Ukiwa na NMB Yanga World Debit Mastercard na safari yako ya ndege ikaahirishwa NMB watakulipa TZS 19M, Why this today?

Ukiwa na NMB Yanga World Debit Mastercard na safari yako ya ndege ikaahirishwa NMB watakulipa TZS 19M, Why this today?

Acha na hayo mambo ya msimu ni swala la muda tu Mgao utakuwa historia hapa Tanzania
Haukupaswa hata kuanza in the first place.... Matokeo yake Makamba amekula mapesa na miradi isiyo na mwisho eti anasuka Tanesco Upya lakini nothing to show for it...

Zinapigwa talalila na brah brah siku zinakwenda mwananchi anaambulia porojo
 
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
Wakereketwa wa Mnyama je, mbona mnawaacha gizani kwenye baridi? Je, watakubali kutunukiwa jezi za YANGA na tiketi za mechi za YANGA?;
 
Namalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi
Kabla ya kuandika onana na Mkurugenzi ni mtu muungana atakusiliza naamini mtamaliza vizuri ni kweli pale HR Kuna watu kama wawili hivi ni mamluki
 
Ufalaufala huu ndio mnafanya tunaitwa manyani makuu na wenzetu. Samia akisema muanze kufir** nyie machawa lazima mtaafiki.
 
Habari Jukwaa la Siasa,

Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,

Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?

Sasa twende na Mimi kwenye hoja,


1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,

2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.

3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL

5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.

6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.

7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.

8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.


9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga

10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.

11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.

12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Viva Samia Viva, Viva Ruth Viva
 
Namalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi
Wacha tuone ila Benki ni muhimu wakaepuka migogoro kwani inafaida hasi kwao hasa kwa wenye pesa zao huko kupunguza imani nao.
 
Back
Top Bottom