Ukiwa na Gari hapa dar hakuna sehemu utaiona Mbali

Ukiwa na Gari hapa dar hakuna sehemu utaiona Mbali

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Toka nimeingia jiji la dar kutoka mkoani miezi michache iliyopita, Hatimaye nimenunua gari yangu ya kwanza hivi karibuni ikabidi kwanza niitest chombo kwa kutembea sehemu mbalimbali nikiwa na mwenyeji wangu hapa dar.

Aisee kila sehemu naona ni karibu mno tofauti na nilivyofikiria na ku-experience wakati sina gari, Hii imenifanya kukiri kuwa kuna watu hapa dar hawapendi kununua viwanja vilivyo mbali ya mji sio kwasababu ya huduma za kijamii hazijafika NOO! shida hana gari la kumfikisha anapotaka kwa haraka hivyo anaona ni bora akae nyumba za kupanga maeneo ya karibu na barabara alipe kodi ya laki mbili, tatu mpaka nne kisha adandie bolt za Bajaji, boda boda au gari mara chache kuliko kwenda kununua kiwanja cha milioni 1 au mbili mbali na mji ili ajenge nyumba nzuri na eneo kubwa kwa afya yake na familia yake hizi ni fikra za kiumaskini.

Vijana, wanaume, mabinti wanawake nunueni magari kisha mkajenge nje ya mji utaenjoy sana hakuna sehemu utaiona mbali mchawi GARI tu, Mimi naenda zangu.
 
Mafuta go and return (15000 had 20000 X 20 za kaz 300,000 had 400,000 , mshahara 800,000 had 900,0000 bado makato ya mkopo WA gari na bodi ya mkopo) n.k


Mkuu gari ni zuri sana kuna watu walimilk mwanzon wakaon kila ktu kina wezekan kama wew ngoja Tukupe 3 - 6 months uje utupe good way of useful of car rather than huo mzuka


[emoji1783][emoji849][emoji613] Mimi nasubr second chance ya kununua hybrid care ,
 
Mafuta go and return (15000 had 20000 X 20 za kaz 300,000 had 400,000 , mshahara 800,000 had 900,0000 bado makato ya mkopo WA gari na bodi ya mkopo) n.k


Mkuu gari ni zuri sana kuna watu walimilk mwanzon wakaon kila ktu kina wezekan kama wew ngoja Tukupe 3 - 6 months uje utupe good way of useful of car rather than huo mzuka


[emoji1783][emoji849][emoji613] Mimi nasubr second chance ya kununua hybrid care ,
gari yangu nimenunua kwa saving zangu mwenyewe ila mshahara utajijua wenyewe, niache😀
 
Toka nimeingia jiji la dar kutoka mkoani miezi michache iliyopita, Hatimaye nimenunua gari yangu ya kwanza hivi karibuni ikabidi kwanza niitest chombo kwa kutembea sehemu mbalimbali nikiwa na mwenyeji wangu hapa dar.

Aisee kila sehemu naona ni karibu mno tofauti na nilivyofikiria na ku-experience wakati sina gari, Hii imenifanya kukiri kuwa kuna watu hapa dar hawapendi kununua viwanja vilivyo mbali ya mji sio kwasababu ya huduma za kijamii hazijafika NOO! shida hana gari la kumfikisha anapotaka kwa haraka hivyo anaona ni bora akae nyumba za kupanga maeneo ya karibu na barabara alipe kodi ya laki mbili, tatu mpaka nne kisha adandie bolt za Bajaji, boda boda au gari mara chache kuliko kwenda kununua kiwanja cha milioni 1 au mbili mbali na mji ili ajenge nyumba nzuri na eneo kubwa kwa afya yake na familia yake hizi ni fikra za kiumaskini.

