Ukiwa pekeyako nyumbani huwa unafanya nini kama huna kazi?

Ukiwa pekeyako nyumbani huwa unafanya nini kama huna kazi?

Naperuzii mpaka hii Tecno inapata moto, ikipata moto hivo naipumzisha ,nalala[emoji3] [emoji3]
 
Me huwa nasikiliza tu zilizopendwa maana watu wakiwepo nashindwa kusikiliza,, hawataki kuzisikia
 
Huyu hakufikii hata 5℅


Tena ngoja nimchane mbele yako.
Kwanza me nashangaa anashoboka shoboka

Wee kima @demmiss unikomeeee...!!!!
Wee mtoto alivyo mashallah huyo,hapana kwakweli, lazima moyo unipasuke [emoji12]
 
Naperuzii mpaka hii Tecno inapata moto, ikipata moto hivo naipumzisha ,nalala[emoji3] [emoji3]
Kainunulie hii handle yake
20190527_222142.jpg
 
Lakini mtoa tangazo hakuwa makini.[emoji28][emoji28] hyo simu mkuu kwa uelewa wako uoni kama ni samsung?
Yah! ni j5 hiyo nahisi..... ila hapo ilitolewa kama mfano tu jinsi handle zinavyo kaa
 
Back
Top Bottom