Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
 
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Niliuza gari langu la kazi kisa nina shida ya 10m lol, inanuuma mpaka leo
 
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Niko hapa nasubiri shuhuda za waliouza marinda yao
 
Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.

Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
 
Back
Top Bottom