Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaona kwenye gazeti nataka mpaka maboss wao Wazungu wajue undezi unaofanywa pale HRKuna nini na hao HR mkuu?
Sasa kama hayo ni matokeo ya ubunifu wa YANGA na NMB, sa100 anahusika vipi?1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
Asante sana, Ni mitano tena kwa MamaPamoja na mapungufu yote Tanzania ya Samia ni ya kipekee sana.
Mambo mazuri yanayofanyika ndani ya Taifa hili ni ya kutiliwa mfano na Kila mmoja wetu.
#SAMIA MITANO TENA
Haukupaswa hata kuanza in the first place.... Matokeo yake Makamba amekula mapesa na miradi isiyo na mwisho eti anasuka Tanesco Upya lakini nothing to show for it...Acha na hayo mambo ya msimu ni swala la muda tu Mgao utakuwa historia hapa Tanzania
Amejenga a business atmosphereSasa kama hayo ni matokeo ya ubunifu wa YANGA na NMB, sa100 anahusika vipi?
Au hizi ni harakati za uchawa?!
Wakereketwa wa Mnyama je, mbona mnawaacha gizani kwenye baridi? Je, watakubali kutunukiwa jezi za YANGA na tiketi za mechi za YANGA?;3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
Hakika Mama anastahiliSamia mitano tena kiroho safi
Hapo ni kweli NMB wafanye na Upande wa Mnyama kwani kule unyama ni mwingi sanaWakereketwa wa Mnyama je, mbona mnawaacha gizani kwenye baridi? Je, watakubali kutunukiwa jezi za YANGA na tiketi za mechi za YANGA?;
Halafu huduma za jamii je?Amejenga a business atmosphere
Kabla ya kuandika onana na Mkurugenzi ni mtu muungana atakusiliza naamini mtamaliza vizuri ni kweli pale HR Kuna watu kama wawili hivi ni mamlukiNamalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi
Ufala upi hapo,Ufalaufala huu ndio mnafanya tunaitwa manyani makuu na wenzetu. Samia akisema muanze kufir** nyie machawa lazima mtaafiki.
Viva Samia Viva, Viva Ruth VivaHabari Jukwaa la Siasa,
Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,
Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?
Sasa twende na Mimi kwenye hoja,
1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.
6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.
7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.
8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.
9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga
10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.
12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Uchuki ni mwingi sana,Ufala upi hapo,
Why haya yafanyike Leo wakati wa Samia?
Angalia AFCON.
Angalia kinachoendelea huko vijijini.
Samia mitano tena.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka
Hatujakaza transifoma..mtaunguza vitu..tutawasha pasaka.Kesho umeme unawaka hauwaki??
Wacha tuone ila Benki ni muhimu wakaepuka migogoro kwani inafaida hasi kwao hasa kwa wenye pesa zao huko kupunguza imani nao.Namalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi