Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuanza, wangejaribu ata kupunguza kwa miaka kadhaa.
Ila huu ushirikiano ulipo kati ya TZ na CN maybe unaweza fanya
Kwa Tanzania ni suala la muda tu, tutegemee wachina kuanzisha kiwanda cha magari ya umeme cause malighafi tegemezi ya betri yaani graphite ynapatikana wilayani Rungwa, Lindi, na uchimbaji Karibuni utaanzaHapo nafikiri Kuna vigezo na masharti havijazingatiwa. Kuna suala la matumizi na kuanza kuchoka pia, battery zitapunguza ufanisi kutokana na muda zilizotumika. Niliona mahali zinatakiwa zibadilishwe ndani ya miaka 10 au umbali wa 100,000 km.
Na pia najaribu kuwaza charging Kwa nyumbani na kwenye charging station, units ni zile zile tofauti ni muda tu?
Nnavyoelewa charging station ni kama fast charger ya simu, unaweza muda mfupi battery imejaa.
Ukiona hivyo ujue anakupanga tu.Alafu sijui kwann fundi akiwa ana kutajia gharama anakuwa anafuta futa mikono na tambala lake 😄
SAfiNipo chuga ......naona zinakuja kwa kasi...Kuna boda wabazitumia pua
Itabidi kuja na fundi wakoImagine kwa elfu 40 tu unaweza kwenda na kurudi Dodoma ukitokea Dar.
Mfano, ukiwa na Tesla Model 3 yenye battery ndogo kabisa 57.5 kWh (hii ndio battery ndogo ipo kubwa Long Range ila tusiiongelee hapa), inamaana utatumia unit 57.5 tu kuijaza full charge. Na kwa bei ya sasa, unit moja ya umeme ni Tsh 358, so ukizidisha na ukubwa wa battery ni elfu 20!
Na hii model ikiwa full charge inatembea jumla ya kilometa 513. Na distance kutoka Dar hadi Dodoma ni Kilometa 460!
Kwahiyo hapo ushaenda na zinabaki kilometa za kutosha za misele hapo Dom.
So na kurudi hivo hivo, jumla 40.
Mtu, mwenye IST akiiga yeye kwa average fuel consumption ya 20km/L atataka elfu 70 ya mafuta kwenda tu na kurudi ivyo ivyo. Jumla 140,000/=
Kuna kuwa na kamda kama dk 5 10 hivi ya kupigana kiswahili 😆Ukiona hivyo ujue anakupanga tu.
Ikitokea gari zimefika, charging stations zitakuja tu.Kwa Tanzania ni suala la muda tu, tutegemee wachina kuanzisha kiwanda cha magari ya umeme cause malighafi tegemezi ya betri yaani graphite ynapatikana wilayani Rungwa, Lindi, na uchimbaji Karibuni utaanza
kwani lazima charging stations lazima ziletwe na serikali? vp mtu akinunua mfano ww au mimi nimenunua EV nikaleta na power station yake naifunga nyumbani kwangu natumia mwenyewe au mjini kwa ajili ya biashara yeyote mwenye EV yake alete vp inaruhusiwa au mpaka uwe na kibali maalum.? na hizo power zinauzwa shiling ngapi kwa level tofauti.Ikitokea gari zimefika, charging stations zitakuja tu.
Swali la msingi sana.kwani lazima charging stations lazima ziletwe na serikali? vp mtu akinunua mfano ww au mimi nimenunua EV nikaleta na power station yake naifunga nyumbani kwangu natumia mwenyewe au mjini kwa ajili ya biashara yeyote mwenye EV yake alete vp inaruhusiwa au mpaka uwe na kibali maalum.? na hizo power zinauzwa shiling ngapi kwa level tofauti.
Ndio namna yao ya kutupiga 🤣🤣Alafu sijui kwann fundi akiwa ana kutajia gharama anakuwa anafuta futa mikono na tambala lake 😄
asante sana kwa elimu hii..Swali la msingi sana.
Charging stations zipo za level kweli na wameziweka kwenye level 3, yaani level 1, 2 na 3 ambazo zinachotofautiana ni umeme (current).
View attachment 3092020
Level 1
Hii ipo slow, kwa wastani inaweza kuongeza kama kilometa 6 hivi ya range kwa saa 1 utakalochaji.
Mara nyingi zinakua installed majumbani na nzuri kwa kuchaji overnight unavyolala.
Hii sio lazima iwe charging station, inaweza kua ata umeme wa nyumbani unaotumia kuwasha TV na friji ukatoa tu waya nje ukachaji chuma.
View attachment 3092017
Level 2
Hii ipo katikati kwa wastani unapata kilometa 30 hivi za range ukichaji kwa saa 1.
Hii pia inaweza kua installed nyumbani au kazini, pia baadhi ya public charging stations.
Level 3
Hii ndio fastest inaweza kuongeza hadi kilometa 30 kwa kila dakika unayochaji. Mara nyingi chini ya saa 1 unakuta uamechaji gari from 0 to 100%!
Hii sometimes inaitwa DC Fast Charging u akuta baadhi ya watu wameimprove inaitwa Super Charger na utaikuta mara nyingi katika public stations mfano ikawekwa Mlimani City ukishuka unaweka chaji we unaingia supermarket ndani ya 30 minutes utazofanya shopping unakuta gari imejaa from 30 to 90% mfano.
Sasa tukaja kwenye maswali yako, Yes mtu anaweza akainstall izo charging stations yoyote nyumbani kwake au ofisini au popote kwa matumizi binafsi au biashara, yaani assume kama tu kituo cha mafuta.
View attachment 3092018
Majumbani wengi wana level I kwasababu inatumia voltage za majumbani 120V so hauitaji ufundi mwingi.
Kuhusu gharama:
Mara nyingi ukinunua EV unapewa chaja (mobile chaja). Yaani kama umenunua simu mpya tu.
Mfano Tesla, unakuta hii mobile chaja.
View attachment 3092022
Ambayo sio gharama sana ni kama $600 kama unavyoona. Na zipo alternative, yani Kama unavyotumia iPhone lakini chaja ukatumia Oraimo au kichwa cha Tecno.
Kwahiyo kuhusu bei za chaja unless ununue tu kama umepoteza maana vichwa vinafanana kama simu.
Mfano simu zina Type C, type B sijui na zile za iPhone basi na EV zina connector za aina mbalimbali kutegemea na region na DC au AC (ila lazima ziwe mbili za AC na DC)
View attachment 3092024
Usiogope pia kwasababu gari lako litakua na port mbili kama hivi:
View attachment 3092025
Sasa utajiuliza tena vipi kama charger yangu itakuja tofauti na port za gari langu, usijali kuna adapter pia:
View attachment 3092028
Kwahiyo kaka sijaona sababu ya kutonunua EV achana na PureviwZeiss uyo Mjapan hapendi Wachina.
Kwahiyo mtu unaweza nunua yako home ukawa unatumia umeme wako ghetto.
PS: Kuchaji kwenye public stations sio bure unalipia, na point ya kununua EV ni home charging, kama lengo kusave hela. Ukiwa unachaji kila siku kwenye public bora ubaki na ICE.
Research walizofanya wenzetu, wameona kuchajia kwenye public ni expensive 15-20 times more kulikoa kuchajia home.
Tatizo serikali Wana matajiri wao ambao wanauza mafutaSerikali unatakiwa iondoe Kodi ili hizi gari tutumie.kwanza ni rafiki wa mazingira na pili zinaokoa gharama zinazotumika kuagiza mafuta
Angalia calculator ya TRA aka watoto wa zakayoWADAU KUNA MAGARI YA UMEME NAYAONA ALIBABA....BEI INAONEKANA SIYO MABAYA...VIP HAPO BANDARINI UTARATIBU UMEKAAJE KWA MAGARI YA CHINA
Mkuu hapo ni telsa model 3 ya 2020Angalia calculator ya TRA aka watoto wa zakayo
Mmh turbo inafunguka mapema tu sio hadi ufike 100 sio kweli,hata ukipaki ukiikanyagia utaisikia tu.Aqua ni cc1300 hybrid.
Volvo cc 2000, ukitembea zaidi ya 100km/h turbo zinafunguka unapepea balaa. Shida ni hapo kwenye mwarabu tu.
Tatizo za EV ya kubadirisha inakua challenge range. Unakuta full charge inaenda kilometa 70.Juzi nimeenda kwenye maonyesho viwanja vya sababa nikakutana na huyu mwamba amebadilisha gari kutoka kwenye mafuta ameweka mfumo wa umeme