Ukiwa na NMB Yanga World Debit Mastercard na safari yako ya ndege ikaahirishwa NMB watakulipa TZS 19M, Why this today?

Ukiwa na NMB Yanga World Debit Mastercard na safari yako ya ndege ikaahirishwa NMB watakulipa TZS 19M, Why this today?

View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,

Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,

Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?

Sasa twende na Mimi kwenye hoja,


1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,

2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.

3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL

5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.

6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.

7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.

8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.


9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga

10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.

11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.

12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Sasa kwanini apongezwe Samia wakati hii kazi ni ya NMB na Yanga? Samia amehusika vipi? Huu ni wehu sasa!
 
Umesahau kuweka mawasiliano yako, kwani kwa huu mfumo wako wa kichawa utazivutia pande zote tatu za Taasisi tajwa.
 
View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,

Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,

Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?

Sasa twende na Mimi kwenye hoja,


1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,

2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.

3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL

5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.

6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.

7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.

8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.


9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga

10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.

11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.

12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Yanga nguvu Moja Simba unyama mwingi
 
Namalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi
Wewe ni muongo hata hivyo miongoni mwaidara zinafanya vizuri pale NMB ni hii ya HR chini ya jamaa anaitwa Akoonay so usipotoshe watu kwa urongo wako.
 
View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,

Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,

Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?

Sasa twende na Mimi kwenye hoja,


1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,

2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.

3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL

5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.

6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.

7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.

8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.


9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga

10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.

11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.

12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Pesa za majini zinakaa kwa bank??
 
Wewe ni muongo hata hivyo miongoni mwaidara zinafanya vizuri pale NMB ni hii ya HR chini ya jamaa anaitwa Akoonay so usipotoshe watu kwa urongo wako.
Hapana sio Akoonay huyu jamaa ni msikivu sana na anabusara nyingi tatizo hao wachini,


#SAMIAMITANO TENA
 
View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,

Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,

Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?

Sasa twende na Mimi kwenye hoja,


1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,

2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.

3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.

4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL

5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.

6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.

7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.

8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.


9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga

10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.

11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.

12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Mimi kinachonifurahisha, kila jema sifa apewe yeye ila baya mnatetea.
Mfano tukisema mgao wa umeme ni hatari yani umeme now imekuwa shida na akalaumiwa rais, basi utasikia mnataka kumtenga nalo. Sasa sielewi mnasahau kila chenye kuzaa huwa pia kinakufa.
 
Mimi kinachonifurahisha, kila jema sifa apewe yeye ila baya mnatetea.
Mfano tukisema mgao wa umeme ni hatari yani umeme now imekuwa shida na akalaumiwa rais, basi utasikia mnataka kumtenga nalo. Sasa sielewi mnasahau kila chenye kuzaa huwa pia kinakufa.
Pamoja na yote mazuri yake ni mengi kuliko mabaya yake
 
Chadema wanaandamana Mzee Lowassa Yuko kwenye jeneza kweli hawa ni binadamu?
2025 sitaichagua CHADEMA Bora nipige tu kwa maza
IKiwa yupo kwenye Jeneza unapinga wasiandamane, Je akizikwa si ndiyo utataka CHADEMA kama Chama Kiditishe shughuli zake zote hadi siku ya ufufuo?
 
Ila kibinadamu hiyo siyo sawa kabisa
Nusu Mlingoti na salaam za rambirambi ndiyo namna ya maombolezo, siyo kusimamisha shughuli.
Bungeni kwenyewe ambako aliwahi kuwa Mbunge na Kiongozi wa shughuli za serikali bungeni wamaendelea ma shughuli zao kama kawaida, why CHADEMA wasimamishe shughuli zao ukichukulia siyo Mwanachama wa CHADEMA?
 
Nusu Mlingoti na salaam za rambirambi ndiyo namna ya maombolezo, siyo kusimamisha shughuli.
Bungeni kwenyewe ambako aliwahi kuwa Mbunge na Kiongozi wa shughuli za serikali bungeni wamaendelea ma shughuli zao kama kawaida, why CHADEMA wasimamishe shughuli zao ukichukulia siyo Mwanachama wa CHADEMA?
Ila Lowassa anawahusu sana CHADEMA hata hivyo
 
Back
Top Bottom