Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Jamiiforums ni kubwa sana Miss Lizzy, yawezekana nilikuwa England kule Liverpool, wewe ulikuwa zako home kwako Selfika tu. Lakini tumekutana hapa MMU ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Possibly ๐Ÿ™‚
Mie siku hizi nacheza na new post/trending tu...hata huwa sijui nimeingia chumbani gani.๐Ÿ˜
Ila selfika pamepoa sana siku hizi, hata nikiingia kwa wiki x 2 inatosha.
 
Possibly ๐Ÿ™‚
Mie siku hizi nacheza na new post/trending tu...hata huwa sijui nimeingia chumbani gani.๐Ÿ˜
Ila selfika pamepoa sana siku hizi, hata nikiingia kwa wiki x 2 inatosha.
mwanamke nimpendae mimi hujamboo?
 
Nina angamia, Uchumi, Mapenzi, Kila kitu ni left, Ila we move regardlessly... Tunatumia mkongojo na kuendelea kutembea na kupambana na maisha
Pole jamani, omba msaada unapokwama, mara nyingi wa kutusdaidia wapo karibu yetu ni vile tu hatuongei... ila muhimu kabisa usikate tamaa
 
I'm ok, considering the state of so many others that have less than me.

I'm alive, kuna wengi waliamka na mipango mingi ila sasa wamelala kwenye umauti, so I'm ok.

Kuna wengine wamelala vitandani kwa maradhi wakitamani kuwa na robo ya afya niliyonayo, so I'm really ok.

I'm ok, maana nimekula, inawezakana isiwe nilichotaka kula, lakini nimepata chakula. Kuna waliokuwa na njaa na hawana uwezo wa kupata hata theluthi moja ya nilichopata leo.

I'm ok, despite there being heavy rains, nina hakika nina pa kulala, inawezakana isiwe hekalu, lakini ni bora kuliko yule alie aidha kwenye mafuriko ama asie na pahala pa kulala kabisa.

I'm ok, maana nina familia inayonisubiri nyumbani, inawezakana kusiwe na vicheko tu huko nyumbani, but I know I have people to mourn and rejoice with, kuna ambao wana uchungu lakini hawana wakushea nao.

So, I'm grateful for what I have, inawezekana isiwe yale yote ninayoyataka lakini yananifaa kulinganisha na wengi ambao hawana kabisa. I'm ok in every sense of the word OKAY.
Nimependa hii Mkuu, na Mungu akuongezee baraka tele
 
Kwani hata ukiwaambia Hizo stress watakusaidia?ni kula buyu tu
 
Back
Top Bottom