Pamoja san mkuuHapo Mkuu wiki tu unahamia fresh ,ni mpunga wako tu.
Haya nimekusikia dangote.Basi nikajua kwa malalamiko haya utakuwa mjengo wa kisasa hadi nitamani kuzamia Ughaibuni.
Sio mbaya, hiyo nyumba haina uzio yaani ukuta na naona finishing bado sidhani kama kwa muda huo unatosha.
Watu mnaopata bahati kwenda nje na mkaamua kufanya uenzi wa makazi bora muwa mnajenga kwa kutumia makampuni badala ya ndugu zenu, mnakwepa makampuni ya ujenzi ila ndugu mnaowaamini wanawapiga pesa nyingi kuliko mngezolipa ktk kampuni.
Sinza hapa nilikuwa nafanya nami vimichakato vyangu, kuna jirani yangu alinunua nyumba mbli kupata moja, bei alioambiwa na ndugu zake alipigwa zaidi ya mil 28, kwenye ujenzi ni balaa tupu hadi roho inaniuma. Kuna kibustani mbele ya nyumba kidogo ndugu yake kwamwambia kinahitaji mil 3 ili kikae mkao duuu.
Mungu akusimamie katika mipango yako mkuu.Hongera sana kiukweli umenihamasisha na Mimi nianze mipango ya kuanza ujenzi wa kibanda changu mwanza maisha ya bongo kama nayachoka kimtindo hivi
Mungu akubariki kwa ushaur mzuri uliotoa mkuu.Unavyoona watu wengi wa hapa duniani wanapata majuto makubwa na kuanguka ni kutokana na watu wa karibu especially ndugu hawana uaminifu sometime mtu baki kama rafiki anaweza kuplay fair kuliko ndugu...better kumuamini mke kama mshazaa na mna familia kuliko kwa sasa Tamaa ni nyingi mno mbele ya pesa
Mkuu kaburu kwa nyie mnaokuja sasa hivi kuna changamoto zake. Sisi wengine tunatusua kwa sababu kitambo mno maisha mabovu haya, afu tunazijua kona zote za kusakia tonge.Mkuu tupe connection huko kaburu, passport zipo tayari. Niandae kiasi gani ili niweze kufika nakusaka tonge huko?
Kweli mkuu, dah najilaumu sana kwa kuwamini ndugu mazima.Ishu kama hizi unatenga tu muda kama ni mwezi mmoja unakuja unasimamia mafundi mpaka sehemu fulani unasimama ukipata tena nafasi unarudi
M25 ππππ masihara hayo mkuu.Mkuu niuzie huo mjengo kwa million 25 TZS
Nipe hiyo kazi. Ndani ya mwezi itaisha. Hata Kama ukihitaji fensi, itakamilika ndani ya mda huoHabari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Ndugu wanajamii forum wenzangu, unapokuwa nje ya nchi mara nyingi unakumbana na changamoto nyingi kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki uliyowaacha nyumbani.
Hii ni kutokana na wao kuona, au kuamini kwamba unao uwezo wa kufanya kila kitu kwao. Na kibaya zaidi hata utapojaribu kufanya baadhi ya vile unavyoweza kufanya bado utaendelea kubebeshwa lawama tu, ili mradi wahakikishe kuwa wew hauwezi ukaishi bila lawama zao.
Mwaka 2019 before corona nilikwenda bongo nikanunua kiji eneo maeneo ya salasala. Mpaka hapo tayari nilikuwa na eneo langu lingine ambalo tayari nimeshajenga kule Kigamboni, sehemu fulan inaitwa yebo yebo. Ila mimi binafsi nilipojaribu kupalinganisha Kigamboni na Salasala maeneo niliyonunua mimi, niliona kwamba Salasala ndio panafaa kuwa makazi yang ya kudumu pindi ntaporudi kuishi bongo mpaka pale muumba ataponichukua.
