residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hahahaaaa..."Any Time Cancellation Limited"..."Hadi Dola 300 ndege ikichelewa"
Including air Tanzania na Precision air, nchi ngumu hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa..."Any Time Cancellation Limited"..."Hadi Dola 300 ndege ikichelewa"
Including air Tanzania na Precision air, nchi ngumu hii.
Sasa kwanini apongezwe Samia wakati hii kazi ni ya NMB na Yanga? Samia amehusika vipi? Huu ni wehu sasa!View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,
Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,
Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?
Sasa twende na Mimi kwenye hoja,
1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.
6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.
7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.
8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.
9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga
10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.
12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Yanga nguvu Moja Simba unyama mwingiView attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,
Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,
Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?
Sasa twende na Mimi kwenye hoja,
1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.
6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.
7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.
8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.
9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga
10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.
12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Wewe ni muongo hata hivyo miongoni mwaidara zinafanya vizuri pale NMB ni hii ya HR chini ya jamaa anaitwa Akoonay so usipotoshe watu kwa urongo wako.Namalizia makala yangu na gazeti Moja la kimataifa juu ya Vigogo kadhaa pale NMB hasa wale wa HR wanavyoendesha mambo yao kindezi
Bado mtoto weweSasa kwanini apongezwe Samia wakati hii kazi ni ya NMB na Yanga? Samia amehusika vipi? Huu ni wehu sasa!
Akoonay makini sana yule mwamba huenda wasaidizi wanamwangushaWewe ni muongo hata hivyo miongoni mwaidara zinafanya vizuri pale NMB ni hii ya HR chini ya jamaa anaitwa Akoonay so usipotoshe watu kwa urongo wako.
Pesa za majini zinakaa kwa bank??View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,
Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,
Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?
Sasa twende na Mimi kwenye hoja,
1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.
6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.
7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.
8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.
9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga
10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.
12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Hapana sio Akoonay huyu jamaa ni msikivu sana na anabusara nyingi tatizo hao wachini,Wewe ni muongo hata hivyo miongoni mwaidara zinafanya vizuri pale NMB ni hii ya HR chini ya jamaa anaitwa Akoonay so usipotoshe watu kwa urongo wako.
Hahaha daah kweli Jf Ina watuPesa za majini zinakaa kwa bank??
JibuNaweza kukujibu hata Mimi?
Mimi kinachonifurahisha, kila jema sifa apewe yeye ila baya mnatetea.View attachment 2904813
Habari Jukwaa la Siasa,
Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama,
Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now?
Sasa twende na Mimi kwenye hoja,
1. Benki ya NMB tanzania na Klabu ya Yanga SC wamezindua Kadi Maalum za Wanachama wa Yanga,
2. Huu ukiwa ni ni muendelezo wa ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kubwa nchini za kibiashara.
3. Kwa wasiofahamu, Kadi hii ya NMB Yanga World Debit Mastercard huunganishwa na akaunti na huduma zote za kifedha za Benki ya NMB.
4. Mwanachama atakayejiunga atapata Jezi 6 Kila Msimu, VIP Ticket 10 za Msimu wa NBC VPL
5. Kadi hii pia Kutumika in kwa VIP Lounge katika viwanja vya ndege vya kimataifa bure.
6. Kadi hii pia inakupa Bima za safari ukilipia tiketi ya ndege kutumia kadi hii ikiwemo kulipwa hadi Dola za Kimarekani 3,000 begi likipotea, hadi Dola 300 ndege ikichelewa na kupata mpaka Dola 7,500 kama safari yako ya ndege ikihahirishwa.
7. Hata unapougua NMB itakupa punguzo la kuanzia 10% na kuendelea ukitibiwa katika hospitali zote za Aga Khan nchini.
8. Utapata pia Punguzo la hadi 10% ukifanya malipo kwa Kadi/QR katika maduka, migahawa, vituo vya mafuta na maeneo mengine.
9. Lakini pia, Mwanachama kupata Toleo la kwanza la jezi na vifaa vyote vinavyotambulishwa na Yanga
10, Nzuri zaidi mwanayanga kupata huduma zote za kifedha zinazotolewa na Benki ya NMB ikiwemo mikopo nafuu, huduma ya NMB Mkononi na nyingine nyingi.
11. Mwanachama wa Yanga ataipata kadi hii kwa ada ya Milioni Moja kwa mwaka na kufurahia huduma zote hizi kwa mwaka na Kadi hii inapatikana katika matawi yote ya Benki ya NMB nchi nzima kuanzia leo.
12. Hata mwanachama wa Ihefu ya Yanga anaweza pia kununua kadi hii au hata mwanachama wa Club yeyote ile.
Pamoja na yote mazuri yake ni mengi kuliko mabaya yakeMimi kinachonifurahisha, kila jema sifa apewe yeye ila baya mnatetea.
Mfano tukisema mgao wa umeme ni hatari yani umeme now imekuwa shida na akalaumiwa rais, basi utasikia mnataka kumtenga nalo. Sasa sielewi mnasahau kila chenye kuzaa huwa pia kinakufa.
IKiwa yupo kwenye Jeneza unapinga wasiandamane, Je akizikwa si ndiyo utataka CHADEMA kama Chama Kiditishe shughuli zake zote hadi siku ya ufufuo?Chadema wanaandamana Mzee Lowassa Yuko kwenye jeneza kweli hawa ni binadamu?
2025 sitaichagua CHADEMA Bora nipige tu kwa maza
Ila kibinadamu hiyo siyo sawa kabisaIKiwa yupo kwenye Jeneza unapinga wasiandamane, Je akizikwa si ndiyo utataka CHADEMA kama Chama Kiditishe shughuli zake zote hadi siku ya ufufuo?
Nusu Mlingoti na salaam za rambirambi ndiyo namna ya maombolezo, siyo kusimamisha shughuli.Ila kibinadamu hiyo siyo sawa kabisa
Ila Lowassa anawahusu sana CHADEMA hata hivyoNusu Mlingoti na salaam za rambirambi ndiyo namna ya maombolezo, siyo kusimamisha shughuli.
Bungeni kwenyewe ambako aliwahi kuwa Mbunge na Kiongozi wa shughuli za serikali bungeni wamaendelea ma shughuli zao kama kawaida, why CHADEMA wasimamishe shughuli zao ukichukulia siyo Mwanachama wa CHADEMA?
😂😂Nilikuwa naitafuta sentensi hii, maana imefichwa chini chini huku