Multaza Hr
Member
- Jan 10, 2025
- 83
- 182
Mkuu Multaza Hr unatoa ushauri gani Mkuu.. tusaidie hali ni mbayaKatika skills ambayo watu wengi hawana ni "Communication skills"
Asilimia kubwa ya watanzania wanakosa hii skills .
Ukiwa hauna uwezo wa kuwasiliana vizuri basi hata hizi Ajira zetu za 300K-500K sio ajabu ukawa unazitafuta Kwa tochi na haupati.
Vijana wengi hii kitu imewakosesha Sana fursa.
Tazama mwandiko wako umekaaje !
Tazama usikivu wako dhidi ya watu.
Tazama ongea yako dhidi ya watu , na utajifunza kitu .
Umeshapata job ? Kama bado umesomea nini .Mkuu Multaza Hr unatoa ushauri gani Mkuu.. tusaidie hali ni mbaya
Bado Mkuu Mungu niguse .. Nimesoma Bachelor of Arts in Economics (BA Economics)Umeshapata job ? Kama bado umesomea nini .