Ukiwa nje usiwaamini ndugu Bongo, ndoto ya kurudi nyumbani mazima imefifia kutokana na ujenzi hafifu

mleta mada nilichojifunza ni kwamba unatutangazia kua unaendelea na ujenzi tumeshajua.
Huwez ukawa ulishajenga na unajua gharama za ujenzi alaf uulize nyumba finishing itaweza malizika ndani ya mwezi hapo unaniacha na maswali kwamba huenda ni stori tu.
Nipende kusema ukiwa na pesa utahamisha bahari sembuse hako kanyumba kukapiga makeup chapchap kkae mkao.
ILA NI KAMA UNA HELA
 
Haya nimekusikia dangote.
 
Mungu akubariki kwa ushaur mzuri uliotoa mkuu.
 
Mkuu tupe connection huko kaburu, passport zipo tayari. Niandae kiasi gani ili niweze kufika nakusaka tonge huko?
Mkuu kaburu kwa nyie mnaokuja sasa hivi kuna changamoto zake. Sisi wengine tunatusua kwa sababu kitambo mno maisha mabovu haya, afu tunazijua kona zote za kusakia tonge.
So tunapatia tonge letu kutokana na uzoefu wetu.
 
Ishu kama hizi unatenga tu muda kama ni mwezi mmoja unakuja unasimamia mafundi mpaka sehemu fulani unasimama ukipata tena nafasi unarudi
Kweli mkuu, dah najilaumu sana kwa kuwamini ndugu mazima.
 
Nipe hiyo kazi. Ndani ya mwezi itaisha. Hata Kama ukihitaji fensi, itakamilika ndani ya mda huo
 
Huyo atakuwa mhaya

Tena aweza kuwa kupiga picha nyumba ya jirani yake Profesa Rwarubisi Ndizi Bukoba anayefundisha chuo kikuu wanachosoma maraisi wa dunia akiwemo Joe Biden yeye akiwa ndie mkuu wa hicho chuo!!
Ukabila unatoka wapi mkuu, afu kama haunijuagi vizuri humu mimi ni wa kaskazini. Hao wahaya unaosema wew wengi wao ni choka mbaya, ila wako vizuri shuleni.
 
Washikaji kama hao wamebaki wachache sana, ni rahisi kushinda bahati nasibu kuliko kupata waaminifu kama hao
 
Nilitaka kusema mshukuru Mungu hata kama wameweza kuifikisha hapo

Halafu akili nyingine ikaniambia aah wewe unaamini ndugu kama ni mapicha ya nyumba ya watu wengine na wewe unazugwa tu mjengo wako huo?

Ila mimi ndugu zangu hawakuniangusha kwa sababu wako vizuri sana kimaisha
 
Hiyo mbona imeshaisha unaweza kuhamia. Watu wanahamia kwenye nyumba hazijapigwa hata plaster. Na nimeona kama kuna nguo zimeanikwa.
Yaani wewe hamia tu hata leo, utamalizia ukiwa hapohapo
 
Ni vile tu pesa ni za shida ila ukiingia mkataba na kampuni za ujenzi huwa stress zinapungua sana.
 
Huyo atakuwa mhaya

Tena aweza kuwa kupiga picha nyumba ya jirani yake Profesa Rwarubisi Ndizi Bukoba anayefundisha chuo kikuu wanachosoma maraisi wa dunia akiwemo Joe Biden yeye akiwa ndie mkuu wa hicho chuo!!
Ukabila unatoka wapi mkuu, afu kama haunijuagi vizuri humu mimi ni wa kaskazini. Hao wahaya unaosema sisi tumeaacha mbali kimaendeleo
Wenyewe hawataki wageni, mtaelewa lini hili somo?

Hata ufanye kazi miaka 20 South Africa kwa mshahara wa deiwaka hutoki, wanaofanikiwa na kufanya mambo Bongo hawatokaa wakwambie siri ya mafanikio yao.
Huu ndio ukweli mchungu mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…