Ukiwa na Gari hapa dar hakuna sehemu utaiona Mbali

Ukiwa na Gari hapa dar hakuna sehemu utaiona Mbali

Mafuta go and return (15000 had 20000 X 20 za kaz 300,000 had 400,000 , mshahara 800,000 had 900,0000 bado makato ya mkopo WA gari na bodi ya mkopo) n.k


Mkuu gari ni zuri sana kuna watu walimilk mwanzon wakaon kila ktu kina wezekan kama wew ngoja Tukupe 3 - 6 months uje utupe good way of useful of car rather than huo mzuka


[emoji1783][emoji849][emoji613] Mimi nasubr second chance ya kununua hybrid care ,
Acha kuwapangia watu maisha na hesabu zako za kishamba.Hadi kanunua gari unajuwa pesa katoa wapi.Watu wa mkoani bana.
 
Acha kuwapangia watu maisha na hesabu zako za kishamba.Hadi kanunua gari unajuwa pesa katoa wapi.Watu wa mkoani bana.
Hiyo ni experience yangu towards kipato cha mtu

Inakomaa kuwek mafuta then unashnd njaa
Ujeruman wanatumia baiskeli wale wapo kijijin kwenu

Mkuu Mimi co wa mkoan
ILA karbu jijini
 
Hiyo ni experience yangu towards kipato cha mtu

Inakomaa kuwek mafuta then unashnd njaa
Ujeruman wanatumia baiskeli wale wapo kijijin kwenu

Mkuu Mimi co wa mkoan
ILA karbu jijini
Eti Ujerumani mtu kaongelea dar unaleta habari za Ujerumani mkuu we kaa Bariadi utumie zako baiskeli
 
Eti Ujerumani mtu kaongelea dar unaleta habari za Ujerumani mkuu we kaa Bariadi utumie zako baiskeli
Mkuu nazn bado emotion zinakuuendesha stay focus
Comments zmekupg kwa mshono
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
mUkuu wang kwann huwa una makasiriko muda wote humu jeiefuu?
 
Kwangu Mimi basic needs sio tatu ni NNE, ya nne ndio hiyo Transport!

Kuwa na uhakika wa usafiri wa haraka na timely, muda wowote unaotaka kufika sehemu ukafika kwa Ku save time na rasmali nguvu za kusimama na kushika chuma muda mrefu kwa watu wa mishe mishe hapa mjini ni jambo zuri sana na strategic sana

Mtu asimiliki gari kama operation cost kwake bado ni mzigo mzito kutokana na anachokiingiza,

Lakini ikiwa kwa nature ya mambo yake ni mtu wa kutoka pale Mara hapa Mara pale na ana afford operation cost basi aache upare anunue gari

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mtumishi yoyote anae pokea mshahara chini ya 1m take home na iko btn 25 to 45yrs akaendelea kununua gari na kuitumia kila siku is economically foolish.... ni limbukeni kama mleta mada
Hata terrios kid mkuu?
 
Back
Top Bottom