Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yoyote inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si ya kukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
 
Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yyte inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si yakukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
Pesa hio ina nyaraka za halali za jinsi ilivyopatikana??
 
Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yyte inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si yakukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
Jaribu kuwatumia ndugu kidogo kidogo unaowaamini kupitia account zao.
 
Ukiona mwenye nazo anahangaika hivyo jua sio halali dawa ni kutafuta mfanyabiashara halali na mpendwa deal ambae ni mwaminifu azitakatishe kupitia mzigo anaonunua nje aulete auze ulipwe
Shukuru sana Bw. yule hayupo
 
Ukiona mwenye nazo anahangaika hivyo jua sio halali dawa ni kutafuta mfanyabiashara halali na mpendwa deal ambae ni mwaminifu azitakatishe kupitia mzigo anaonunua nje aulete auze ulipwe
Shukuru sana Bw. yule hayupo
Hata huku ilipo hela inaweza fanya makubwa. Hata huyo bwana angekuepo. Pesa inataka kuja kusaidia some projects bongo. Unaweza fanya starehe yyte kama ikigoma. Ila still kuna wazo la kuja kuinvest bongo.
 
Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yyte inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si yakukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
mimi sidhani kama wewe una pesa yeyote, unasumbua akili za watu tu hapa. hivi kweli uwe na pesa kama hiyo halafu usijue namna ya kuisafirisha? au umeziokota mtu alidondosha? upate akili ya kutafuta pesa kama hiyo halafu ukose akili ya kusafirisha? kwenye dunia hii? unauza madawa? unashindwa nini hata kwenda tu kwa customer care wa bank hapo ulaya ufanye maulizo?
 
Inategemeana huko wapi.

1. Tumia njia ya kibenki kudeposit na kuchukulia huku hizo pesa

2. Mwisho wa kusafirisha bila kelele ni dollar 10,000 gawanya kwa idadi ya pesa zako. Kata tiketi za mzunguko nenda rudi nenda rudi kufata pesa.

3. Tumia wapiga dili kukuingizia pesa. Zinaingia bila shida.

4. Tafuta wanunuzi wa nje walioko bongo wanaitaji kununua kitu in bulk lipa huko wakupe mzigo wako hapa

Umemaliza kila kitu na ikiwezekana hii thread ifungwe kabisa and then the case is closed
 
1. Bank wanabana. IR ukiingiza $10,000 baada ya muda wanasaka. Nitapodeposit $10,000 nyingine itakua tatizo.

2. Go and return atleast we can work though ni risk.

3. Hii ya wapiga deal. Mfano wake upoje. Naona imekaa poa.

Wana charge zao wao watatumia njia zao za kijanja kufikisha pesa. Mfano kuna wafanyabiashara wakubwa hapa nchi ata ukitaka kuvusha 1m usd unavusha ila kikubwa utakua charged. Explore
 
Inategemeana huko wapi.

1. Tumia njia ya kibenki kudeposit na kuchukulia huku hizo pesa

2. Mwisho wa kusafirisha bila kelele ni dollar 10,000 gawanya kwa idadi ya pesa zako. Kata tiketi za mzunguko nenda rudi nenda rudi kufata pesa.

3. Tumia wapiga dili kukuingizia pesa. Zinaingia bila shida.

4. Tafuta wanunuzi wa nje walioko bongo wanaitaji kununua kitu in bulk lipa huko wakupe mzigo wako hapa

Namba 4 aifanyie kazi
 
mimi sidhani kama wewe una pesa yeyote, unasumbua akili za watu tu hapa. hivi kweli uwe na pesa kama hiyo halafu usijue namna ya kuisafirisha? au umeziokota mtu alidondosha? upate akili ya kutafuta pesa kama hiyo halafu ukose akili ya kusafirisha? kwenye dunia hii? unauza madawa? unashindwa nini hata kwenda tu kwa customer care wa bank hapo ulaya ufanye maulizo?
Asante. Na si lazima niwe na hiyo hela ila kupata maelezo ni swala zuri. Kuuliza si ujinga wanasema waswahili.
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Nenda ubalozini hukohuko nje utaelekezwa, ukikomaza fuvu zinataifishwa na unashitakiwa.
Lazima ufuate utaratibu unaingiza au kutoka na kuanzia $10,000.

Japokuwa Chance ndoto
 
Back
Top Bottom