Mkuu hili swali la ev za pikipiki binafsi niliuliza humu feedback za watumiaji bado, ila kwwnye magari kidogo inaonekana hali ipo tofauti kwa reference ya huko mambele kulipokucha. The future is brightMiezi kadhaa iliopita liliibuka wimbi la vi pikipiki vya umeme. Tafuteni wale watu wawape maendeleo ya vile vipikipiki vya kichina
Hii ndinga yenyewe inaonekana ya bei cheeRange ya 200 km ndogo sana ila it’s okay. Bora ununue Nissan Leaf.
Kwisha habari yake. Vingi vishstupwa. Battery takataka. Most were used.Mkuu hili swali la ev za pikipiki binafsi niliuliza humu feedback za watumiaji bado, ila kwwnye magari kidogo inaonekana hali ipo tofauti kwa reference ya huko mambele kulipokucha. The future is bright
Ev used ni mtego, ila kuna bikes naonaga zinadunda town, sjajua kama ni mpya mpya au vpKwisha habari yake. Vingi vishstupwa. Battery takataka. Most were used.
EV nunua mpya. Ukinunua used itakula kwako hasa hapa Tz ambapo watu hata kuhudumia basic BMW hawawezi.Ev used ni mtego, ila kuna bikes naonaga zinadunda town, sjajua kama ni mpya mpya au vp
Naweka mrejesho kama mmojawapo wa wamiliki wa pikipiki za umeme.Kwisha habari yake. Vingi vishstupwa. Battery takataka. Most were used.
Umeelezea very deep and detailed. Just imagine battery ya 12months halafu inakuja used na watu wengi wanaonunua hivi vi MOPED ni wa kipato cha chini(sio wote,wengi) ikifa battery anakata tamaa. Battery zake hizi ni bei gani?Naweka mrejesho kama mmojawapo wa wamiliki wa pikipiki za umeme.
Kwanza nikweli katika magari na pikipiki za umeme gharama kubwa huangukia kwenye battery.
Nirudi kwenye feedback.
Zimeingizwa pikipiki nyingi sana zikiwa branded majina tofauti, kuna Linkall, Nuru, zactec, Yadea na nyinginezo sizikumbuki, katika hizo zote Yadea tu ndio mzalishaji mkubwa wa pikipiki za miguu miwili na mitatu za umeme duniani
kwa hiyo kwa yeyote anaetaka pikipiki ya umeme anunue yadea tu na sio hizo nyingine.
Kwenye upande wa battery pikipiki nyingi zinakuja na battery aina ya Lead Acid hizi bei zake ni rahisi na pia huwai kufa makadirio ni miezi 12 kama zitatunzwa vizuri, baada ya muda huo zinakua zinahitaji kubadilishwa.
Aina zingine za battery ni Graphene na Lithium ion kundi hili la pili battery zake ni ghali na pia zina maisha marefu ukilinganisha na lead acid, hivyo pikipiki yoyote iliyofungwa hizi battery huwa na bei ya juu.
Kwa Brand ya yadea wanafunga battery za Graphene ni reliable kwakweli, pia unaweza upgrade battery kama unahitaji kuongeza range.
Kwa kifupi na uchache hayo ni machache naweza kusema.
Maintenance cost kwa hizi pikipiki ni kama hamna ila battery ikifa ndio lazima mfuko utoboke.
Gharama za battery inategemea na ukubwa wa motor pamoja na controller zimekua rated vipi za pikipiki husika.
Kuna 36V, 48V, 60V na 72V
Na zile battery huwa ni za 12V hivyo kwa mwenye 36V atahitaji battery 3
wa 48v atahitaji battery 4
wa 60V atahitaji battery 5
wa 72V atahitaji battery 6
Hizo Voltage zinatofautiana kulingana power rating ya motor husika, kadri voltage inakua kubwa ni nguvu kubwa ya motor na ndio speed huweza kuwa kubwa pia.
Kuhusu Range inategemea na capacity ya battery na speed utakayoendesha.
kwa mfano 72V38Ah ukitembea na eco mode unaweza kwenda 100km
72V23Ah in eco mode unaweza kwenda 70km
Kwa hivyo 38Ah na 23Ah ni capacity za battery husika na pia huathiri bei.
Nilichokuja kubaini watu wengi wananua hizi pikipiki bila kuwa na taarifa sahihi na muhimu, mtu ataangalia rangi na mwonekano kumbe kuna taarifa muhimu sana kuliko hizo urembo za nje, kingine wauzaji karibu wote hawana taarifa sahihi za vitu wanauza, unamuuliza muuzaji yeye amekariri bei tu, ukimbana sana unaitiwa fundi 😂😂 ambae nae hamna anachojua zaidi wanajua ku assemble zile pikipiki kutoka kwenye mabox nazungumzia zile za mafuta, ila technical specs hawajui kabisa na hawaelewi chochote ila majibu utapewa wabongo hawakosagi majibu hata kwa wasichokijua.
Tesla shilingi ngapi na IST shilingi ngapi!??....Imagine kwa elfu 40 tu unaweza kwenda na kurudi Dodoma ukitokea Dar.
Mfano, ukiwa na Tesla Model 3 yenye battery ndogo kabisa 57.5 kWh (hii ndio battery ndogo ipo kubwa Long Range ila tusiiongelee hapa), inamaana utatumia unit 57.5 tu kuijaza full charge. Na kwa bei ya sasa, unit moja ya umeme ni Tsh 358, so ukizidisha na ukubwa wa battery ni elfu 20!
