Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Trump amekuwa bankrupt mara ngapi? Watu mnaongelea sana habari ya kutumia other people's money.. unafikiria inatoka tu? Ukicheza ndio unafilisika. Ww subiri tu other people's money.
Mkuu nadhani unaongea vitu vya ajabu sana..., Ukitumia pesa zako ndio haufilisiki ? Nyumba real estate ni long term business unless otherwise unaongelea kujenga kajumba ka pesa ndogo, development inweza kwenda kwenye billions of money, (land, architects na kama ni ghorofa mambo ya soil test n.k.) Sio pesa ndogo hata kidogo..., hivyo basi developers wote wakubwa huwa wanakwenda benki kuchukua loans (moja sio busara kutumia cash ambayo cashflow hio huenda ikafanya mambo mengine hata kama unayo) mbili return ya pesa ulizoweka ni za muda mrefu huenda usizione mpaka miaka iende au usizione kabisa katika maisha yako..., Kwahio huenda huelewi msemo wa others people's money.... (Msemo huu ni kwamba wapangaji wanakusaidia ku-climb the property ladder) ule mkopo / loan uliyochukua ndio wanalipa hata ikichukue miaka 30 ni kwamba utakuta zile rent ndio zimetumika kwako kulipia hizo nyumba...

Kuhusu kufilisika ndio hayo niliyosema location matters, wewe huwezi kujijengea nyumba ya value ya watu prime katika kiwanja cha low earners alafu ukategemea utapata hizo rent ambazo ni value ya nyumba yako..., pili African market is unpredictable..., Tatu kuhusu Trump amekuwa bankrupt mara ngapi (ndio tunarudi kule kule nyumba inaweza ikakufilisi) ila dunia nzima all big property developers use loans / funding from other sources..., its not realistic wala wise kutumia your own cash (unapunguza cashflow yako) unless otherwise ni nyumba yako ya kuishi moja au mbili lakini sio gwiji wa build to rent au build to sell....
Wengine tunaendelea tu kwa sasa na ya kwetu iliopo pasipo kutegemea hio. I hope ww sio mmona ya watu wanaotegemea other people's money kuwekeza.
Ndio maana narudia tena umeelewa maana ya Other People's Money...., Wewe hata ukijenga kachumba kamoja kwa mshahara wako ukatumia rent za mpangaji wako kujenga nyumba ya pili (That's other Peoples Money) ila realistically kwa developers wakubwa wanaojenga maghorafa ni ngumu kujenga kwa pesa yako mwenyewe kwahio wanachukua loan (mortgage ulaya ni ndogo sana mara nyingi ni single digits) kwahio anachukua hio (other people's money) anaweka asset, asset inazalisha analipa loan mwisho wa siku anabaki na asset; anaitumia tena hio asset kama collateral and the game goes on and on the property ladder is climbed up and up and up...... (Alianza na nyumba moja unashangaa anaown karibia mtaa mzima)
Trump alizaliwa kwenye utajiri sana na babake teari alikuwa na real estate nyingi sana.. sasa ww mfano kama hauna hata real estate za maana halafu eti unategemea other people's money
Moja usiongelee Trump pekee That's how real estate is played the world over, uliza ma-developers wakubwa wowote kama kuna anayetumia cash flow / savings zake kujenga. Hata mtu ambaye hana real estate hata moja au hana collateral hata kupata Benki mkopo ni ngumu kwahio hata wewe mwenye nyumba yako moja uliyopangisha ikakufanya ujenge ya pili kwa kutumia rent za hao watu ni Other's People's Money (Ndio maana nikasema haujaelewa essence ya Other People's Money)
UTAZEEKA BADO UNAISUBIRI TU NA HAUJAJENGA HATA KITU CHA MAANA. Pole sana
Ndio hapo tunarudi kwenye mwanzo wa huu uzi na jibu langu la kwanza; kutokujenga kwangu hakuzuii mimi kujua kanuni au Real Estate Business inavyochezwa, wala kushindwa kwangu kujenga au kutokuwa a Big Real Estate Developer au kuweza ku-smell a Property Gold Mine hakukufanyi wewe kushindwa..., na mimi kushindwa wewe kuweza haipaswi iniletee mimi pressure au kunipa pole (huko ni kupeana msongo wa mawazo ambako hakuna tija) We are not all Property Gurus and we can't all have Property for people to rent ( wapangaji watatoka wapi)...., The only institute which can guarantee affordable housing for all ni state (kwa kutumia ruzuku)
 
Trump amekuwa bankrupt mara ngapi? Watu mnaongelea sana habari ya kutumia other people's money.. unafikiria inatoka tu? Ukicheza ndio unafilisika. Ww subiri tu other people's money. Wengine tunaendelea tu kwa sasa na ya kwetu iliopo pasipo kutegemea hio. I hope ww sio mmoja ya watu wanaotegemea other people's money kuwekeza. Trump alizaliwa kwenye utajiri sana na babake teari alikuwa na real estate properties nyingi sana.. kwake ilikuwa rahisi sana kupata investors na mikopo.. sasa ww mfano kama hauna hata real estate za maana halafu eti unategemea other people's money UTAZEEKA BADO UNAISUBIRI TU NA HAUTAJENGA HATA KITU CHA MAANA. Pole sana HALAFU MAMBO YA SISI WAAFRIKA KUJILINGANISHA NA WAZUNGU KAMA TRUMP MUACHE AISEE. Watu tofauti kabisa na maisha tofauti kabisa.. hakuna mantiki kabisa hapo kujilinganisha nao sababu njia waliopitia na unayopitia ww NI TOFAUTI SANA SANA
[emoji848][emoji848]
 
Mkuu nadhani unaongea vitu vya ajabu sana..., Ukitumia pesa zako ndio haufilisiki ? Nyumba real estate ni long term business unless otherwise unaongelea kujenga kajumba ka pesa ndogo, development inweza kwenda kwenye billions of money, (land, architects na kama ni ghorofa mambo ya soil test n.k.) Sio pesa ndogo hata kidogo..., hivyo basi developers wote wakubwa huwa wanakwenda benki kuchukua loans (moja sio busara kutumia cash ambayo cashflow hio huenda ikafanya mambo mengine hata kama unayo) mbili return ya pesa ulizoweka ni za muda mrefu huenda usizione mpaka miaka iende au usizione kabisa katika maisha yako..., Kwahio huenda huelewi msemo wa others people's money.... (Msemo huu ni kwamba wapangaji wanakusaidia ku-climb the property ladder) ule mkopo / loan uliyochukua ndio wanalipa hata ikichukue miaka 30 ni kwamba utakuta zile rent ndio zimetumika kwako kulipia hizo nyumba...

Kuhusu kufilisika ndio hayo niliyosema location matters, wewe huwezi kujijengea nyumba ya value ya watu prime katika kiwanja cha low earners alafu ukategemea utapata hizo rent ambazo ni value ya nyumba yako..., pili African market is unpredictable..., Tatu kuhusu Trump amekuwa bankrupt mara ngapi (ndio tunarudi kule kule nyumba inaweza ikakufilisi) ila dunia nzima all big property developers use loans / funding from other sources..., its not realistic wala wise kutumia your own cash (unapunguza cashflow yako) unless otherwise ni nyumba yako ya kuishi moja au mbili lakini sio gwiji wa build to rent au build to sell....

Ndio maana narudia tena umeelewa maana ya Other People's Money...., Wewe hata ukijenga kachumba kamoja kwa mshahara wako ukatumia rent za mpangaji wako kujenga nyumba ya pili (That's other Peoples Money) ila realistically kwa developers wakubwa wanaojenga maghorafa ni ngumu kujenga kwa pesa yako mwenyewe kwahio wanachukua loan (mortgage ulaya ni ndogo sana mara nyingi ni single digits) kwahio anachukua hio (other people's money) anaweka asset, asset inazalisha analipa loan mwisho wa siku anabaki na asset; anaitumia tena hio asset kama collateral and the game goes on and on the property ladder is climbed up and up and up...... (Alianza na nyumba moja unashangaa anaown karibia mtaa mzima)

Moja usiongelee Trump pekee That's how real estate is played the world over, uliza ma-developers wakubwa wowote kama kuna anayetumia cash flow / savings zake kujenga. Hata mtu ambaye hana real estate hata moja au hana collateral hata kupata Benki mkopo ni ngumu kwahio hata wewe mwenye nyumba yako moja uliyopangisha ikakufanya ujenge ya pili kwa kutumia rent za hao watu ni Other's People's Money (Ndio maana nikasema haujaelewa essence ya Other People's Money)

Ndio hapo tunarudi kwenye mwanzo wa huu uzi na jibu langu la kwanza; kutokujenga kwangu hakuzuii mimi kujua kanuni au Real Estate Business inavyochezwa, wala kushindwa kwangu kujenga au kutokuwa a Big Real Estate Developer au kuweza ku-smell a Property Gold Mine hakukufanyi wewe kushindwa..., na mimi kushindwa wewe kuweza haipaswi iniletee mimi pressure au kunipa pole (huko ni kupeana msongo wa mawazo ambako hakuna tija) We are not all Property Gurus and we can all not Have Property for people to rent (Unless otherwise wapangaji watatoka wapi)...., The only institute which can guarantee affordable housing for all ni state (kwa kutumia ruzuku)
Asante kwa post ndefu na detailed. Nitasoma na kukujibu baadae
 
Mkuu nadhani unaongea vitu vya ajabu sana..., Ukitumia pesa zako ndio haufilisiki ? Nyumba real estate ni long term business unless otherwise unaongelea kujenga kajumba ka pesa ndogo, development inweza kwenda kwenye billions of money, (land, architects na kama ni ghorofa mambo ya soil test n.k.) Sio pesa ndogo hata kidogo..., hivyo basi developers wote wakubwa huwa wanakwenda benki kuchukua loans (moja sio busara kutumia cash ambayo cashflow hio huenda ikafanya mambo mengine hata kama unayo) mbili return ya pesa ulizoweka ni za muda mrefu huenda usizione mpaka miaka iende au usizione kabisa katika maisha yako..., Kwahio huenda huelewi msemo wa others people's money.... (Msemo huu ni kwamba wapangaji wanakusaidia ku-climb the property ladder) ule mkopo / loan uliyochukua ndio wanalipa hata ikichukue miaka 30 ni kwamba utakuta zile rent ndio zimetumika kwako kulipia hizo nyumba...

Kuhusu kufilisika ndio hayo niliyosema location matters, wewe huwezi kujijengea nyumba ya value ya watu prime katika kiwanja cha low earners alafu ukategemea utapata hizo rent ambazo ni value ya nyumba yako..., pili African market is unpredictable..., Tatu kuhusu Trump amekuwa bankrupt mara ngapi (ndio tunarudi kule kule nyumba inaweza ikakufilisi) ila dunia nzima all big property developers use loans / funding from other sources..., its not realistic wala wise kutumia your own cash (unapunguza cashflow yako) unless otherwise ni nyumba yako ya kuishi moja au mbili lakini sio gwiji wa build to rent au build to sell....

Ndio maana narudia tena umeelewa maana ya Other People's Money...., Wewe hata ukijenga kachumba kamoja kwa mshahara wako ukatumia rent za mpangaji wako kujenga nyumba ya pili (That's other Peoples Money) ila realistically kwa developers wakubwa wanaojenga maghorafa ni ngumu kujenga kwa pesa yako mwenyewe kwahio wanachukua loan (mortgage ulaya ni ndogo sana mara nyingi ni single digits) kwahio anachukua hio (other people's money) anaweka asset, asset inazalisha analipa loan mwisho wa siku anabaki na asset; anaitumia tena hio asset kama collateral and the game goes on and on the property ladder is climbed up and up and up...... (Alianza na nyumba moja unashangaa anaown karibia mtaa mzima)

Moja usiongelee Trump pekee That's how real estate is played the world over, uliza ma-developers wakubwa wowote kama kuna anayetumia cash flow / savings zake kujenga. Hata mtu ambaye hana real estate hata moja au hana collateral hata kupata Benki mkopo ni ngumu kwahio hata wewe mwenye nyumba yako moja uliyopangisha ikakufanya ujenge ya pili kwa kutumia rent za hao watu ni Other's People's Money (Ndio maana nikasema haujaelewa essence ya Other People's Money)

Ndio hapo tunarudi kwenye mwanzo wa huu uzi na jibu langu la kwanza; kutokujenga kwangu hakuzuii mimi kujua kanuni au Real Estate Business inavyochezwa, wala kushindwa kwangu kujenga au kutokuwa a Big Real Estate Developer au kuweza ku-smell a Property Gold Mine hakukufanyi wewe kushindwa..., na mimi kushindwa wewe kuweza haipaswi iniletee mimi pressure au kunipa pole (huko ni kupeana msongo wa mawazo ambako hakuna tija) We are not all Property Gurus and we can't all have Property for people to rent ( wapangaji watatoka wapi)...., The only institute which can guarantee affordable housing for all ni state (kwa kutumia ruzuku)
Ww umejenga majengo mangapi? Weka picha za majengo yako hapa na mimi niweke za kwangu. Unaanza dharau watu kusema kajumba ka pesa ndogo.. ww utakuwa hata kujenga haujajenga hata nyumba tu nzuri ya familia. Sitaki kupoteza muda kujadili mada na mtu MWENYE NDOTO TU ZA KUFANYA KITU. Unaandika maneno mengi.. marefu na ni wishes only.. HATA SIKU MOJA USIANZE BIASHARA KWA MKOPO. HIO PIA NI PAMOJA NA NYUMBA YA BIASHARA.. YA KWANZA YA PILI NK TUMIA PESA YAKO MWENYEWE. KAMA WW HAUTENGENEZI HELA ZA MAANA ZA KUJENGA VITU VYA MAANA NI WW TU. WATU TUNATENGENEZA $$ KWA MWEZI ZAIDI YA HELA YA MBUNGE ETI NISHINDWE KUTUMIA HELA YANGU MWENYEWE KUJENGA VITU VYA MAANA?? ..
 
Mkuu nadhani unaongea vitu vya ajabu sana..., Ukitumia pesa zako ndio haufilisiki ? Nyumba real estate ni long term business unless otherwise unaongelea kujenga kajumba ka pesa ndogo, development inweza kwenda kwenye billions of money, (land, architects na kama ni ghorofa mambo ya soil test n.k.) Sio pesa ndogo hata kidogo..., hivyo basi developers wote wakubwa huwa wanakwenda benki kuchukua loans (moja sio busara kutumia cash ambayo cashflow hio huenda ikafanya mambo mengine hata kama unayo) mbili return ya pesa ulizoweka ni za muda mrefu huenda usizione mpaka miaka iende au usizione kabisa katika maisha yako..., Kwahio huenda huelewi msemo wa others people's money.... (Msemo huu ni kwamba wapangaji wanakusaidia ku-climb the property ladder) ule mkopo / loan uliyochukua ndio wanalipa hata ikichukue miaka 30 ni kwamba utakuta zile rent ndio zimetumika kwako kulipia hizo nyumba...

Kuhusu kufilisika ndio hayo niliyosema location matters, wewe huwezi kujijengea nyumba ya value ya watu prime katika kiwanja cha low earners alafu ukategemea utapata hizo rent ambazo ni value ya nyumba yako..., pili African market is unpredictable..., Tatu kuhusu Trump amekuwa bankrupt mara ngapi (ndio tunarudi kule kule nyumba inaweza ikakufilisi) ila dunia nzima all big property developers use loans / funding from other sources..., its not realistic wala wise kutumia your own cash (unapunguza cashflow yako) unless otherwise ni nyumba yako ya kuishi moja au mbili lakini sio gwiji wa build to rent au build to sell....

Ndio maana narudia tena umeelewa maana ya Other People's Money...., Wewe hata ukijenga kachumba kamoja kwa mshahara wako ukatumia rent za mpangaji wako kujenga nyumba ya pili (That's other Peoples Money) ila realistically kwa developers wakubwa wanaojenga maghorafa ni ngumu kujenga kwa pesa yako mwenyewe kwahio wanachukua loan (mortgage ulaya ni ndogo sana mara nyingi ni single digits) kwahio anachukua hio (other people's money) anaweka asset, asset inazalisha analipa loan mwisho wa siku anabaki na asset; anaitumia tena hio asset kama collateral and the game goes on and on the property ladder is climbed up and up and up...... (Alianza na nyumba moja unashangaa anaown karibia mtaa mzima)

Moja usiongelee Trump pekee That's how real estate is played the world over, uliza ma-developers wakubwa wowote kama kuna anayetumia cash flow / savings zake kujenga. Hata mtu ambaye hana real estate hata moja au hana collateral hata kupata Benki mkopo ni ngumu kwahio hata wewe mwenye nyumba yako moja uliyopangisha ikakufanya ujenge ya pili kwa kutumia rent za hao watu ni Other's People's Money (Ndio maana nikasema haujaelewa essence ya Other People's Money)

