Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kaa hapo hapo subiri wanaoelewa watakuelewesha!!Siti ya mbele ila sijakuelewa
Hayo ni majina ya vitu siyo ya watu. Ni ushauri tu kuna kijana mwenzio yamemkuta makubwa!!kwa nini? mbona majina mazuri tu
mfano HONDA, ISUZU, TOYOTA, YOKOHAMA nk. una tatizo gani na majina ya kijepu
Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.NI ushauri tu kwa vijana ambao huwa wanataka sifa mbele ya wakwe zao kuonesha wanajua mambo mengi. Tafadhali sana usijaribu kusoma kwa sauti majina ya Kijapani ukiwa ukweni ama na mkweo!!
Tuwekee picha boss
Inshu ndogo kama hii umeweka na udini tayari,Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.
Kama hiyo haitoshi, kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote.
ABOUT KUMAMOTO CITYNI ushauri tu kwa vijana ambao huwa wanataka sifa mbele ya wakwe zao kuonesha wanajua mambo mengi. Tafadhali sana usijaribu kusoma kwa sauti majina ya Kijapani ukiwa ukweni ama na mkweo!!
Bibi Ukristo ulikukosea nini?Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.
Kama hiyo haitoshi, kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote.
Siyo majina ya Kijapani tu, hata baadhi ya majina ya Watanzania.
Kama hiyo haitoshi, kuna mistari ya biblia ndiyo kabisa haisomeki kwa sauti, mbele ya yeyote.
Stahamili tu ukuingie. Ndiyo ukweli.Naona Ushapagawa na Majini tayari
Kwani nimesema uongo?Bibi Ukristo ulikukosea nini?
Hawaamini wape mfano mmojawapo!!Kwani nimesema uongo?
Ikitajwa biblia ni udini?Inshu ndogo kama hii umeweka na udini tayari,
Sisi pia tukianza kuweka mistari ya quran yenye ukakasi unajua itakuwaje?
Shangazi nenda msikitin, wenzako muda huu wanatupigia kelele na vipaza sauti vyao wakati huu ni muda muafaka wa kula kitimoto mkaango.