Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
👹Pussy 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👹Pussy 🐒
Ya Gold boss. Ilivyokuwa mpya ilikuwa gram mbili na point kadhaa sikumbuki. Gram moja unatoa ngapi niuze na hii ya engagement, ndoa yenyewe haieleweki😂Ya gold nanua ni gram ngapi kwanza?
1gram = 150k kwasababu ni weweeYa Gold boss. Ilivyokuwa mpya ilikuwa gram mbili na point kadhaa sikumbuki. Gram moja unatoa ngapi niuze na hii ya engagement, ndoa yenyewe haieleweki😂
Kweli gram 1 ni 150k mkuu.?1gram = 150k kwasababu ni wewee
pole mkuuAcha tu niliuzaa gari bei ya kutupa,mwisho nikapigika nikafulia kabisa Hadi leo sijapata hela ya kununua gari ni mwendo wa kunyunda tu kwa miguu..
Kifupi nilianza maisha upya from 0
Yeah chap tufanye biasharaKweli gram 1 ni 150k mkuu.?
hakuwa muungwa mtoe kwenye ushkaji kama ni mimi ningekukopesha Kwa dhamana ya gar lkn hata kama ni mtu Baki Huwa najisikia vibaya kununua kitu Kwa muuzaji anaekuuzia huku anauchungu na hiyo Mali mbaya sana hiyo.Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.
Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
Niliuza eneo langu sehemu milioni saba,ela nikaitia kwenye biashara fulani ya mazabe maiaka iyo, picha linaanza wazee walinilalia,mzigo ukapotea wote na mimi nikabakia na pumbu zangu, kumbuka hapo nilienda kwa mganga ili nisikamatwe na wazee,alinipa hirizi fulani ivi,Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Shukuru Mungu, angalau ulipata mteja wa kununua. Wengine wanakosa mteja kabisa wanaishia kulaliwa na madalaliNoah ya 16m nikauza kwa 6m baada ya miezi 9 tu ili nilipe ada chuo, huku madeni, huku ada, huku stress za ndoa, gari yangu ile ikaenda.....
Nikiwa Chuo Undergraduate nililuza samsung tablet yangu bei ya kutupa kisa tu nipate 150K niende Billz enzi hizo, baadae kidogo nikauza laptop 250K.....Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Mie nanunuaMimi ningeuza hadi pete ya ndoa sema ni vile naona aibu kutafuta mteja🤣
Huyo hafai kuwa rafiki, muepuke.Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.
Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
Si unaenda kwa sonara hela hapo hapo.Mimi ningeuza hadi pete ya ndoa sema ni vile naona aibu kutafuta mteja🤣
Duh, kufa kufaanaNiliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.
Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
Wafia dini mnaharibu Kila kitu, si Kila anaefulia/kuanguka kakosea au kamkosea huyo Mungu, kwa bahati mbaya sana hii dunia haiko fair watu wema ndie wanaongoza kwa kupata majanga na kufulia Sasa sijui nao mtasema wanakosea wao tu?.Ukiona umeanza kuuza na vitu rejea kwa Mungu wako kuna mahari umeteleza vibaya mno ukaangukia chaliiii ubongo kwenye tiles.