Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndiyo tindo zenyewe za kutobolea! Ukiishia kupokea ushauri tu bila kuzingatia hizo tindo hutoboi...nyundo hapo ni akili yako sasa, komaa utatoboa tu usiangalie umri, kuwa focused na malengo yako utafanikiwa (kutoboa kwa Gen Z)Nimependa hii, Fursa, Bahati, bidii.
WeweInategemea na Ukubwa wa juhudi zako nadhani
Threads ifunggwee kitu ambacho watz apate pesa asianze kupamba geto kwa sabufa kochi la laki 2 sijui hisense in 42 halafu anatoka saa 11 anarud 6 Usk after 2 yrs fashen zimepitwa ananza kununua vengn hyo hutoboi nara kiwanja na mil 3 kukenga anadunduluza tofali jamni watu wanadundulizq ela ima fixed account au kuinvest with high rewardsKama una nia unatusua kwa muda mfupi sana before 45.
Ila ushauri wangu, unajua Age35 mwanaume anakua na pressure sana ya kumiliki fixed Assets [Kiwanja, Nyumba, Gari, Fridges, L-sofas, 41 nches Tv nk]
Ili uwin sahau kabisa hivyo vitu hapo, utafika muda utaona pesa inaruhusu unavinunua bila kuathiri kipato.
Wewe kazania tu kuweka pesa kwenye biashara, Na Kama unataka kuanzia "0" kabisa bhasi Anza na biashara ndogondogo, Anza kesho.
Save pesa kwa nguvu kadiri uwezavyo, Itumie hiyo pesa kuwekeza zaidi, wekeza, ukipata wekeza, wekeza, wekeza,,,!!
Usikimbilie kununua vitu, kila unachosave save ajili ya kuwekeza tu [Hii mifano tu 👉Tawi lingine la biashara, Ufugaji kuku au Kilimo cha mazao ya bustani like Nyanya, pilipili n.k]
Next5years utakua na kila Asset unayoipenda, Next 10 years utakua Mfano wa kuigwa.
Yaani
Tayari ngoma inasoma 35, hujajenga, hujaoa, huna kazi, huna biashara, huna connection yoyote.
Ila vitu ulivyokuwa navyo, una kitanda tayari na mashuka yako na baadhi ya vitu vya ndani, Una degree yako moja, umeamua kurudi nyumbani hapa hapa Dar kwa mzee kujipanga upya, mzee nae amekupokea na amekupa support ya kukwambia kaa mpaka pale wewe utakapo amua kuondoka tena na kwenda kuhusle.
Nafsi yako inasema utatoboa ila kila ukishika simu unaona, kuna yule mwanao wa chuo kaoa, mara unaona kuna mwanao wa secondari kanunua Crown athlete then kaandika God is Good.
Wazoefu ebu tupeni mbinu za hali na Mali, mambo yashaharibika huko.
Hakika mkuu, kinachokwamisha Watanzania wengi ndiyo hicho.Threads ifunggwee kitu ambacho watz apate pesa asianze kupamba geto kwa sabufa kochi la laki 2 sijui hisense in 42 halafu anatoka saa 11 anarud 6 Usk after 2 yrs fashen zimepitwa ananza kununua vengn hyo hutoboi nara kiwanja na mil 3 kukenga anadunduluza tofali jamni watu wanadundulizq ela ima fixed account au kuinvest with high rewards
😂😂Una degree yako moja
Ngoja nijisogeze mbeya hapo , maana mafinga -mbeya ni karibu tuu ..😅😅Unataka unifanye nini mkuu...
Mniache mshangazi wa watu 🤣
Halafu wanyaki Wana misambwanda sio poaNataka nijiweke kwa mtoto wa Kinyaki😁
Ulikuwa unaishi wapi, kabla ya kurudi Bongo?Mm nimerud bongo mwaka huu na Niko 40s
Sijakata tamas
Kuna mdau hapo juu kasema juhudi, bahati na fursaInategemea na Ukubwa wa juhudi zako nadhani