Ndio hapo tunarudi kwenye mwanzo wa huu uzi na jibu langu la kwanza; kutokujenga kwangu hakuzuii mimi kujua kanuni au Real Estate Business inavyochezwa, wala kushindwa kwangu kujenga au kutokuwa a Big Real Estate Developer au kuweza ku-smell a Property Gold Mine hakukufanyi wewe kushindwa..., na mimi kushindwa wewe kuweza haipaswi iniletee mimi pressure au kunipa pole (huko ni kupeana msongo wa mawazo ambako hakuna tija) We are not all Property Gurus and we can't all have Property for people to rent ( wapangaji watatoka wapi)...., The only institute which can guarantee affordable housing for all ni state (kwa kutumia ruzuku)
 
Ww ni MPUUZI SANA. NA NIMESHAKUDHARAU SANA SASA IVI.. NENDA KAFANYE KAZI. ACHA NDOTO ZA MCHANA MKUU

Mkuu nadhani unaongea vitu vya ajabu sana..., Ukitumia pesa zako ndio haufilisiki ? Nyumba real estate ni long term business unless otherwise unaongelea kujenga kajumba ka pesa ndogo, development inweza kwenda kwenye billions of money, (land, architects na kama ni ghorofa mambo ya soil test n.k.) Sio pesa ndogo hata kidogo..., hivyo basi developers wote wakubwa huwa wanakwenda benki kuchukua loans (moja sio busara kutumia cash ambayo cashflow hio huenda ikafanya mambo mengine hata kama unayo) mbili return ya pesa ulizoweka ni za muda mrefu huenda usizione mpaka miaka iende au usizione kabisa katika maisha yako..., Kwahio huenda huelewi msemo wa others people's money.... (Msemo huu ni kwamba wapangaji wanakusaidia ku-climb the property ladder) ule mkopo / loan uliyochukua ndio wanalipa hata ikichukue miaka 30 ni kwamba utakuta zile rent ndio zimetumika kwako kulipia hizo nyumba...

Kuhusu kufilisika ndio hayo niliyosema location matters, wewe huwezi kujijengea nyumba ya value ya watu prime katika kiwanja cha low earners alafu ukategemea utapata hizo rent ambazo ni value ya nyumba yako..., pili African market is unpredictable..., Tatu kuhusu Trump amekuwa bankrupt mara ngapi (ndio tunarudi kule kule nyumba inaweza ikakufilisi) ila dunia nzima all big property developers use loans / funding from other sources..., its not realistic wala wise kutumia your own cash (unapunguza cashflow yako) unless otherwise ni nyumba yako ya kuishi moja au mbili lakini sio gwiji wa build to rent au build to sell....

Ndio maana narudia tena umeelewa maana ya Other People's Money...., Wewe hata ukijenga kachumba kamoja kwa mshahara wako ukatumia rent za mpangaji wako kujenga nyumba ya pili (That's other Peoples Money) ila realistically kwa developers wakubwa wanaojenga maghorafa ni ngumu kujenga kwa pesa yako mwenyewe kwahio wanachukua loan (mortgage ulaya ni ndogo sana mara nyingi ni single digits) kwahio anachukua hio (other people's money) anaweka asset, asset inazalisha analipa loan mwisho wa siku anabaki na asset; anaitumia tena hio asset kama collateral and the game goes on and on the property ladder is climbed up and up and up...... (Alianza na nyumba moja unashangaa anaown karibia mtaa mzima)

Moja usiongelee Trump pekee That's how real estate is played the world over, uliza ma-developers wakubwa wowote kama kuna anayetumia cash flow / savings zake kujenga. Hata mtu ambaye hana real estate hata moja au hana collateral hata kupata Benki mkopo ni ngumu kwahio hata wewe mwenye nyumba yako moja uliyopangisha ikakufanya ujenge ya pili kwa kutumia rent za hao watu ni Other's People's Money (Ndio maana nikasema haujaelewa essence ya Other People's Money)

Ndio hapo tunarudi kwenye mwanzo wa huu uzi na jibu langu la kwanza; kutokujenga kwangu hakuzuii mimi kujua kanuni au Real Estate Business inavyochezwa, wala kushindwa kwangu kujenga au kutokuwa a Big Real Estate Developer au kuweza ku-smell a Property Gold Mine hakukufanyi wewe kushindwa..., na mimi kushindwa wewe kuweza haipaswi iniletee mimi pressure au kunipa pole (huko ni kupeana msongo wa mawazo ambako hakuna tija) We are not all Property Gurus and we can't all have Property for people to rent ( wapangaji watatoka wapi)...., The only institute which can guarantee affordable housing for all ni state (kwa kutumia ruzuku)
 
