Bro wako atakua na kazi inayoeleweka na yupo kwenye system za benki na analipa kodi sasa huyu yupo na cash tena ni nyingiSirahisi kivipi mbona easy tuu mm mbona nilikuwa napokea ila za bro ktk miradi yake ni western na switft chini ya 15 milioni hakuna shida yoyote tena kama anaweza kila week anaweka mzigo 2 labda awe anaishi kimagendo huko aliko.
thubutu, unaletewa mkeka wa KYC mpaka wa babu yako, ndiyo utajua hujuikinachotakiwa ni account iwe verified... mbona tunazidanlod huko paypal na hawatuulizi
Chamsingi uwe na paypal iliyovuka viwango vya limit
Eh sawa rahisiPaypal ndo kwa moto zaidi.
Ukishindwa toa maelekezo yaliyonyooka ya hiyo pesa wanaibeba mazima na hupati hata sumni.
Hii pesa ipo bara la ulaya?😂😂😂😂 kwa mara ya kwanza nimefurahi kwenye hii thread. Hii hela ni halali. Ila haina uhalali wa kuingia tu bank. Wala kuvushwa maana haitakua rahisi. Ni nyingi.
Hawa ndo wanafanya africa/ watu weusi tuwekewe alarm ulaya wao kila kitu fursa hadi wanaharibuNimekumbuka juzi nimesoma gazeti la Kenya namna Wanaijeria kupitia kampuni Yao walivyosafisha 60million Usd kupitia Kenya. Hawa Watu ni habari nyingine. Bahati mbaya waliacha ushahidi kwa mawasiliano Yao ya watsapp
MalaysiaHii pesa ipo bara la ulaya?
Unaonekana Kama ushaur wa kijinga ila huu ndio ukweli siasa haishindwi kituOngea na katibu wa chama tawala, utachaangia kidogo za kampeni 2025 ila utakua salama jela haikuhusu
ukiona haina uhalali wa kuingia bank, basi hiyo sio hela halali, ni hela chafu.😂😂😂😂 kwa mara ya kwanza nimefurahi kwenye hii thread. Hii hela ni halali. Ila haina uhalali wa kuingia tu bank. Wala kuvushwa maana haitakua rahisi. Ni nyingi.
Mmmmhhh.... Watu wana hela jmn..1,150,000,000 (bilioni moja na milioni mia na ushee). hiyo kama upo kwenye mabegi, ataliwa sana hadi zifike. bank hawezi kutumia, akitumia kwa watu binafsi labda matajiri waliopo kule nao shida wazungu wakiona cash nyingi tu wanaanzia hapohapo investigation, akiamua awe anakuja kwa ndege atakuja mara mbili tu, mara ya tatu watamshtukia manake zitakuwa zinaonekana na viwanja vya ndege kuna siku watamstukia. ni shida tupu.
Sawaukiona haina uhalali wa kuingia bank, basi hiyo sio hela halali, ni hela chafu.
Sijajua uelewa wako wa mambo ukoje , ila now days njia rahisi ya kusafirisha pesa nyingi kwenda kokote kule duniani ni njia ya cryptocurrency na sio Fiat currencySawa
huko ni bara la asia huko ndo kuna sheria kali za kunyonga wauza madawa ya kulevya maana huwa nachanganya na singaporeMalaysia
Habari wana JF,
Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.
Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Muombe tu Mungu! Maana njia zote unazoelekezwa humu haziwezi kufanikisha hilo zoezi kwa siku 3! Pole sana mkuuIn 3 days hii hela inabidi itoke mahali ilipo.
Mkuu sisi tuna NGO ambapo tunaruhusiwa kupokea pesa ndefu kutoka njeHabari wana JF,
Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.
Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Kwamba Adeposit direct alafu aje Kutoa kwa njia za simu au bank au??? Unadhani bank watakubali kifala hivyoo..?? Maana hizo system zote za hela wana uwezo wa kuangalia hizo hela ulipatajee huwezi deposit tu bila kutrade alafu uwith draw.Uko nchi gani,kama uko bara la Asia inbox nikupe maelekezo
Labda hii NGO nayo siku hizi tokana na Ushoga kusambaa ni kwenda nayo kwa step haiwezekani from no where NGO inapokea mamilion toka malaysia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]Mkuu sisi tuna NGO ambapo tunaruhusiwa kupokea pesa ndefu kutoka nje
Tukipanga mchongo vizuri unaweka pesa na unakuja bongo unazitoa bila kelele
Kuwa serious, Yaani kiasi kinachozungumziwa hapa ni zaidi ya TzS. 1,170,000,000Tumbukiza PayPal kisha sukuma safaricom kisha Mpesa /bank Tanzania