Ukiwa na mwanamke Tanzania, gharama utakazoingia kwa mwezi mmoja tu ni bodaboda mbili

Ukiwa na mwanamke Tanzania, gharama utakazoingia kwa mwezi mmoja tu ni bodaboda mbili

Kati ya hao wanawake walio kwenye kipindi kigumu, utampenda mmoja, ukimpenda utamsaidia kipesa, ila wengi wao ukiwabadilisha maisha yao kiuchumi, kitu ambacho watakuja kukulipa, Mungu mwenyewe anajua, yani wanalipa ubaya kwa wema uliowafanyia Showmax
Tunayoona haya.
Wao ufuata ndoa kwa maana ya mtu wa kuwabebea majukumu ya wazazi wao na sio kujua nini maana ya ndoa.Thus kupitia ndoa wakishapata wakitakacho usahau, dharau kibao
 
Mwanaume kama unayo pesa mwanamke akikuomba mpe usiangalie mbususu.
Wanawake wanapitia kipindi kigumu Sana.
1.Wazazi wao hawana kipato
2.Wamemaliza chuo ajira hakuna
3.Wahongaji hakuna sababu hawana hela.
Hawana mtu wa kuwashika mkono.
Mimi huwa nawapa tu hela sihitaji wanilipe
Mapenzi yanayodumu siku zote huanza na upendo mapenzi yanayoanza mwanamke kuanza na vizinga hapo sasa ni kama unauziwa
 
Wee kumlipia kodi mwanaume ni sawa na mzabzab kusema eti nimeacha kula mbususu🤣🤣🤣🤣
Mi Sina baya,Kama anazijua code zangu namlipia tu kwani Kodi sh ngapi? 😁😁😁😁😁😁
 
Mi Sina baya,Kama anazijua code zangu namlipia tu kwani Kodi sh ngapi? 😁😁😁😁😁😁
Basi nikopeshe laki moja nikamnunulie pisi kali bday present. Nitakurudishia baada ya wiki
 
Bahati mbaya sikopeshagi,yaani BBY akaniambia tu baby nikopeshe anakula broke!maana huyo Ni tapeli,🤯
Dah hatari. Ila hili la kulipa kodi umetupiga fix....yaani pisi kali kama wewe udate mwanaume ambaye anashindwa kulipa kodi aisee that would be a new low even for u🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom