadhari na maneno yako hayo, wenzio walisema kama hivyo halafu yakawakuta. Kikubwa ni kumuomba Mungu tu.
 
hii ni kweli kabisa kuna mtu namfahamu kabisa alikuwa shoga karegea alipelekwa kijijini alikaa kama miez mitatu akishughulikiwa,hivi tunavyoongea juzi amefumwa na mtoto wa baba mwenye nyumba akimgegeda uchochoroni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…