Ww umejenga majengo mangapi? Weka picha za majengo yako hapa na mimi niweke za kwangu. Unaanza dharau watu kusema kajumba ka pesa ndogo.. ww utakuwa hata kujenga haujajenga hata nyumba tu nzuri ya familia. Sitaki kupoteza muda kujadili mada na mtu MWENYE NDOTO TU ZA KUFANYA KITU. Unaandika maneno mengi.. marefu na ni wishes only.. HATA SIKU MOJA USIANZE BIASHARA KWA MKOPO. HIO PIA NI PAMOJA NA NYUMBA YA BIASHARA.. YA KWANZA YA PILI NK TUMIA PESA YAKO MWENYEWE. KAMA WW HAUTENGENEZI HELA ZA MAANA ZA KUJENGA VITU VYA MAANA NI WW TU. WATU TUNATENGENEZA $$ KWA MWEZI ZAIDI YA HELA YA MBUNGE ETI NISHINDWE KUTUMIA HELA YANGU MWENYEWE KUJENGA VITU VYA MAANA?? ..
Simple Minds discuss people..., jaribu kudiscuss issues sio mimi au wewe umefanya nini

Eti hata siku moja usianze biashara kwa mkopo.., hivi unajua maana ya source of funds kuna wakati funds hauna hivyo inabidi usipate / uzitafute sehemu..

Mbili ndio maana ninakwambia huelewi essence ya real estate na pesa za watu..., kutumia rent ya nyumba ya kwanza na ya pili ndio essense ya other peoples money

Tatu huelewi faida ya cashflow hata kama una trillioni kadhaa cash kutumia hizo pesa ili ujenge / ufanye project ya trillioni kadhaa sio umahili wala ujanja ni kufungia hizo pesa long term ambazo zingefanya mambo mengine..., katika property sababu ni long term mtu anachukua mortgage akimaliza project haraka malipo ya project yanalipia hio mortgage hizo trillioni zake cash zinafanya mengine...

Haya mambo ya nina pesa za maana au tuna pesa za maana ndio wengine waliona fahari kununua ndege cash wakati kuna shida nyingine au zingeweza kuwa financed kwa njia nyingine...
 
Hio ni GoDown Najenga sasa hivi.. ACHA KUONGEA TU.. NA HAUJUI KITU
Hivi hapa kumbe tunaongelea umefanya nini au una nini ? Samahani sana huwa siongelei vitu personal au watu personal bali facts na issues at hand...., Kama mtu amefanikiwa kwa kutumia jembe la mkono haimaanishi tractor halifanyi kazi kwa ufanisi zaidi au sababu mtu kapata pesa kwa kulima mahindi morogoro haimaanishi na wa Katavi atapata pesa....
 
Mashine bila nyumba italala nje maana hakuna ulinzi😅😅😅

Mashine haifanyi kazi hadharani ile
Mwanaume mashine bana, uchakataji utafanyika hata gesti... sasa mwanaume ambaye mashine haichakati hata awe na hekalu hapo hamna mbadala 🤣
 
Simple Minds discuss people..., jaribu kudiscuss issues sio mimi au wewe umefanya nini

Eti hata siku moja usianze biashara kwa mkopo.., hivi unajua maana ya source of funds kuna wakati funds hauna hivyo inabidi usipate / uzitafute sehemu..

Mbili ndio maana ninakwambia huelewi essence ya real estate na pesa za watu..., kutumia rent ya nyumba ya kwanza na ya pili ndio essense ya other peoples money

Tatu huelewi faida ya cashflow hata kama una trillioni kadhaa cash kutumia hizo pesa ili ujenge / ufanye project ya trillioni kadhaa sio umahili wala ujanja ni kufungia hizo pesa long term ambazo zingefanya mambo mengine..., katika property sababu ni long term mtu anachukua mortgage akimaliza project haraka malipo ya project yanalipia hio mortgage hizo trillioni zake cash zinafanya mengine...

Haya mambo ya nina pesa za maana au tuna pesa za maana ndio wengine waliona fahari kununua ndege cash wakati kuna shida nyingine au zingeweza kuwa financed kwa njia nyingine...
Pambaf ww.. unabadilisha maneno wakati ndio ulikuwa unaandika mambo personal awali.. sina muda wa kuongea na watoto mimi. Usikute hata secondary haujamaliza.. kachapwe viboko shuleni huko..
 
Back
Top Bottom