Mokobe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 1,249
- 1,546
Ukimpata huyo malaika hapa ulimwenguni basi ni sawa na chemi chemi iliyoibuka kalahari desert
Au unaweza pata wa hivyo akakosa kimojawapo maana vijana wana viwango vyao wanadai
Kazi zinanusa mfuko balaa kama mbwa wa airport. Hakuna appreciation wanapiga kukomoa😂😂😂
Mnyazi akushushie hitaji lako Boss from Street
Au unaweza pata wa hivyo akakosa kimojawapo maana vijana wana viwango vyao wanadai
Kazi zinanusa mfuko balaa kama mbwa wa airport. Hakuna appreciation wanapiga kukomoa😂😂😂
Mnyazi akushushie hitaji lako Boss from Street