Ukiwa na mapesa unaweza kununua kila kitu, isipokuwa mambo haya

Ukiwa na mapesa unaweza kununua kila kitu, isipokuwa mambo haya

Hakuwadhibiti kwa sababu aliwapa uhuru wa kuchagua mema au mabaya. Lakini aliwaonya kabla kwamba wakila tunda walilokatazwa watakufa. Hata leo Mungu bado anaonya kwamba kuna hukumu inakuja. Usitarajie atakudhibiti. Ukiamua kumkataa usimlaumu siku ya hukumu.
Kama aliwapa uhuru wa kuchagua mema na mabaya halafu ukichagua mabaya unakufa, Sasa huo ni uhuru au mtego?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?

Huo ni uhuru au mtego?

Ni sawa na wewe uwaambie wanao, Wana uhuru wa kuchagua kwenda shule au kukaa nyumbani, lakini endapo watachagua kukaa nyumbani watachapwa viboko.

Sasa hapo utakuwa umetoa uhuru kwa wanao au mtego?
 
Mungu hajulikani kwako wewe kwakuwa hujamtafuta kwa moyo wa dhati
Isa 55:6-7
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu. Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
Huyo Mungu kwa nini anajificha huko alipo halafu anataka atafutwe?

Huyo Mungu akijitokeza hadharani na kila mtu akamjua na kumwamini atapungukiwa nini?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
Mungu hajulikani kwako wewe kwakuwa hujamtafuta kwa moyo wa dhati
Isa 55:6-7
Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu. Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
Dah nimefika mwisho wa kujadili hii mada yako hatuwezi kuelewana..
Unanukuu mistari ya biblia ambayo haina uhalisia kwa kizazi cha sasa
Nakushauri jaribu kuwa mdadisi wa imani yako hata mimi zaman nilkuwa kama wewe...
ONELOVE!
 
Kwa nini pesa ishindwe kununua furaha?
Ukiwa na pesa maisha mazuri tahari matatizo mengine yote ujue umeyataka mwenyewe na nyege nyege zako.
Pesa ndio kila kitu
 
Dah nimefika mwisho wa kujadili hii mada yako hatuwezi kuelewana..
Unanukuu mistari ya biblia ambayo haina uhalisia kwa kizazi cha sasa
Nakushauri jaribu kuwa mdadisi wa imani yako hata mimi zaman nilkuwa kama wewe...
ONELOVE!

Dah nimefika mwisho wa kujadili hii mada yako hatuwezi kuelewana..
Unanukuu mistari ya biblia ambayo haina uhalisia kwa kizazi cha sasa
Nakushauri jaribu kuwa mdadisi wa imani yako hata mimi zaman nilkuwa kama wewe...
ONELOVE!
Pole sana kwa kuchagua kujiunga na kizazi kisicho na imani, kizazi kilichopotoka (Lk 9:41). Geuka kabla neema haijafungwa vinginevyo...
Utajuta Yesu atakaporudi
 
Lengo la uzi sio kuibeza pesa. Pesa ni muhimu. Tuitafute, lakini tujue hatuwezi kuyanunua kwa pesa mambo hayo yaliyotajwa.
Unatafuta pesa ili ununue hayo mambo au una malengo yako?? Furaha ni nini? Hivi kama furaha yako ni mama yako, lkn anaumwa ukatumia pesa kumtibu hiyo pesa haijakurejeshea furaha?? Au unahs furaha ni kitu km kiatu unakinunua kwa mara1? Furaha na ujinga mwingne wote ulioandikwa ni mchanganyiko wa mambo mengi sana! Hivyo kwa pesa uhai unanunua sana tu!
 
Unatafuta pesa ili ununue hayo mambo au una malengo yako?? Furaha ni nini? Hivi kama furaha yako ni mama yako, lkn anaumwa ukatumia pesa kumtibu hiyo pesa haijakurejeshea furaha?? Au unahs furaha ni kitu km kiatu unakinunua kwa mara1? Furaha na ujinga mwingne wote ulioandikwa ni mchanganyiko wa mambo mengi sana! Hivyo kwa pesa uhai unanunua sana tu!
Subiri siku yako ya kuondoka duniani ifike, halafu uchukue mapesa yako ununue miaka 20 zaidi ya kuishi kisha uje humu ushuhudie kuwa pesa zinanunua uhai.
 
Subiri siku yako ya kuondoka duniani ifike, halafu uchukue mapesa yako ununue miaka 20 zaidi ya kuishi kisha uje humu ushuhudie kuwa pesa zinanunua uhai.
Kwahiyo watu wanatafuta pesa ili wasife???
 
Unanukuu mistari ya biblia ambayo haina uhalisia kwa kizazi cha sasa
Usiseme nanukuu mistari ya Biblia ambayo haina uhalisia kwa kizazi cha sasa. KIzazi cha sasa kina watu wanaoamini; wanaoona uhalisia wa mistari ya Biblia. Mimi ni mmoja wao.
Ila kwa wanaopotea...
"...neno la msalaba... ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa. Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu? Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa..."
1 Wakorintho 1:18-31 SRUV
 
Back
Top Bottom