Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yyte inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si yakukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
Weka kwenye bank account ya benk Iyeyote huko nje kisha beba Viza au master card yako utakuwa una draw taratibu pesa zako ukiwa Tanzania kwenye ATM

Popote kwenye ATM zilizosambaa nchi nzima
 
Weka kwenye bank account ya benk Iyeyote huko nje kisha beba Viza au master card yako utakuwa una draw taratibu pesa zako ukiwa Tanzania kwenye ATM

Popote kwenye ATM zilizosambaa nchi nzima
Mdanganyee tuu[emoji3][emoji3][emoji3] Mambo ya helaa magumu sanaa yeye sio mjinga kuuliza hiyo njia sio kwamba haijui...!!
 
Pesa hio ina nyaraka za halali za jinsi ilivyopatikana ??
Pesa bana ukizikosa kichwa kinauma na zikizidi kichwa kinauma sky soldier Kiongozi nahisi kaipata kwa Biashara..kwa mkupuo Pap..so hawezi kua nyaraka na kama angekua na nyaraka means asingetaka msaada hapa

Chance ndoto Fata ushauri number 4 wa Tajiri Kichwa he has something

Kama una Ndugu/Jamaa unaowaamini kama 30 uko uliko kisha hao 30 kila mmoja mpe jina la Ndugu/Jamaa yako mmoja na detail’s zake then wafanye izo transactions..almost for 30people then gawanya icho kiasi watumie japo pia it’s more risk kwa hao utakaowatumia kama watahadaika na kukosa uaminifu 🤦

Anza namimi🤣🤣🤣👋

Kila la kheri 😊👋
 
Weka kwenye bank account ya benk Iyeyote huko nje kisha beba Viza au master card yako utakuwa una draw taratibu pesa zako ukiwa Tanzania kwenye ATM

Popote kwenye ATM zilizosambaa nchi nzima
Mbona unarahisisha mambo sana mkuu , kwenye mambo ya benk kuna sheria za kuzui utakatishaji fedha na ugaidi anavoweka hizo hela B1.1+ lazima awe na maelezo
 
Mbona unarahisisha mambo sana mkuu , kwenye mambo ya benk kuna sheria za kuzui utakatishaji fedha na ugaidi anavoweka hizo hela B1.1+ lazima awe na maelezo
Kutoa hela zako kwenye ATM unatoa maelezo kwenye ATM?

Walioanzisha Visa Card na Master Card waliona mapema kuwa watu wao wataptaa usumbufu.wa kutwa kufungua account kila nchi

Ukiwa na Account kwenye benki zao unatoa pesa ATM yeyote popote duniani bila shida
 
Kutoa hela zako kwenye ATM unatoa maelezo kwenye ATM?

Walioanzisha Visa Card na Master Card waliona mapema kuwa watu wao wataptaa usumbufu.wa kutwa kufungua account kila nchi

Ukiwa na Account kwenye benki zao unatoa pesa ATM yeyote popote duniani bila shid
Sasa wew Uwekewe Mil 500 leo kwenye acc yalo alafu nenda ATM card katoe uonee kama zitatokaaa... ATM machine zipo tu pale ukifungiwaa hata ukiwa na Bil 20 hutoi hata 100 ndugu yangu kutakatisha fedha sio jambo dogoo...!!
 
Kutoa hela zako kwenye ATM unatoa maelezo kwenye ATM?

Walioanzisha Visa Card na Master Card waliona mapema kuwa watu wao wataptaa usumbufu.wa kutwa kufungua account kila nchi

Ukiwa na Account kwenye benki zao unatoa pesa ATM yeyote popote duniani bila shid
Lakini umemwelewa mleta maada kasema ana cash, ingekua rahisi hivo asingekuja kuuliza
 
Online marketing mzee, usikaze fuvu! Kwani akiwa huko USA au ULAYA hana simu au computer ya kumulika bidhaa hata china!!? Huko china anapo agiza adress anatoa za Dar es salaam port, anacheck agent hata hao silent ocean wanamfanyia mambo yake vizuri tu na si lazima afanye manunuzi ya pesa zote hizo kwa mara moja! Mf hizo Howo na trailer zake anaweza kuchukua hata 5 na mpaka anazifikisha hapa Tz nusu ya hiyo pesa inakua imesha enda na maji yeye ni kufanya miamala tu mpaka zoezi linaisha, baada ya hapo anashughulikia vibali vyuma vinasubiri kuingia mzigoni, baada ya muda anafanya manunuzi mengine

Kuna mitambo kama ma'grador na scavator! Ukichukua loader moja la uhakika na scavator moja hiyo pesa inapukutika na zikifika ni anajipigia pesa zake taratiibu hato amini, lazima zirudi kama upepo
Online business na wakati anakwambia pesa zipo cash!! ?
 
Kutoa hela zako kwenye ATM unatoa maelezo kwenye ATM?

Walioanzisha Visa Card na Master Card waliona mapema kuwa watu wao wataptaa usumbufu.wa kutwa kufungua account kila nchi

Ukiwa na Account kwenye benki zao unatoa pesa ATM yeyote popote duniani bila shid
ATMs Zina limit ya kutoa hela Tena kwa siku. Ukiwa na pesa nyingi lazima uingine ndani ufanye transactions na hapo ndio wasi wasi utakapoanza
 
1. Bank wanabana. IR ukiingiza $10,000 baada ya muda wanasaka. Nitapodeposit $10,000 nyingine itakua tatizo.

2. Go and return atleast we can work though ni risk.

3. Hii ya wapiga deal. Mfano wake upoje. Naona imekaa poa.

Point ingine amekuambia vipi! Hujaipenda?
 
Lakini umemwelewa mleta maada kasema ana cash, ingekua rahisi hivo asingekuja kuuliza
Cash zina move sema waswahili hatuaminiani

Hizo dola wangekuwa wahindi kitu kidogo sana anampa muhindi mwenzie aliye nje USD 500,000 aliyempa anampa gharama ya ku move hiyo pesa kuwa itakuwa dola 20 000 unaambiwa nenda kwa muhindi fulani Dar dukani kwake au popote kachukue dola zako 480,000 Cash anapewa huko.Zile dola kule zinabaki kule kule kule hazimove

Ukitaka ku move dollar mfano laki mbili kwenda USA mchezo huo huo.anakuambia gharama ya ku move dola laki mbili ni dola elfu 10 mfano

Unampa dola laki mbili Tanzania unaenda marekani unaenda kupewa cash dola 190,000 cash bila longolongo

Hizi laki mbili umeweka huku.hazi move kwenda USA

Kwa waswahili ukithubutu uwezekano wa kutapeliwa mkubwa

Wahindi wanayaweza
 
Back
Top Bottom