Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

Kama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.

Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]

Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.

Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.

Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!

Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]


Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Threads ifunggwee kitu ambacho watz apate pesa asianze kupamba geto kwa sabufa kochi la laki 2 sijui hisense in 42 halafu anatoka saa 11 anarud 6 Usk after 2 yrs fashen zimepitwa ananza kununua vengn hyo hutoboi nara kiwanja na mil 3 kukenga anadunduluza tofali jamni watu wanadundulizq ela ima fixed account au kuinvest with high rewards
 
Yaani

Tayari ngoma inasoma 35, hujajenga, hujaoa, huna kazi, huna biashara, huna connection yoyote.

Ila vitu ulivyokuwa navyo, una kitanda tayari na mashuka yako na baadhi ya vitu vya ndani, Una degree yako moja, umeamua kurudi nyumbani hapa hapa Dar kwa mzee kujipanga upya, mzee nae amekupokea na amekupa support ya kukwambia kaa mpaka pale wewe utakapo amua kuondoka tena na kwenda kuhusle.

Nafsi yako inasema utatoboa ila kila ukishika simu unaona, kuna yule mwanao wa chuo kaoa, mara unaona kuna mwanao wa secondari kanunua Crown athlete then kaandika God is Good.

Wazoefu ebu tupeni mbinu za hali na Mali, mambo yashaharibika huko.
 
Threads ifunggwee kitu ambacho watz apate pesa asianze kupamba geto kwa sabufa kochi la laki 2 sijui hisense in 42 halafu anatoka saa 11 anarud 6 Usk after 2 yrs fashen zimepitwa ananza kununua vengn hyo hutoboi nara kiwanja na mil 3 kukenga anadunduluza tofali jamni watu wanadundulizq ela ima fixed account au kuinvest with high rewards
Hakika mkuu, kinachokwamisha Watanzania wengi ndiyo hicho.

Kutumia pesa ili kuonyesha wengine ninazo badala ya kutumia pesa kuongeza pesa.
 
Na kikubwa unachohitaji kuliko vyote ni afya njema, mtaji wa kwanza na WA muhimu kabisa. Ukiwa na utulivu wa akili na nafsi, mengine yanawezekana ila kukubali kwenda Kwa mwendo wako kwenye kutimiza malengo Yako.

Zingatia sana hili, usijisahau hapo nyumbani. Akili italemaa na kuona hata siku ingine mambo yakiwa magumu, utarudi nyumbani kujipanga.

Jambo la kwanza, jitahidi uondoke nyumbani ukapambane mkuu.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom