Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mashangazi huwa yaki kuangalia tu kwa macho yanajua una shida au laa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Insightful and deep. Well written.I'm ok considering the state of so many others that have less than me.
I'm alive, kuna wengi waliamka na mipango mingi ila sasa wamelala kwenye umauti, so I'm ok.
Kuna wengine wamelala vitandani kwa maradhi wakitamani kuwa na robo ya afya niliyonayo, so I'm really ok.
I'm ok, maana nimekula, inawezakana isiwe nilichotaka kula, lakini nimepata chakula. Kuna waliokuwa na njaa na hawana uwezo wa kupata hata theluthi moja ya nilichopata leo.
I'm ok, despite there being heavy rains, nina hakika nina pa kulala, inawezakana isiwe hekalu, lakini ni bora kuliko yule alie aidha kwenye mafuriko ama asie na pahala pa kulala kabisa.
I'm ok, maana nina familia inayonisubiri nyumbani, inawezakana kusiwe na vicheko tu huko nyumbani, but I know I have people to mourn and rejoice with, kuna ambao wana uchungu lakini hawana wakushea nao.
So, I'm grateful for what I have, inawezekana isiwe yale yote ninayoyataka lakini yananifaa kulinganisha na wengi ambao hawana kabisa. I'm ok in every sense of the word OKAY.
Mungu atakusaidiaSalamaaaa saliminiiiiii
Ila sina helaa na mvua hiz deal zinasumbua sana. Zina sua sua mnoo
najiburuza kabisausichoke tambaa
........a good comment for this month......I'm ok considering the state of so many others that have less than me.
I'm alive, kuna wengi waliamka na mipango mingi ila sasa wamelala kwenye umauti, so I'm ok.
Kuna wengine wamelala vitandani kwa maradhi wakitamani kuwa na robo ya afya niliyonayo, so I'm really ok.
I'm ok, maana nimekula, inawezakana isiwe nilichotaka kula, lakini nimepata chakula. Kuna waliokuwa na njaa na hawana uwezo wa kupata hata theluthi moja ya nilichopata leo.
I'm ok, despite there being heavy rains, nina hakika nina pa kulala, inawezakana isiwe hekalu, lakini ni bora kuliko yule alie aidha kwenye mafuriko ama asie na pahala pa kulala kabisa.
I'm ok, maana nina familia inayonisubiri nyumbani, inawezakana kusiwe na vicheko tu huko nyumbani, but I know I have people to mourn and rejoice with, kuna ambao wana uchungu lakini hawana wakushea nao.
So, I'm grateful for what I have, inawezekana isiwe yale yote ninayoyataka lakini yananifaa kulinganisha na wengi ambao hawana kabisa. I'm ok in every sense of the word OKAY.
Salamaaaa saliminiiiiii
Ila sina helaa na mvua hiz deal zinasumbua sana. Zina sua sua mnoo
Tamshukuru Mungu Kwa kuendelea kunijalia uhaiwewe haliyako ikoje kwanza mkuu?
Labda walikua wanamaanisha wakati wa matatizo yao sio yako
Najaribu kutafuta uhusiano wa hela na hali ya hewa kwangu siuoni 😂Mungu atakusaidia
....... hongera umekuwa honest, pambana Mungu atasaidia.....namshukuru Mungu kwa uhai ,mengine yatajipanga tu maana ni shaghalabaghala
Tatizo hii hali ya hewa unachelewa kutoka kitandani unakata sana kiunoNajaribu kutafuta uhusiano wa hela na hali ya hewa kwangu siuoni 😂
Ni sehemu tu ya kupumua na kupunguza stress yasije kukuzidi sababu ya kukosa sehemu ya kutapika, mara moja moja unatoa ya moyoniMbona uzi umekaa kimitego sana😃
Hali njema Mkuu.
Sema ni hivi, unajua kibinadamu huwezi kosa dosari ukawa fiti fitings, kwahiyo kama unapumua sema alhamdulillah.
Ukisema sina ela kuna mwingine anayo ila anaugulia kidole
Ukisema unaumwa kucha mambo yote safi, kuna mwingine haumwi ata mkono ila mambo mengine ovyo mbaya.
Hapo mtu akija akipiga sound tu jamaa kaula wa chuya dadekiKimaisha kila kitu kiko sawa Alhamdulillah, nammiss tu mpenzi wangu aliye mbali. Nyie it's hard mtu unampenda halafu yuko mbali! Sikia tu.
[QUOTE="Nifah, post: 50040852, member: 207619"Kimaisha kila kitu kiko sawa Alhamdulillah, nammiss tu mpenzi wangu aliye mbali. Nyie it's hard mtu unampenda halafu yuko mbali! Sikia tu.
Ahahahahahahahahahahahahahh. Hapana bwana, mimi viuno nishavuka umri wa kuviendekeza. Mfano hata nsipokua na ratiba ya kutoka like weeknd, naamka asubuh naingia shamba nalima mpaka around saa 6 toka 12 nakunywa chai natulia na madogo kupiga hesabu maana mpaka logarithm nazikumbuka mpaka leo.Tatizo hii hali ya hewa unachelewa kutoka kitandani unakata sana kiuno
Nguvu ya kazi utatoa wapi
Mfanye sleepover na sufuria hizo, hapo hupat mtu 😂Niko poa kabisa....
Nimetoka kujipikilisha hapa...
Nimekula nimeshiba...
View attachment 2971117
Kinachofuata sasa ni kitandani, its me and my heating laptop...
Na hili baridi la dar, kukosa wa ubani inatesa sana..
Si ajitokeze manzi mmoja tufanye sleepover😋
Sasa huu ndo muda wa kuchapiwa, wewe ushazeeka mke bado mbichiiiiAhahahahahahahahahahahahahh. Hapana bwana, mimi viuno nishavuka umri wa kuviendekeza. Mfano hata nsipokua na ratiba ya kutoka like weeknd, naamka asubuh naingia shamba nalima mpaka around saa 6 toka 12 nakunywa chai natulia na madogo kupiga hesabu maana mpaka logarithm nazikumbuka mpaka leo.
Viuno sio sana, ukishafkka umri huu moja ya vitu vya kuounguza sana ni ngono.