Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 623
- 533
2️⃣ Kununua Amani ya Moyoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je HAKUJUA kwamba Adamu na Hawa watakula hilo tunda licha ya kuwakataza?Labda kwa mifano utanielewa. Kwani ukinunua gari Japan si unalipata likiwa perfect? Gari linakuja na user manual. Usipofuata masharti ya jinsi ya kulifanya liendelee kuwa perfect, litahabirika. Adam na Hawa walipewa masharti wasile matunda ya mti uliokuwa katikati ya bustani; Mungu akawaambia wakila watakufa. Walikaidi amri hiyo. Kuanzia wakati huo kifo kikaingia na uovu ukaingia. Ila kwa kuwa Mungu anatupenda ametuandalia tena makazi yasiyokuwa na evils. Ukitubu na kumwamini Yesu utaingia katika mbingu isiyokuwa na evils. Tuko pamoja?
Hakuangamiza uovu; aliangamiza waovu. Waliozaliwa baada ya Nuhu walikuwa na asili ile ile ya dhambi ya Adam na Hawa. Hawakupenda kumfuata Mungu kama baba yao Nuhu, hatimaye wangaamizwa tena kwa moto katika miji ya Sodoma na Gomora. Waliozaliwa baada ya maangamizi ya Sodoma na Gomora wakapendelea dhambi badala ya kumpenda Mungu. Hukumu inakuja nayo ni moto wa mileleKwanza huyo Mungu kipindi cha Nuhu(Noah), Si aliangamiza uovu, dhambi na waovu wote kwa gharika kuu la mafuriko?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu?Hakuangamiza uovu; aliangamiza waovu. Waliozaliwa baada ya Nuhu walikuwa na asili ile ile ya dhambi ya Adam na Hawa. Hawakupenda kumfuata Mungu kama baba yao Nuhu, hatimaye wangaamizwa tena kwa moto katika miji ya Sodoma na Gomora. Waliozaliwa baada ya maangamizi ya Sodoma na Gomora wakapendelea dhambi badala ya kumpenda Mungu. Hukumu inakuja nayo ni moto wa milele
Sikiliza, BLACKTIGER: kuna watu wanatafuta mapesa kwa nguvu zote, wakidhani kwamba wakipata mapesa watapata amani tele, furaha tele, uzima tele; lakini kinyume chake baada ya kupata mapesa wanajikuta bado hawana raha tele wala furaha tele wala amani tele kama walivyotarajia. Hivyo lengo la uzi huu ni kutuasa kwamba pesa peke yake haiwezi kutupa amani ya kweli, furaha ya kweli na uzima wa milele. Pesa tuitafute na Mungu tumtafute. Tukiwa na pesa, tukawa na Mungu pia katika maisha yetu tutapata yote yanayoweza kununuliwa kwa pesa na tutapata yasiyoweza kununuliwa kwa pesa kama vile amani ya kweli, furaha ya kweli na uzima wa milele. Hapo vipi. Tuko pamoja?Bado sijakupata ndo maana nasema unachanganya.. mungu na pesa ni vitu viwili tofauti Na havina uhusiano wowote.
Hili nimeishalijibu. Hakuumba dunia yenye uovu. Dunia ilikuwa perfect. Mwanzoni hakukuwa na magonjwa wala kula kwa jasho wala kifo. Hata mavazi hayakuhitajika. Uovu uliingia baada ya Adam na Hawa kuvunja vigezo na masharti. Lakini bado Yesu anatuandalia makao mengine yasiyokuwa na uovu.Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu?
Sijasema tusiitafute pesa. Tuitafute. Ila pesa peke yake haiwezi kutupatia amani ya kweli. Tukitafuta pesa, tusisahau kumtafuta pia Mungu awezaye kutupatia amani ya kweli na uzima wa milele. Uzima wa milele hatuwezi kuupata kwa mapesa.Itafutwe pesa amani itapatikana
Ok lakini ufaham kwamba sio watu wote wanaamini katika huyo mungu unayemjua weweSikiliza, BLACKTIGER: kuna watu wanatafuta mapesa kwa nguvu zote, wakidhani kwamba wakipata mapesa watapata amani tele, furaha tele, uzima tele; lakini kinyume chake baada ya kupata mapesa wanajikuta bado hawana raha tele wala furaha tele wala amani tele kama walivyotarajia. Hivyo lengo la uzi huu ni kutuasa kwamba pesa peke yake haiwezi kutupa amani ya kweli, furaha ya kweli na uzima wa milele. Pesa tuitafute na Mungu tumtafute. Tukiwa na pesa, tukawa na Mungu pia katika maisha yetu tutapata yote yanayoweza kununuliwa kwa pesa na tutapata yasiyoweza kununuliwa kwa pesa kama vile amani ya kweli, furaha ya kweli na uzima wa milele. Hapo vipi. Tuko pamoja?
Nakuuliza hivi..👇Hili nimeishalijibu. Hakuumba dunia yenye uovu. Dunia ilikuwa perfect. Mwanzoni hakukuwa na magonjwa wala kula kwa jasho wala kifo. Hata mavazi hayakuhitajika. Uovu uliingia baada ya Adam na Hawa kuvunja vigezo na masharti. Lakini bado Yesu anatuandalia makao mengine yasiyokuwa na uovu.
Yohana 14:2-3
Nyumbani mwa Baba yangu kuna makao mengi. Kama sivyo, ningewaambia. Naenda kuwaandalia makao. Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo nanyi mpate kuwepo.
Makao yanaandaliwa kwa wote wanaoamini. Wasioamini watatupwa katika moto wa milele
Ndiyo mkuu sijui kama bado yupo maana hawezi ishi milele.Dah, huo wimbo😀
Ila huyo mama Diana akiokoka ataurithi uzima wa milele
Hili swali pia nimeishakujibu. Mungu alipowaumba Adam na Hawa aliwapa free will; hakuumba marobot. Labda utauliza tena: kwanini aliwapa free will? Huo ni uamuzi wake Yeye Muumbaji.Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kuvunja vigezo na masharti?
Mungu hajulikani kwako wewe kwakuwa hujamtafuta kwa moyo wa dhatiila mungu hajulikani na hapatikani!
Ndiyo zipo mvua za kutengeneza...Unaweza kununua mvua?
Hakuwadhibiti kwa sababu aliwapa uhuru wa kuchagua mema au mabaya. Lakini aliwaonya kabla kwamba wakila tunda walilokatazwa watakufa. Hata leo Mungu bado anaonya kwamba kuna hukumu inakuja. Usitarajie atakudhibiti. Ukiamua kumkataa usimlaumu siku ya hukumu.Mungu mjuzi wa vyote, Alishindwaje kuwadhibiti Adamu na Hawa wasile hilo tunda?
Japo maisha siyo kutesa Kila siku ila pesa ndiyo Kila kitu...Aah, za kutengeneza ni chache; vinginevyo kusingekuwa na njaa duniani
Freewill ambayo baadae inakuja kuingilia uhuru wako wa kufanya mabaya kwa kupewa adhabu kwa mabaya uliofanya, Hiyo sio freewill.Hili swali pia nimeishakujibu. Mungu alipowaumba Adam na Hawa aliwapa free will; hakuumba marobot. Labda utauliza tena: kwanini aliwapa free will? Huo ni uamuzi wake Yeye Muumbaji.
Warumi 9:20:
"Lakini, ee mwanadamu, u nani wewe umhojiye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kitamwambia yeye aliyekiumba, ‘Mbona umenifanya hivi?’"