Ukiwa na sifa hizi,, Utapata mwenza haraka hapa JF

Ukiwa na sifa hizi,, Utapata mwenza haraka hapa JF

swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?
 
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?

::
Kweli Pesa sabuni ya roho!!
=
 
hapo kwenye umri ndo tatizo, ngoja tusubiri miaka 10 ijayo nasisi tuopoe wetu. pesa sawa, masters sawa
 
::
Msomi (at least Masters in progress)
::
Pesa (sio za mawazo)
::
Umri (at least 30+)
::
Sifa nyingine unazofikiria hazina nguvu sana..Labda umpate aliyetendwa sana hadi benchi limemchosha !!
Niko tayari kukosolewa.
=
Watu wenye Pesa zao huwezi kuwakuta humu wanabishana kuhusu huu Uzi,,Never on Earth<<<<<Nyoosha Kidole kama unabisha.
 
ur completely wrong coz wanawake wengi wakijua unapesa watukuja sio kwa kuwa wanakupenda bali kwakuwa unapesa alafu elimu kwenye mapenz haimati
 
ur completely wrong coz wanawake wengi wakijua unapesa watukuja sio kwa kuwa wanakupenda bali kwakuwa unapesa alafu elimu kwenye mapenz haimati

::
Sikusema KUPENDA
Kupenda ni complex term of emotions that even intellect can not match it.
Nilichotamka ni kuwa ukiwa na haraka,,ukawa na sifa hizo ni rahisi kuwapata.
=
 
master degree in progress- (hakuna)
pesa zisizo na mawazo(hakuna)
 
master degree in progress- (hakuna)
pesa zisizo na mawazo(hakuna)
umri wa miaka 30 (bado kidogo)..
Jf FOREVER ALONE
 
Kwa pesa sawa.......naweza nikakubaliana na wewe........huna pesa umtake nani......

1. mh kweli lazima uwe na pesa ndo tutaelewana maana hata tukipanga mtoko, pesa lazima iwepo.
2. Ila kuhusu umri pia, ni lazima uwe wa umri fulani bana, maana hata kama una mijihela then una miaka sijui 25 nitahisi ni za babako and utakuwa mtoto sana.
3. ila kuhusu elimu, sio kweli. madam umri na pesa zimekaa vizuri ilimradi ujue kusoma na kuandika.PERIOD.
 
ukiwa na pesa hata "kibamia" kinaonekana "tango"

ah wapi wewe, ishu ya kibamia au tango inahitaji siku yake maalum kuidiscuss. Weeeeeee mwanaume pesa ila na mambo fulani muhimu
mi ndo maana nasema, love its a complicated game.
 
::
Nyie acheni kutufumba macho mchana!!
Kuna nafasi ukizitaja tz ka milioni per month hakakosi,,mf
_lawyer
_mp n.k
so passion lady uliona mbali ukajua under kapeti kuna ka unafuu.

Isitoshe lawyer's cv ina at least degree+
unless hamkukutana jf
=
sijui why do i get this feelig kwamba kuna watoto wengi hapa jf auwengi mmetoka chuo juzijuzi.
Nani kakwambia kua lawyer ndo lazima uwe na kiasi hich cha pesa per month?

Nani ameambia kwamba wasio na elimu hawana pesa?

Ah acha niishie hapa.
 
Kwa mtizamo wangu niliposema mapenzi ni sawa na 'gambling' nilisema hivyo nikimaanisha kuwa ..in most cases we always fall in love by being attracted by individuals' outlooks other their the inner sides...Tuna presume kwamba pengine ule uzuri tunaouona in the first place utakuwa manifested kwenye maisha halisi ya mahusiano. Wakati mwingine tunapatia na wakati mwingine inakula kwetu...Kiukweli wengi wetu tunatamani na sisi tupendwe in the same way tunavyowapenda wenzetu!

kwa ufupi, ni kwamba hakuna kupendana kwenye relationship yeyote ile. Kilichopo ni MMOJA KUPENDA NA MWINGINE KUPENDEKA.pERIOD.

mi nikipenda sijali kama napendwa au la, ilimradi ninayempenda apendeke na siwezi eiti kutamani anipende mi nachotaka ajue na apendeke.
 
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?

mchakarikaj hata muokota makopo s frsh kwenye kupenda bcs lamsingi n kuchakarka toka asubuh bila kulala@
 
swala la umri na ma mastaz peleka hukoo!!issue ni pesa tuu na akili ya kuchacharika na maisha!!tunapenda wanaume watafutaji,asubuh mpk jioni busy kama kichaa,ukiona call yake nywele zote zinasimama kwa furaha na heshima inazidi!sio mnachat mpk mnakosa ya kusema!kazi za watu zinafanyika saa ngapi?

da umenena wangu! wera wera. mwanaume mhangaikaji bana hata kama haingizi pesa nyingiii angalau anachakarika na kazi kiasi kwamba akikupigia cmu unaona kama zali la mentali, sio dume zima lipo available tu mda wote kupiga porojo na kuchangia mada za mitandaoni.

ungekua karibu, ningekupa buku 10 ukapate lunch
 
sijui why do i get this feelig kwamba kuna watoto wengi hapa jf auwengi mmetoka chuo juzijuzi.
Nani kakwambia kua lawyer ndo lazima uwe na kiasi hich cha pesa per month?

Nani ameambia kwamba wasio na elimu hawana pesa?

Ah acha niishie hapa.

::
ayanda
Ukisema nimetoka form four Utakuwa umeitendea haki nafsi yangu.Maana elimu hiyo sina.Ukiniita mtoto nafurahi pia maana napenda kujifunza.Na kama JF ni mtandao wenu wasomi,,kuna report abuse button..tuma ujumbe akaunti yangu iwe deleted..otherwise ukubali kuwa mwalimu wa watoto kama mimi usifiche hekima uliyojaliwa.
BACK TO THE TOPIC
Nani kasema ukiwa msomi ndo unakuwa na pesa? Nani kasema ukiwa hukusoma kama mimi unakuwa fukara?
Hatuoni jinsi wasomi wanavyolia kwa madeni,unpaid bills etc Wakati huku wasiosoma wakihangaika na bidii zao wakiwa hawana cha kutumainia zaidi ya jitihada zao?
NACHOJUA MIMI ni kuwa tunategemeana japo ukiwa na nafasi fulani probability ya kuwa pato fulani inakuwepo,,kuliko sisi tunaoshinda mitaani.Mf kuolewa na mwanasheria kuna leta matumaini ya uhakika wa mkate wa kila siku kuliko kuolewa na machinga kama mimi.(kama love factor itakuwa pembeni) Sidhani kama kuna mwanamke hajui madhara ya kuacha choice hii.
NB:
Enyi wasomi asiyejua faida ya kivuli aje juani.
=
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom