Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Nyumba gani hio mkuu inayokufilisi? Binafsi nimenunua magari aina mbali mbali na kujenga pia. Kamwe sijawahi kujuta kujenga. Na huwezi linganisha nyumba na magari hata magumu kama land cruisers ambayo maintenance yake ni ya juu sana na ya gharama. Is the best investment hata kama ni kijijini. Sasa sijui ww unaona investment gani ni nzuri zaidi mkuu.
 
Kujenga nyumba ni moja kati ya uwoga wa maisha, sana sana labda kwa wafanyakazi, wafanyakazi ndio wanao jenga, wafanyabiashara wanajenga ili iwaje? Uwekeze zaidi ya 50M kwenye ujenzi badala ya kuizungusha?
 
Location..., Location..., Location

Tunakoelekea lazima ulipie yafuatayo katika nyumba husika
  • Cleaning / Upkeep (hivyo kama eneo ni kubwa kuliko uwezo wako wa kufanya mwenyewe lazima uweke mfanyakazi na usipoweka mfanyakazi ufanye mwenyewe bado utalipia gharama ya muda.
  • Kodi ya Jengo; Kama hupangishi hivyo hauingizi ni kwamba unazitoa.
  • Maintanance; Nyumba inahitaji maintenance..
Kwahio utaona kwamba kuna cultural changes nyumba badala ya kukuingia inaweza ikakugharimu hususan huku Bongo ambapo wapangaji sio wastaarabu (rent kulipa shida na wakiondoka uharibifu ni mkubwa) na wakikupa pesa nzuri ni usumbufu wa kurekebisha hiki au kile..., unaweza ukaamua kufukuza wote ili hata uweke mifugo....
 
Hata baba yako alikuwa anajitahidi familia yenu muwe na maisha mazuri na mlale sehemu nzuri sidhani kama mtu kuwaza kujenga ni vibaya au ni kufanya mashindano!!!

Unless uwe umemuelewa vibaya mleta mada au mimi ndiye sijakuelewa.
Kuwaza kujenga na kujenga is one thing which is well and good....

Kufikia umri fulani na kuanza kujitafakari / na kupata msongo wa mawazo sababu haujajenga is quite another; One is good another inaweza ikakufanya uishie kwenye matatizo
 
Ni mfumo tuu mbona wenzetu ( huko tunakosema wana good life) wana rent mpaka wa wanaondoka duniani
 
GENTAMYCINE, ujumbe wako huo
 
Kujenga nyumba ni moja kati ya uwoga wa maisha, sana sana labda kwa wafanyakazi, wafanyakazi ndio wanao jenga, wafanyabiashara wanajenga ili iwaje? Uwekeze zaidi ya 50M kwenye ujenzi badala ya kuizungusha?
[emoji848][emoji848]kumbe wafanyabiashara hawajengagi nyumba sikujia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…