Mpitaji mtu aliyezaliwa Tanzania na vizazi vyake?Na anaishi NHC tangu utoto hadi anafika miaka 70 na kuendelea?wahindi wale wapitaji
mh ni kwel au unazingua mfano naniMkuu kwanini umechukulia kuwa nyumba ndio kipimo cha kujitafakari?
Inabidi tuanze kubadili mitazamo yetu sasa. Hivi unajua kuna matajiri wengi sana na ni matajiri haswa ila wananing'inia kwenye magorofa tu ya msajili na nyumba za watu masaki na wana maisha bora mara 1000 yako?
Naam kwa mawazo haya ndio maana vifo vya kuuana vimezidi ni mwendo wa mashindano na watu kutokuridhika Anything goes until the end is met.
Yaani ni heri punda afe ili mzigo ufike.... Tatizo kubwa la hili ni watu kuzidi kupata msongo wa mawazo; The Future is Scary.
Hao masela ni apeche alolo waliotoroka vijijini kukwepa kilimo-kwanza na kukimbilia mjini kutafuta kitonga.sasa hapa utasema mbona hata masela wanalala nje ya frem za wahindi
kuna tofauti hapo nimesema kujitafakari na sio upumbavu kiti chema𝐀𝐜𝐡𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐡𝐚𝐤𝐨 𝐤𝐚𝐚𝐣𝐢𝐫𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐧𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐳𝐚𝐳𝐢,
𝐢𝐧𝐠𝐞𝐥𝐢𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐮𝐦𝐫𝐢 𝐡𝐮𝐨 𝐮𝐧𝐠𝐞𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐧𝐚 𝐛𝐚𝐢𝐬𝐤𝐞𝐥𝐢,
Maisha usiyachukulie simple bwana ndogo, Kila mtu na namna alivyo pangiwa na Mungu, kuna watu usiku kucha wanafanya kazi za kuhatarisha maisha yao lakini bado maisha hayajawanyookea,
acha kushiba na kumtukana mwenye njaa kwa kusema ni upumbavu wake
Chungulia takwimu za kipato Tanzania .eti eeh
Wahindi wengi sana mkuu wako na mbumba za maana ila hawana nyumbamh ni kwel au unazingua mfano nani
Don't let other people metrics of success become yours...though tunashauriwa kujifunza kwa walio fanikiwaMwanaume akifikisha miaka 45 hadi 50 hapo kibongo bongo walio wengi ndo angalau huwa yuko vizur kimaisha na hii ni kutokana na changamoto za maisha tunazokutana nazo kwenye maisha katika kujipanga na kujiweka sawa kimaisha...
Ila kama hauna hata haka na uko na miaka 45 hadi 50 hapo inabidi kujitafakari upyaa ni wakati wa kuamka toka usingizini.....
Asikuambie mtu kuwa mwanaume sio jambo dogo na jepesi hata kidogo[emoji848][emoji848]
View attachment 2078457View attachment 2078458View attachment 2078459View attachment 2078455
Huwezi kujifananisha maisha na Mo au Bahakresa wao wana viwanda vinazunguka 24/7 hata wakiambiwa wahame leo mjini posta ndani ya nusu saa watakuwa na jeuri ya kuhamia upanga au kuhama nchi kabisa sasa wewe muajiriwa au whatever you are ukiambiwa uhame haraka ndani ya masaa 24 hatutashangaa kukukuta ndani ya stand ya mwendokasi umejifunika na wanao.Mkuu kwanini umechukulia kuwa nyumba ndio kipimo cha kujitafakari?
Inabidi tuanze kubadili mitazamo yetu sasa. Hivi unajua kuna matajiri wengi sana na ni matajiri haswa ila wananing'inia kwenye magorofa tu ya msajili na nyumba za watu masaki na wana maisha bora mara 1000 yako?
Nakubali nakubali tuzidi kupambana si bado tunapumua tupambane na jambo ukishasema huwezi haki tena hutoweza kwelDon't let other people metrics of success become yours...though tunashauriwa kujifunza kwa walio fanikiwa
Success Ni suala La muda tuu maana Mungu ndiye anaepanga nani ampe na kwa wakati gani maana scripture zinasema Mungu wetu hawahi wala hachelewi bali hujibu kwa wakatu
Thus, unaweza struggle sana still ukakosa pia kuna time effort kidogo tuu mambo yanakuwa bull bull
Finally naweza conclude kwa kusema kuwa tuzidi kupambana ili tuzifikie ndoto zetu.
Hii nyumba ya kuishi mtu?