Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wana MMU,

Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up, maisha yako yameshikiliwa na ki uzi chembamba tu kiasi kwamba upepo ukipiga kidogo tu umekwenda.

Wengine moyo umechoka unaona kama dunia hii sio seheu yako, hata kufikiria huenda dunia haikuwa tayari kukupokea, lakini ukisaliwa unajibu aaah salama, umekamilisha salamu huyo unaenda zako.

Ukiwa mkweli kabisa, How are you? Unaendeleaje na hali?
 
I'm ok, considering the state of so many others that have less than me.

I'm alive, kuna wengi waliamka na mipango mingi ila sasa wamelala kwenye umauti, so I'm ok.

Kuna wengine wamelala vitandani kwa maradhi wakitamani kuwa na robo ya afya niliyonayo, so I'm really ok.

I'm ok, maana nimekula, inawezakana isiwe nilichotaka kula, lakini nimepata chakula. Kuna waliokuwa na njaa na hawana uwezo wa kupata hata theluthi moja ya nilichopata leo.

I'm ok, despite there being heavy rains, nina hakika nina pa kulala, inawezakana isiwe hekalu, lakini ni bora kuliko yule alie aidha kwenye mafuriko ama asie na pahala pa kulala kabisa.

I'm ok, maana nina familia inayonisubiri nyumbani, inawezakana kusiwe na vicheko tu huko nyumbani, but I know I have people to mourn and rejoice with, kuna ambao wana uchungu lakini hawana wakushea nao.

So, I'm grateful for what I have, inawezekana isiwe yale yote ninayoyataka lakini yananifaa kulinganisha na wengi ambao hawana kabisa. I'm ok in every sense of the word OKAY.
 
Mbona uzi umekaa kimitego sana😃
Hali njema Mkuu.

Sema ni hivi, unajua kibinadamu huwezi kosa dosari ukawa fiti fitings, kwahiyo kama unapumua sema alhamdulillah.

Ukisema sina ela kuna mwingine anayo ila anaugulia kidole.

Ukisema unaumwa kucha mambo yote safi, kuna mwingine haumwi ata mkono ila mambo mengine ovyo mbaya.
 
Wana MMU,

Wengi tukisalimiana unaambiwa good moorning, unajibu tu kukamilisha salamu. Unaulizwa unaendeaje na hali unajibu fasta tu salama wakati ukweli ni kwamba unakaribia ku give up...
wewe haliyako ikoje kwanza mkuu?
 
Kimaisha kila kitu kiko sawa Alhamdulillah, nammiss tu mpenzi wangu aliye mbali. Nyie it's hard mtu unampenda halafu yuko mbali! Sikia tu.
Kiufupi tu madam Hali yako c mbaya ila umemic tu mbo* ya msela wako 🤪 na Hali ya hewa hii n HAKI yako
 
Back
Top Bottom