Ukiwa na mahusiano na nurse (nesi) uwe na moyo mgumu

Ukiwa na mahusiano na nurse (nesi) uwe na moyo mgumu

Lucha

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2018
Posts
14,516
Reaction score
50,658
Wakuu katika harakati zangu niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja ambae ni Nesi huyu nili-plan had kumuoa ili tusaidiane kwenye maisha.

Hatua za mwisho za mahusiano yetu alianza kunidanganya yupo shift za usiku kila siku, lakini hali ilizidi hadi nikahisi hatari nikiwa kama binadamu mwenye moyo nilianza kumchunguza, siku 1 nilienda sehemu anayofanya kazi night lakini wale wafanyakazi wenzake wakaniambia hayupo na siku hiyo alisomeka off duty, ilibidi niondoke tu nikakaa kimya.

Asubuhi nikamuuliza jana ulikuwa kazini? Akaanza kunijibu "kwani sikukwambia kuwa nipo shift ya usiku? Au unaniona malaya? "

Ilibidi nitumie busara za kiume tu nikamwambia samahani nilisahau, siku zilienda mapenzi yakapungua kumbe alikuwa anatembea na mkuu wake wa kazi. Nilijaribu tena kwenda night kwa baadhi ya siku zingine zilizofata na baadae nilichoka.

Siku moja nikamwita nikamueleza ukweli wote na vithibitisho vya kutosha baadae nikamwambia "kama tulivyopendana kwa wema naomba mapenzi yetu nayo yaishe kwa wema, nilikupenda sana lakini kwa sasa mapenzi yamegonga ukuta. Naomba uendelee na maisha yako nami niendelee na maisha yangu"

Aliniomba msamaha lakini nilishindwa kabisa kumsamehe na nilishukuru kwa kuyatambua yale mapema pengne ningekuja kuyatambua wakati tumeoana ingekuwa ni msalaba mzito zaidi kwangu

GunFire
 
Uliharibu sana ulivo mchunguza kama unapata papuchi kwa wakati hofu yako niyanini hata aliwe na dunia nzima
 
Viumbe wa sekta ya afya siwaambin kabisa...hawa hawa ma binti....
Niliwaingiza wawili laini nikiwa namuuguza mgonjwa hospitalini.
Wala sio wa maneno mengi...ni kuvuta tuu
sijui kwann inakua hivi

GunFire
 
Ningekua namkumbuka ningemrudia hata sasahiv mkuu yeye had sasa anajuta kwa alichokifanya ila moyo wangu hauwez kuvumilia ujinga

GunFire
Lkn usiwaseme vibaya wakunga kisa nesi wako alikuwa malaya, umalaya ni tabia inayoweza kurithiwa na mtu yeyote hivyo kuwa nesi sio kuwa malaya
 
Huu msemo unafaa kutumika kwa wanawake wale unao wachapa na kuacha ila kwa unaetaka kumfanya mke Ni lazma umchunguze

GunFire
Hakuna mwanadamu aliyekamilika hata hao unaowaona ni sahihi kumfanya mke wana mabaya yao ila wewe huoni kutokana na upofu wa kupenda sana.

Amani na upendo utakuja kila mtu akichukulia poa mapungufu ya mwenzake.
 
Lkn usiwaseme vibaya wakunga kisa nesi wako alikuwa malaya, umalaya ni tabia inayoweza kurithiwa na mtu yeyote hivyo kuwa nesi sio kuwa malaya
Mimi sijasema manesi ni malaya mkuu ila nimesema ukiwa na mahusiano nao uwe na moyo mgumu tu kutokana na jins kaz zao zilivyo hazihitajiki uwe na wivu

GunFire
 
Back
Top Bottom