Jimny
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 344
- 849
Wewe na mshamba_hachekwi ni ndugu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just like me !! , nimejaribu sana kutumia wallet lakini inanishinda ,Tusiokuwa na hata wallet tunacomment wapi?
Kutegemea pesa ndio utongoze ni dhahiri kwamba ww ni domo zege na muhongaji uliyekubuhuMaisha ni pesa na pesa ni nguvu mojawapo ya ujasiri na kujiamini katika maisha ya mapenzi na mahusiano.
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni mkali vipi ntamsomea ramani tu kinyele bila swaga.
Nikiwa sina Laki moja na kuendelea kwenye wallet sijihangaishi na hisia za mademu kwenye anga za harakati.
Je vipi kuhusu nyie mabaharia wenzangu?
kiroho safi tupo nchi ya Lamama wetu.
Wadiz
Uzi ungeishia hapa. Mkuu usipige kwenye mshono.It is all about Confidence,, tulianza kuwa na wanwake kabla hatujaanz kuwa na hela,, hizo mentality ndio zinawafanya kila siku myaone mapenzi mateso.Tuna tafuta hela kwa ajili ya kutunza familia zetu na kuish maisha bora sio kupita tunatongoza wanawake. Mkiambiwa nyinyi washamba hua mnamaind!!!!!
Hata nikiwa empty handed natongoza tu....kutongoza ni kama mazoezi ya kunoa kucha kwa chui....kwa mwanaume kamili,Maisha ni pesa na pesa ni nguvu mojawapo ya ujasiri na kujiamini katika maisha ya mapenzi na mahusiano.
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni mkali vipi ntamsomea ramani tu kinyele bila swaga.
Nikiwa sina Laki moja na kuendelea kwenye wallet sijihangaishi na hisia za mademu kwenye anga za harakati.
Je vipi kuhusu nyie mabaharia wenzangu?
kiroho safi tupo nchi ya Lamama wetu.
Wadiz