Vijana, wanaume, mabinti wanawake nunueni magari kisha mkajenge nje ya mji utaenjoy sana hakuna sehemu utaiona mbali mchawi GARI tu, Mimi naenda zangu.
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
Huyo mshahara kuna kipindi utapanda tu huko mbeleni.
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
Kama kichwa chako ni active hakuna wakati utakuwa na Hera za kutosha, gari nilimiliki kipato changu Laki nne kwa mwezi na hakuna siku nililiacha , ila hakuna siku nilijaza full tank pia, lilidumu zaidi ya miaka SITA mpaka kipato changu kilipoongezeka kikakuta gari ipo,muhimu nunua gari Toka Japan,ni costfully ila ni salama kwa uchumi wako wa baadae,
 
Toka nimeingia jiji la dar kutoka mkoani miezi michache iliyopita, Hatimaye nimenunua gari yangu ya kwanza hivi karibuni ikabidi kwanza niitest chombo kwa kutembea sehemu mbalimbali nikiwa na mwenyeji wangu hapa dar.

Aisee kila sehemu naona ni karibu mno tofauti na nilivyofikiria na ku-experience wakati sina gari, Hii imenifanya kukiri kuwa kuna watu hapa dar hawapendi kununua viwanja vilivyo mbali ya mji sio kwasababu ya huduma za kijamii hazijafika NOO! shida hana gari la kumfikisha anapotaka kwa haraka hivyo anaona ni bora akae nyumba za kupanga maeneo ya karibu na barabara alipe kodi ya laki mbili, tatu mpaka nne kisha adandie bolt za Bajaji, boda boda au gari mara chache kuliko kwenda kununua kiwanja cha milioni 1 au mbili mbali na mji ili ajenge nyumba nzuri na eneo kubwa kwa afya yake na familia yake hizi ni fikra za kiumaskini.

Vijana, wanaume, mabinti wanawake nunueni magari kisha mkajenge nje ya mji utaenjoy sana hakuna sehemu utaiona mbali mchawi GARI tu, Mimi naenda zangu.
Bado mgeni na gari na kahela ka mkopo bado kapo ngoja kakate, kutoka Morocco kwenda Magomeni utapanda mwendokasi🤣🤣🤣🤣
Nimekaa paleee👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻
 
Kama kichwa chako ni active hakuna wakati utakuwa na Hera za kutosha, gari nilimiliki kipato changu Laki nne kwa mwezi na hakuna siku nililiacha , ila hakuna siku nilijaza full tank pia, lilidumu zaidi ya miaka SITA mpaka kipato changu kilipoongezeka kikakuta gari ipo,muhimu nunua gari Toka Japan,ni costfully ila ni salama kwa uchumi wako wa baadae,
mwambie huyo mkuu haelewi
 
Mkuu si natembea na dumu la mafuta tena lile la lita tano kwani nini? uchawi gari tu hapa mjini 😀 😀
Dogo nunua la 10Ltr linatosha liweke kwenye buti kama gari yako ni sedan ina kama hutchback, utalewa harufu ya petroleum
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
[emoji817]%

Anategemea salary na Zaid kama hajafanya haya
Hana biashara yoyote (other way ya kuingiz kipato)
Hana makaz makaz (hajajenga)


[emoji613]Lakn kama ana gari ndogo Chin ya 1.5L na matumiz ni yale ya lazm sio mbaya


Dah nmeishi na Gari miaka miwili + (my premio X - 1.8L ) japo imenipa thaman ILA nimeiuza kwanza Asee maan hakuna Zaid ya kuweka mafuta 30,000 had 50,000= after 2 to 3 days
 
[emoji817]%

Anategemea salary na Zaid kama hajafanya haya
Hana biashara yoyote (other way ya kuingiz kipato)
Hana makaz makaz (hajajenga)


[emoji613]Lakn kama ana gari ndogo Chin ya 1.5L na matumiz ni yale ya lazm sio mbaya


Dah nmeishi na Gari miaka miwili + (my premio X - 1.8L ) japo imenipa thaman ILA nimeiuza kwanza Asee maan hakuna Zaid ya kuweka mafuta 30,000 had 50,000= after 2 to 3 days
Depal experience yako tafadhali sana..!!
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada

Mkuu kwa haya mawazo inawezekana wewe ndo foolish. Soma tena ulivyoandika.
 
Back
Top Bottom