Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Ukiwa mkweli kabisa kutoka moyoni, How are you? Unaendeleje na hali?

Alhamdullilah for everything
Though mambo hayaendi vile ninavyopangilia lakini mipango ya Allah ni bora zaidi kuliko mawazo na fikra zangu.
I'm positive always
 
Kimaisha kila kitu kiko sawa Alhamdulillah, nammiss tu mpenzi wangu aliye mbali. Nyie it's hard mtu unampenda halafu yuko mbali! Sikia tu.
Mnaumizwa na vitu kama hivyo au mapenzi kwa namna moja au nyingine huwa naona tayari mmeshajipata.

Yaani hamna shida ndogo ndogo hivyo mmeamua kutafuta changamoto mpya kwenye mapenzi, hivi niwazayo ni kweli?
 
Jifariji tu hivyohivyo! Usije na id mpya kuomba ushauri huku uso umejaa machozi
Ahahahah... mimi niombe ushauri wa mapenzi kabisaaa?????? Aahhh !!
Nikikupa intro kuhusu mtazamo wangu kwenye mapenzi utashangaa sana.
Kwakifupi katika priority zangu top 3 , mapenz hayapo for over 15 years na huyu niliye naye
 
.......mkuu usishangae sana, kwakuwa changamoto nyingi, ziwe kubwa au mdogo zinatatuliwa Kwa pesa so Kwa majority tunaoishi below standard unakuta tunashindwa kuafford hata basic needs daily.......
........sasa sio rahisi wewe kila ukisalimiwantoka asubuhi unajibu mbaya, unakuwa ama unajichoresha so tunajibu kimazoea tu, hata saiz ukienda hospitali ukimuuliza mgonjwa vipi hali atakwambia mzuka sana hata kama kalazwa siku ya nne leo, hata mtoa mada usikute una hali ngumu ila unatushangaa sisi tunaojibu poa kwenye kila kitu......
 
Ahahahah... mimi niombe ushauri wa mapenzi kabisaaa?????? Aahhh !!
Nikikupa intro kuhusu mtazamo wangu kwenye mapenzi utashangaa sana.
Kwakifupi katika priority zangu top 3 , mapenz hayapo for over 15 years na huyu niliye naye
Unawezaje? Mimi mtu aliniambia ananiacha leo nimelia hadi makamasi🤣
Hapa nimetuma paragraph kama wosia kuomba penzi lirudi
 
.......mkuu usishangae sana, kwakuwa changamoto nyingi, ziwe kubwa au mdogo zinatatuliwa Kwa pesa so Kwa majority tunaoishi below standard unakuta tunashindwa kuafford hata basic needs daily.......
........sasa sio rahisi wewe kila ukisalimiwantoka asubuhi unajibu mbaya, unakuwa ama unajichoresha so tunajibu kimazoea tu, hata saiz ukienda hospitali ukimuuliza mgonjwa vipi hali atakwambia mzuka sana hata kama kalazwa siku ya nne leo, hata mtoa mada usikute una hali ngumu ila unatushangaa sisi tunaojibu poa kwenye kila kitu......
Sure sure
 
Unawezaje? Mimi mtu aliniambia ananiacha leo nimelia hadi makamasi🤣
Hapa nimetuma paragraph kama wosia kuomba penzi lirudi
😂😂😂😂😂😂😂
Sio kitu kibaya kuoambania kitu ambacho kwako unakiona kina thaman. Si mbaya hata kidogo.
Ni vile tu vipaumbele vyetu vinatofautiana.
Kuna kipind wifi ako akatishia kuondoka ,nikamwambia we nenda tu hata usijali na kwakua ilikua usiku nikamwambia acha nikusaidie kukusanya vitu vyako nikamoigia na simu mama yake kuwa mwanao anakuja, wacha arudi mbio😂
 
😂😂😂😂😂😂😂
Sio kitu kibaya kuoambania kitu ambacho kwako unakiona kina thaman. Si mbaya hata kidogo.
Ni vile tu vipaumbele vyetu vinatofautiana.
Kuna kipind wifi ako akatishia kuondoka ,nikamwambia we nenda tu hata usijali na kwakua ilikua usiku nikamwambia acha nikusaidie kukusanya vitu vyako nikamoigia na simu mama yake kuwa mwanao anakuja, wacha arudi mbio😂
Umenikumbusha story!😂 Nilikua sehemu wanandoa wapo room kwao wanagombana ugomvi mkubwa wanaongea kwa sauti mimi nasikiA

Kama kawaida wanawake tunapenda kutikisa kibiriti, huyo mke akamwambia mume wake "kuna wanaume wanapesa kukuzidi wananitaka, kuna mmoja ni daktari ananililia sana ila namkatalia kukuheshimu wewe"
Mume mtu akamwambia "Nipe namba ya huyo daktari"
Mke sasa akasema "wewe ya nini, unataka kumtukana sio?"
Mume akasema "nataka namba yake nimpigie aje kukuchukua"
😂Nilicheka sanaa..! Mwanamke pozi lilimuisha
Tukaamka asubuhi mpaka kesho yupo hajaondoka
 
Umenikumbusha story!😂 Nilikua sehemu wanandoa wapo room kwao wanagombana ugomvi mkubwa wanaongea kwa sauti mimi nasikiA

Kama kawaida wanawake tunapenda kutikisa kibiriti, huyo mke akamwambia mume wake "kuna wanaume wanapesa kukuzidi wananitaka, kuna mmoja ni daktari ananililia sana ila namkatalia kukuheshimu wewe"
Mume mtu akamwambia "Nipe namba ya huyo daktari"
Mke sasa akasema "wewe ya nini, unataka kumtukana sio?"
Mume akasema "nataka namba yake nimpigie aje kukuchukua"
😂Nilicheka sanaa..! Mwanamke pozi lilimuisha
Tukaamka asubuhi mpaka kesho yupo hajaondoka
Kuna vitu sio vya kufanya uumie kichwa hata kidogo
 
Back
Top Bottom