Kwahiyo nilivyorudi kaburu ikabidi nianze jitihada za ujenzi kule Salasala ili nishushe mjengo nitakaoishi mimi na familia yangu afu ile nyumba ya Kigamboni nitaipangisha. Kwa sasa kule yebo yebo Kigamboni anaishi brother wangu ambae na yey ana kiwanja chake huko huko Kigamboni anajenga, kwahiyo wakati namalizia mjengo wangu wa Kigamboni aliniomba akae kwanza kwa muda ili awe karibu na shughuli yake ya ujenzi afu nyumba yake ikishaisha ndo atapohama na kuniachia nyumba yangu nipangishe, nkasema haina noma bro.
Sasa basi ujenzi wa Salasala niliuanza mwaka 2020 nikitarajia kuwa katikati ya mwaka huu wa 2022 niwe nimeshamaliza afu ikiwezekana mwezi wa 12 nikienda bongo likizo iwe ndo kimoja nisirudi tena Kaburu. Cha kushangaza pamoja na jitihada zote nlizofanya lkn wanaosimamia mjengo wangu ndio wananikwamisha. Nyumba inaenda kimdondo sana mpaka inanikatisha tamaa kama ninaweza kuihamia mwishoni mwa mwaka huu.
Kabla ya kuanza ujenzi huu kuna watu walinishauri kwamba ni bora nimtume mama watoto aende kukaa bongo ili awe anasimamia shughuli za ujenzi kuliko kuwaamini ndugu tu pekee, mimi nikakaidi kwa kuona kuwa kamwe siwezi kumuweka mke wangu mbele ya ndugu zangu.
Sasa matokeo yake majuto ni mjukuu. Na mimi kuhamia Kigamboni staki naona kumenikalia kushoto sana aisee. Wana JF wenzangu mnaonaje, hivi mjengo huu unaweza kuisha kwa mwezi mmoja uliobaki kweli?
Maanake kuishi mbali na nyumbani kwa muda mrefu nako kunachosha.
View attachment 2400496View attachment 2400497
π π πNi sawa maana hata mke anaweza kujichanganya na Bodaboda wakaimaliza hiyo hela
Ukabila unatoka wapi mkuu, afu kama haunijuagi vizuri humu mimi ni wa kaskazini. Hao wahaya unaosema wew wengi wao ni choka mbaya, ila wako vizuri shuleni.Huyo atakuwa mhaya
Tena aweza kuwa kupiga picha nyumba ya jirani yake Profesa Rwarubisi Ndizi Bukoba anayefundisha chuo kikuu wanachosoma maraisi wa dunia akiwemo Joe Biden yeye akiwa ndie mkuu wa hicho chuo!!
Washikaji kama hao wamebaki wachache sana, ni rahisi kushinda bahati nasibu kuliko kupata waaminifu kama haoKuna idadi ya kutosha ya watu waliolizwa na wake zao.
Mimi kuna Mshikaji alikuwa Marekani amemtumia mshikaji tu wa mtaani kusimamia nyumba yake mpaka imeisha na jamaa akaendelea kukaa kuilinda nyumba, mshkaji yupo hapa Sasa hivi amekuja likizo amemnunulia jamaa zawadi ya gari IST afanye uber.
Na nyumba iliyojengwa INA standard zote mpaka Rangi zake ni viwango, kwenye hili Mimi naona ni jinsi ya mtu kujipanga siku hizi kuna video call unaona vitu kwa uhalisia.
Napambana sana mpa lengo litimie kiongoziMungu akusimamie katika mipango yako mkuu.
Ukabila unatoka wapi mkuu, afu kama haunijuagi vizuri humu mimi ni wa kaskazini. Hao wahaya unaosema sisi tumeaacha mbali kimaendeleoHuyo atakuwa mhaya
Tena aweza kuwa kupiga picha nyumba ya jirani yake Profesa Rwarubisi Ndizi Bukoba anayefundisha chuo kikuu wanachosoma maraisi wa dunia akiwemo Joe Biden yeye akiwa ndie mkuu wa hicho chuo!!
Huu ndio ukweli mchungu mkuu πππWenyewe hawataki wageni, mtaelewa lini hili somo?
Hata ufanye kazi miaka 20 South Africa kwa mshahara wa deiwaka hutoki, wanaofanikiwa na kufanya mambo Bongo hawatokaa wakwambie siri ya mafanikio yao.