Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante,tunaweza kuanza sasa,nayasaubiri PM.
Khhaa we mkaka acha kupenda PM hivyo..hahaha, ntakupa provisional names....
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?
Watu wenye Pesa zao huwezi kuwakuta humu wanabishana kuhusu huu Uzi,,Never on Earth<<<<<Nyoosha Kidole kama unabisha.::
Msomi (at least Masters in progress)
::
Pesa (sio za mawazo)
::
Umri (at least 30+)
::
Sifa nyingine unazofikiria hazina nguvu sana..Labda umpate aliyetendwa sana hadi benchi limemchosha !!
Niko tayari kukosolewa.
=
Mfano nina pesa lakini nina "kibamia" vipi nita sebenza
ur completely wrong coz wanawake wengi wakijua unapesa watukuja sio kwa kuwa wanakupenda bali kwakuwa unapesa alafu elimu kwenye mapenz haimati
::
Kweli Pesa sabuni ya roho!!
=
Kwa pesa sawa.......naweza nikakubaliana na wewe........huna pesa umtake nani......
ukiwa na pesa hata "kibamia" kinaonekana "tango"
sijui why do i get this feelig kwamba kuna watoto wengi hapa jf auwengi mmetoka chuo juzijuzi.::
Nyie acheni kutufumba macho mchana!!
Kuna nafasi ukizitaja tz ka milioni per month hakakosi,,mf
_lawyer
_mp n.k
so passion lady uliona mbali ukajua under kapeti kuna ka unafuu.
Isitoshe lawyer's cv ina at least degree+
unless hamkukutana jf
=
Kwa mtizamo wangu niliposema mapenzi ni sawa na 'gambling' nilisema hivyo nikimaanisha kuwa ..in most cases we always fall in love by being attracted by individuals' outlooks other their the inner sides...Tuna presume kwamba pengine ule uzuri tunaouona in the first place utakuwa manifested kwenye maisha halisi ya mahusiano. Wakati mwingine tunapatia na wakati mwingine inakula kwetu...Kiukweli wengi wetu tunatamani na sisi tupendwe in the same way tunavyowapenda wenzetu!
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?
sijui why do i get this feelig kwamba kuna watoto wengi hapa jf auwengi mmetoka chuo juzijuzi.
Nani kakwambia kua lawyer ndo lazima uwe na kiasi hich cha pesa per month?
Nani ameambia kwamba wasio na elimu hawana pesa?
Ah acha niishie hapa.