Tunayoona haya.Kati ya hao wanawake walio kwenye kipindi kigumu, utampenda mmoja, ukimpenda utamsaidia kipesa, ila wengi wao ukiwabadilisha maisha yao kiuchumi, kitu ambacho watakuja kukulipa, Mungu mwenyewe anajua, yani wanalipa ubaya kwa wema uliowafanyia Showmax
Nakuona kwenye ubora wako Cha ukorofii Lovelovie,Fungueni hizo wallet mwageni pesa sifa ya mwanamke kuhongwa.
Aisee sister mawigi Antonnia Jamaal kasahau, maana so bodaboda Ila unapoteza mpaka msingi was nyumbaIntelligent businessman kichaa ake kama nakuona ulivopoga hesabuuu ndefu hapo😊!
Mapenzi yanayodumu siku zote huanza na upendo mapenzi yanayoanza mwanamke kuanza na vizinga hapo sasa ni kama unauziwaMwanaume kama unayo pesa mwanamke akikuomba mpe usiangalie mbususu.
Wanawake wanapitia kipindi kigumu Sana.
1.Wazazi wao hawana kipato
2.Wamemaliza chuo ajira hakuna
3.Wahongaji hakuna sababu hawana hela.
Hawana mtu wa kuwashika mkono.
Mimi huwa nawapa tu hela sihitaji wanilipe
Wapi huko na sie bodaboda tutie mguuJifunze kuwa na sound kijana Watu tunajilia pisi kali tu bila hzo gharama
Usifanye nipaliwe na maji hapa🤣🤣🤣🤣🤣Kama ana vigezo na amekwama namlipia ndio,au Unataka nisimlipie?
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unacheka Nini?huamini au?Usifanye nipaliwe na maji hapa🤣🤣🤣🤣🤣
Wee kumlipia kodi mwanaume ni sawa na mzabzab kusema eti nimeacha kula mbususu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unacheka Nini?huamini au?
Mi Sina baya,Kama anazijua code zangu namlipia tu kwani Kodi sh ngapi? 😁😁😁😁😁😁Wee kumlipia kodi mwanaume ni sawa na mzabzab kusema eti nimeacha kula mbususu🤣🤣🤣🤣
Basi nikopeshe laki moja nikamnunulie pisi kali bday present. Nitakurudishia baada ya wikiMi Sina baya,Kama anazijua code zangu namlipia tu kwani Kodi sh ngapi? 😁😁😁😁😁😁
Bahati mbaya sikopeshagi,yaani BBY akaniambia tu baby nikopeshe anakula block!maana huyo Ni tapeli,🤯Basi nikopeshe laki moja nikamnunulie pisi kali bday present. Nitakurudishia baada ya wiki
Dah hatari. Ila hili la kulipa kodi umetupiga fix....yaani pisi kali kama wewe udate mwanaume ambaye anashindwa kulipa kodi aisee that would be a new low even for u🤣🤣🤣🤣Bahati mbaya sikopeshagi,yaani BBY akaniambia tu baby nikopeshe anakula broke!maana huyo Ni tapeli,🤯
Aisee hiyo elfu10 si mtaji was kununua vipande vya hisa, au unataka wakati wa bill nipotee😁😁😆Elfu 10 tu nawewe mbona ya watoto wa kindergarten hio kichaa akee acha hizoo bana!! Najiandaa mnitoe out msintanieeee😂!
Acha ubahiliii..atoaye huongezewaa buana najiandaa miee msintanieeee!! Tena tunaenda paleee anapajua sis akeeAisee hiyo elfu10 si mtaji was kununua vipande vya hisa, au unataka wakati wa bill nipotee😁😁😆