Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

ulaya hatutunzi pesa nyumbani, pesa huwa zinakaa bank, hivyo ukionekana na pesa ambazo sio reasonable home, tayari unakuwa mshukiwa kwa namna fulani hadi wajiridhishe kwamba hufanyi biashara chafu na hukwepi kodi. hao matajiri wa ulaya unaowaona, pesa zao zote zipo kwenye mfumo na uwekezaji wao unajulikana, na wakifanya makos aanaweza kulala jana tajiri akaamka kesho amefilisika mazima. na hao matajiri wa ulaya wangekuwa africa huku ambako tunaishi kama kuku wangekuwa matajiri mara mbili kwasababu wasingetoa kodi na ujanjaujanja mwingiii kama ule wa kariakoo. sijui tuelezeje ili muelewe.
Watu wanatakiwa kuelewa hela niliyoandika hapo ni very risk. Very risk na huwezi fanya lolote. Lolote lile. Muda wte uko na wasiwasi. Ila bongo itaingia tu. Na ikiingia tutasaidia ndugu wengi.
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Naona unaenda Kutapeliwa.
 
Nione nikusaidie chap hata kama una more than billions of dollar unaziingiza chap with zero fee ni salama na haraka[emoji736]
Umehama kwenye chumba cha elfu 40? Na mshahara wako wa laki saba umeweza kuutumia vizuri hadi sasa.
Kama bado. Punguza hulka kwenye kuchangia mada. Sometimes kaa ujifunze how life goes here sawa kijana wa miaka 28.
 
In 3 days hii hela inabidi itoke mahali ilipo.
toka usiku wa manane, kachimbe shimo sehemu fukia wakati unatafuta namna ya kujipanga uzitumeje bongo. ila nijuavyo, hata ukichimba watakuona tu. na kama ni chafu, utaenda jela. kwani haukai vizuri na diaspora wenzio? au kama upo capital city, hukai vizuri na wafanyakazi wa ubalozi wa tz ambao wana immunity? wakuhifadhie ila cha juu utawapa. naongea kama utani ila mzee kama umefanya uhalifu, rudisha au kazitupe manake soon utakamatwa.
 
toka usiku wa manane, kachimbe shimo sehemu fukia wakati unatafuta namna ya kujipanga uzitumeje bongo. ila nijuavyo, hata ukichimba watakuona tu. na kama ni chafu, utaenda jela. kwani haukai vizuri na diaspora wenzio? au kama upo capital city, hukai vizuri na wafanyakazi wa ubalozi wa tz ambao wana immunity? wakuhifadhie ila cha juu utawapa. naongea kama utani ila mzee kama umefanya uhalifu, rudisha au kazitupe manake soon utakamatwa.
😂😂😂😂 kwa mara ya kwanza nimefurahi kwenye hii thread. Hii hela ni halali. Ila haina uhalali wa kuingia tu bank. Wala kuvushwa maana haitakua rahisi. Ni nyingi.
 
Pesa bana, yaani sometimes unapambana kweli kweli kuzitafuta, siku zinaanza kukufuata na mzigo unashiba, zinaanza kukuharasi kwa serikali, eti umetoa wapi zote hizi?, daa [emoji847]!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa haina rafiki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa mara ya kwanza nimefurahi kwenye hii thread. Hii hela ni halali. Ila haina uhalali wa kuingia tu bank. Wala kuvushwa maana haitakua rahisi. Ni nyingi.
Nitumie mie 10m afu utakuja kuchukua ukifka huku.
 
Tumbukiza PayPal kisha sukuma safaricom kisha Mpesa /bank Tanzania


Au tupia bank Moja kwa Moja zingine Weka kwenye account yangu utakuja chukua mkuu
paypal KE atafte iliyoko verified + annual verification bila hivo ikizid 2000 dollas paypal wanaanza mitikasi yao

ila njia ya paypal ndo njia isiyokua na maswali yyt atakaekufatilia
 
kinachotakiwa ni account iwe verified... mbona tunazidanlod huko paypal na hawatuulizi

Chamsingi uwe na paypal iliyovuka viwango vya limit
Hata ikiwa verified kwa hela nyingi hivo maswali yapo tena yakutosha
 
Back
Top Bottom