Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Dunia ipo tayari kumpatia mtu yeyote kitu chochote saa yeyote kila anachokitaka kama ukiiomba?

Swali ni jee nawezaje kuomba na nikapata ninavyovihitaji?

Kila kitu ni siri dunia hii, na ukiijua siri utakuwa free kwa yale uliyoyafichwa kutoyajua.

Jifunze kuomba kupata

Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Bravo, Ushauri mzuri sana Ahsante sana kwa niaba ya wengi
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Nimeipenda hii
 
Dunia ipo tayari kumpatia mtu yeyote kitu chochote saa yeyote kila anachokitaka kama ukiiomba?

Swali ni jee nawezaje kuomba na nikapata ninavyovihitaji?

Kila kitu ni siri dunia hii, na ukiijua siri utakuwa free kwa yale uliyoyafichwa kutoyajua.

Jifunze kuomba kupata unachokitaka....
Kwa niaba ya niliyeleta uzi na wengine pia, Ipi njia nzuri sana ya kuomba na kupata unachotaka (NB; Dini mkristo KKKT)
 
Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
umejitahidi kushauri.wengine wameandika Pumba.

akitaka kufanikiwa ajifunze kutumia muda wawatu kwaajili yakumuingizia hela nyingi
 
Kuchelewa au kuwahi ni kutokana na kufanya mlinganisho na waliofanikiwa,ukijilinganisha na mtu wa miaka 20 kitu basi utajiona umechelewa na ukijilinganisha na mtu wa age yako utajiona hajakupiga gap sana

Iko hivi boss kila mtu ana namna na mda wa kufanikiwa kimaisha,kwahiyo usikose furaha na amani kwakuwa fulani amefanikiwa,ukianza kuwa hivyo ndio uchawi unaanzia hapo

Siku zote kuwa mwenye shukrani kwa kile ulicho nacho na muombe Mungu akufikishe pale unapopataka,pambana huku ukiwa unatarajia ipo siku moja utafanikiwa,katu usijilinganishe na mtu yeyote yule katika mafanikio

Ila sio vibaya kupambana ufikie kama level za wengine,katu usiwe mnyonge hata kidogo,mda utafika na utashangaa pale utakapo angali nyuma miaka kadhaa na hutaamini macho yako

Keep ur head up never give up boss
 
Yaani

Tayari ngoma inasoma 35, hujajenga, hujaoa, huna kazi, huna biashara, huna connection yoyote.

Ila vitu ulivyokuwa navyo, una kitanda tayari na mashuka yako na baadhi ya vitu vya ndani, Una degree yako moja, umeamua kurudi nyumbani hapa hapa Dar kwa mzee kujipanga upya, mzee nae amekupokea na amekupa support ya kukwambia kaa mpaka pale wewe utakapo amua kuondoka tena na kwenda kuhusle.

Nafsi yako inasema utatoboa ila kila ukishika simu unaona, kuna yule mwanao wa chuo kaoa, mara unaona kuna mwanao wa secondari kanunua Crown athlete then kaandika God is Good.

Wazoefu ebu tupeni mbinu za hali na Mali, mambo yashaharibika huko.
Ukiona miaka imeenda speed sana na wewe umeshindwa kufanikiwa au haujui umefikaje hiyo miaka na bado huna muelekeo hiyo ni dalili Kuna nguvu ya wachawi au Mizimu ya ukoo inazui mafanikio yako njoo tujiunge na maombi ya usiku utaanza ona mabadiliko na kujua shida ni nini
 
Back
Top Bottom