Ukiwa na mpenzi ambaye hawezi kuendana na wewe lazima uteseke

Navyopenda life la kuspend time na mwenza tukifanya vtu mbali mbali ila nnaowapata ss. unaliambia jtu tucheze karata haljui ah!!
Hahahaha pole Sana mkuu ..yule unayemuwaza humpati unapata wa tofauti kabisa.
#Singapore[emoji630]
 
Naona uko ndotoni...

Yote hayo yatakuwepo ukiwa na hela [emoji3][emoji3]
 
Navyopenda life la kuspend time na mwenza tukifanya vtu mbali mbali ila nnaowapata ss. unaliambia jtu tucheze karata haljui ah!!
Hahahahah, mfundishe, ajue. Mi napenda cheza play station ( pes & fifa) but bidada nileye nae alikua hajui hivyo vitu kama vina exist katika hii dunia, so nilibidi niingie darasani kumfundisha mpaka saivi ni master wa pes.

All weekend lazima tukiwashe kwanza game hadi tunasahau mambo mengine.so kikubwa kenywe mahusiano ni kukubali kua mwalimu na mwanafunzi ataenjoy maisha na kuhisi uko peponi.

Ila mwanamke anaemtaka mtoa mada mhhhhh!!!!!
 
wengine wagumu, ubze tu
 
Likizo time hizi...mpaka shule zifunguliwe.

Kuwa dogo utayaona.....
 
Jamaa anataka wale madem wa Cape Town fish Market [emoji23]
Sio hao kaka wale wako kazini broh wale pia wana wapenzi wao wakifika ndani anakuwa wife material chap, yaani mara nyingi mume hufaidi madanga yake so mume karidhia mwanamke wake awe hivo. Dar kuna mambo! 😁
 
At least wewe ndio umeelewa zaidi ninachokizungumza wakati 78% hapa wanasema ni impossible kukutana na mtu civilized na mwelewa.
You deserve an accolaide if it was for task left for you to attempt. βœ…βœ…βœ…

Watu wanaenjoy life inshort there's somes who live life to the fullest while others they exist wanaunga unga ili mradi giza liingie. Nothing is impossible under the sun tena maisha ya sasa everything has been simplified.
 
Amka wewe kumekucha usije kojoa kitandani.
Ndiyo nani anaambiwa naashakuwa mtu mzima aseee life kama ndio unakimbizana nalo wewe tulia tu watu walishamaliza races wanasubiri kufa.
 

Inawezekana ila ndio hivo kutegemea na mazingira ya mtu husika
 
Mkuu tafuta pesa upate chaguo lako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Navyopenda life la kuspend time na mwenza tukifanya vtu mbali mbali ila nnaowapata ss. unaliambia jtu tucheze karata haljui ah!!
πŸ’œπŸ’œπŸ’œ We unapenda makopa kopa ila lijamaaa halijui πŸ˜…πŸ˜πŸ˜ alikuwa anasoma sana mkuu.
 
Alafu demu mshamba ndo advantage ya msela, hawa mademu wa kujifanya wajuaji ni kero...unaweza muachia hela ya mboga ye akanunua wanja, lipstick na wigi ili hali mlitakiwa mle vizuri,
Hela ya mboga shilingi ngapi mkuu πŸ˜…πŸ˜πŸ˜
 
Men are totally different. Huwaga mnasema hivi lakini u act differently after sometime.
Yupo mtu ana maisha unique huwezi amini yaani yeye siyo mshika mawili. There's smart ones you can find them out there...
 
Kama hutanii mkuu πŸ˜… basi congrats broh you deserve an accolaide.
 
Likizo time hizi...mpaka shule zifunguliwe.

Kuwa dogo utayaona.....
Mkuu nakuona ulivo kuwa kwa shemeji umekalia situli unatype tu nakuona nakuona, yaan do you compare me with those students? that is an expensive joke daaah! πŸ˜…Next time manipulate your thinking mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…