Ni kweli wengi wanakopa halafu wanatupa Lakini na kucheka Cheka kibwege kuwa nimewakomoa songesha nk alivyo mjinga anadhani deni liko kwenye line ya simu hajui kuwa deni liko benki na halifutiki linaendelea tu kuzaa riba kuongezeka Siku akipeleka maombi yake ya mkopo benki inakula kwake hapatiWaliozoea kudhulumu au kutolipa wakibanwa huona wameonewa.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
SONGESHA kuzuia watu kukopa Kwenye mabank ni ujinga watakoswa wateja hasa watumishi ambao Kwao kulipa siyo inshuNi kweli wengi wanakopa halafu wanatupa Lakini na kucheka Cheka kibwege kuwa nimewakomoa songesha nk alivyo mjinga anadhani deni liko kwenye line ya simu hajui kuwa deni liko benki na halifutiki linaendelea tu kuzaa riba kuongezeka Siku akipeleka maombi yake ya mkopo benki inakula kwake hapati
Halafu anaanza kukia Lia humu
Nazidi kujifunza Na kupata knowledge ya vitu kila siku huku JFNilidhani hiyo Mikopo ya mitandao ya Simu ni mitaji ya Kampuni husika za simu
Voda MPAWA wanakopesha mpaka 10MKama si mwaminifu wa kurejesha mkopo wao lazima wakublack list.
Nimekaa na Airtel money vizuri kwa miaka kadhaa, Sasa wananiamini wanaweza kunikopesha hadi 1.6 m bila shida. Kaeni vizuri na wanaowakopesha kwa kuwa waaminifu na kulipa deni kwa wakati mliokubaliana.
Safi sana. Nadhani hadi wakukopeshe hizo lazima uwe umeonyesha uaminifu.Voda MPAWA wanakopesha mpaka 10M
How this?Tujenge tabia ya kutuma maombi ya kuomba taarifa zetu kutoka Credit Reference Info kila mwaka mara moja ni bure
We Sasa too much unaleta utoto wa mawazo yako binafsi... Hebu tutolee ukolo hapa ... Ushaeleza mwanzo tumekuelewa Sasa Kila unaloulizwa unalijibu. Chumvi nyingi as if Sasa umekua Mtumishi wa Songesha... Hebu Kalipe hela yao bana...Mkuu shida siyo clearance form, shida inakuwa umeshachafua rekodi yako kama mkopaji maana inarekodi siku ulizopitiliza na kuweka marks kama vile WRITTEN OFF, HIGH RISK na kadhalika.
SONGESHA inamilikiwa na FINCA
MPAWA inamilikiwa na BOA Bank
Hizi kampuni za simu kama watu wa kati tu
Hii mikopo ya simu ni Kausha Damu tu, Riba kila siku inapanda ndio mkopo wa aina gani, ni bora ifutwe kabisa.Songesha na mikopo mingine ya simu imepelekea watumishi kunyimwa mikopo wanapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk, risk na low risk katika kadiri mteja anaposongesha.
Hilo limetokea leo mimi mwenyewe nilipoenda bank na kuingia kwenye mfumo wa ESS Utumishi, bank walivyoingia na kutumia mkopo ukawa rejected, nikaenda Voda nikawalipa Songesha yote lakini bado mfumo ulisoma high risk.
Nawashauri wale ambao hamjaingia kwenye hili jini songesha msijaribu, mbeleni litawaleta shida.
Mamlaka zinasimamia Mikopo hili la simu hasa mikopo ya Nivushe, Songesha, Gold, Bustisha ziwe na term of condition, yaani taratibu za mwanachama kukubali.
Kuna mimtu humu inatoa hoja za kupuuzwa, benki ni wajinga kiasi hicho??Yaani niende NMB leo naomba milioni 17 salaried loan wanigomee kisa nina mkopo songesha wa elfu 80😁😁.
Kama ni mfumo imara kabisa na ni lazima kuufanyia kazi basi,itakuwa inalazimika kulipishwa deni husika kupitia mkopo mpya(top up like),kuliko kugoma kabisa kutoa mkopo,hakuna benki imejaza mbulumundu itakubaliana na mfumo huo utakaosababisha kukosa wateja kijinga jinga tu.
Mfumo wa marejesho ya mikopo ya bank kwa mishahara sio wa hiyari,ukiishachukua hela unakatwa kwa lazima,hiyo high risk alart haina maana kabisa hapo kwa wazee wa hazina.
Benk zinategemea faida za mikopo,haziwezi ruhusu vikwazo duni namna hiyo wakose faida yao ya kuwaweka mjini.Kuna mimtu humu inatoa hoja za kupuuzwa, benki ni wajinga kiasi hicho??
Ok let's say ni wajinga, Ina maana hawana wasomi wa fedha hata wawili ambao wakaja na wazo labda huyu mtu anataka akope Milioni kumi, hiyo CRB inaonesha si mlipaji ni msumbufu (alikopa Songesha) lakini kwa benki ana dhamana ya mshahara, Songesha hakuweka dhamana, kwamba benki ishindwe kumfatilia huyo mteja huko Songesha alikopa shilingi ngapi (bila dhamana) na huku benki anataka Milioni kumi, so tumpe Milioni 6 tumuone na hapo ili apewe basi akubali sharti la kukatwa madeni mengine anayodaiwa Inayobaki ndio apewe. SO INAMAANA BENKI ZOOTE HAZIONI HII OPTION ZIFATE MAWAZO YA KI'PRIMITIVE YA BAADHI YA WATU HUMU.
Hebu tuwe Great Thinkers Bana!!
Duh! HayaWe Sasa too much unaleta utoto wa mawazo yako binafsi... Hebu tutolee ukolo hapa ... Ushaeleza mwanzo tumekuelewa Sasa Kila unaloulizwa unalijibu. Chumvi nyingi as if Sasa umekua Mtumishi wa Songesha... Hebu Kalipe hela yao bana...
Kama ni mtumishi hukopesheki aisee 😃du nimevuta mkeka wangu wa madeni credit bureau aisee ni shida unaonyesha hadi laini nilizowasajilia watu kumbe wamekopa kwa niaba yangu aisee nimekuta hadi jome tanzania finance limited hawa sijui wanamkopo gani wa simu au ndio wale branch sijui tala
daa nimeumia nilikua nataka mwakan nivute 40M sasa nasikia hata ukilipa haifutiki duu suruhu sijui ni nn itabidi twende kwenye visacosKama ni mtumishi hukopesheki aisee [emoji2]
Nivushe ipo chini ya Letshego.Songesha Iko Chini ya Tanzania Commercial Bank ni kitengo Cha Cha benki ukikopa ni sawa na umekopa benki record zako linaonyesha ulikopa benki ya Tanzania Commercial bank na hulipi
Huyu atakuwa na matatizo yake binafsiUnataka kusema Mteja wa Vodacom Songesha anaweza kuwa na Deni linaloweza kuathiri kukopeshwa na Benki?
Kivipi jambo hilo likahusiana?
Mwenyewe sikuona hiyo connectivity kati ya Deni la Songesha na hilo la Benki 🙌Huyu atakuwa na matatizo yake binafsi