Na hii model ikiwa full charge inatembea jumla ya kilometa 513. Na distance kutoka Dar hadi Dodoma ni Kilometa 460!
Kwahiyo hapo ushaenda na zinabaki kilometa za kutosha za misele hapo Dom.
So na kurudi hivo hivo, jumla 40.
Mtu, mwenye IST akiiga yeye kwa average fuel consumption ya 20km/L atataka elfu 70 ya mafuta kwenda tu na kurudi ivyo ivyo. Jumla 140,000/=
Ohoooooo.... .tenaaaWaelezee pia hizo battery Zina expire na kufanyia replacement inaweza kuku kost 16m anbayo ni hiyo hiyo uliyoisave kutokununua mafuta.
Unachosema ni kweli kabisa, unakuta mtu kanunua pikipiki 1.9m mpya anakuja kuuza 700k au 600k ujue kabisa hapo una msala wa kurekebisha na wabongo hawasemagi ukweli haswa kwenye vitu used mkiachana ndio unakuja kugundua shida, unakuta umenunua pikipiki used umejaribu umbali mfupi sana, utapigwa danadana ooh inatumia unit moja au mbili kujaa, unakuja kukijaza charge unatembea 5km kimezima 😂😂😂.Umeelezea very deep and detailed. Just imagine battery ya 12months halafu inakuja used na watu wengi wanaonunua hivi vi MOPED ni wa kipato cha chini(sio wote,wengi) ikifa battery anakata tamaa. Battery zake hizi ni bei gani?
Umetisha aisee.Unachosema ni kweli kabisa, unakuta mtu kanunua pikipiki 1.9m mpya anakuja kuuza 700k au 600k ujue kabisa hapo una msala wa kurekebisha na wabongo hawasemagi ukweli haswa kwenye vitu used mkiachana ndio unakuja kugundua shida, unakuta umenunua pikipiki used umejaribu umbali mfupi sana, utapigwa danadana ooh inatumia unit moja au mbili kujaa, unakuja kukijaza charge unatembea 5km kimezima 😂😂😂.
Kuhusu battery hizo lead acid nadhani zinacheza kwenye 75,000/= mpaka 85,000/= kwa ile moja ya 12V kwa hivyo mwenye 72 inabidi anunue 6, ambapo atazidisha ya batery anazo hitaji na bei.
kama atakuta bei ya soko ni 80000 x 6 =480,000/= na hizi battery za lead acid ndio zipo nyingi madukani au kwa wanaouza spare za hivi vipikipiki.
Na hizi battery za lead acid zinazoletwa ni zile ze bei ndogo, ubora wa battery hutegemea na manufacturing processes kama kawaida yetu kilichorahisi zaidi ndio tunaletewa, binafsi siamini ubora wa battery zinazouzwa.
Watu wakumbuke vitu vizuri vina gharama.
Na hizi pikipiki nyingi wanazoleta huku wananunua china kwenye (500,000-600,000) zinakuja kuuzwa mpaka 1.9m
Usitegemee pikipiki ya 500k iwe na best quality parts.
Battery za lithium na Graphene Bei zake zipo juu sana na kwa hapa sidhani kama zinapatikana madukani labda mtu ufanye kuagiza mwenyewe.
Pia bei itategemea na capacity, ila kwa battery nzuri kati ya Graphene na Lithium tegemea kutumia kuanzia 600,000 na kuendelea kwa capacity zile ndogo, hii nazungumzia Grade A kwasababu wachina kwenye upande wa Battery wanazi grade kwa ubora, Kwa mfano brand nzuri inayozalisha Battery ya Lithium ya 72V30Ah inaweza kucheza kwenye 900,000 bila usafiri.
Kwan lazima uagize nje,Tatizo la cartels wa mafuta, gari kama hizi zina kodi kubwa mno ili kukatisha tamaa
Mpaka unajiuliza wale wanao panga kodi ni haohao tunaishi nao nchi moja hii hii Tz au wao ni watu wa wapi Kama ni singida mbona ni hapahapa Tz? 😀Tatizo la cartels wa mafuta, gari kama hizi zina kodi kubwa mno ili kukatisha tamaa
Battery itakua imeshapoteza uwezo kiasi fulani, range alikua anapata ikiwa mpya na sasa lazima kuna tofauti.Umetisha aisee.
Hizi Linkall zinazouzwa hapa Mwenge jirani na JKT kuna mwamba anayo naona inamaliza mwaka soon, vipi kuna kitu pale?
ImagineNit bado wanawafundisha wanafunzi wa automotive Kwa kutumia zile roli za injection🤔Ile automotive engineering pale NIT si ipo au haiendani na kasi ya ukuaji wa Technology
Kweli kabisaUsijaribu kununua magari Alibaba. Mengi ni vituko nenda kwenye official website hata kwa Brand za China kama BYD.
Kama unataka kuona hivyo vituko ingia Youtube uone wakionunua EV from Alibaba
Acha tu kaka. Ndo mana wanasiasa wamatudharau sana wanatuona wasengeImagineNit bado wanawafundisha wanafunzi wa automotive Kwa kutumia zile roli za injection🤔