Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.

Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
hakuwa muungwa mtoe kwenye ushkaji kama ni mimi ningekukopesha Kwa dhamana ya gar lkn hata kama ni mtu Baki Huwa najisikia vibaya kununua kitu Kwa muuzaji anaekuuzia huku anauchungu na hiyo Mali mbaya sana hiyo.
 
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Niliuza eneo langu sehemu milioni saba,ela nikaitia kwenye biashara fulani ya mazabe maiaka iyo, picha linaanza wazee walinilalia,mzigo ukapotea wote na mimi nikabakia na pumbu zangu, kumbuka hapo nilienda kwa mganga ili nisikamatwe na wazee,alinipa hirizi fulani ivi,

Huyo mganga alikuwaga kibaha kwa mfipa anaitwa mzee kidude ,


Iyo mwaka 2003,

Nikarudi kijijini fasta kujipanga kwenye korosho
 
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
Nikiwa Chuo Undergraduate nililuza samsung tablet yangu bei ya kutupa kisa tu nipate 150K niende Billz enzi hizo, baadae kidogo nikauza laptop 250K.....
 
Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.

Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
Huyo hafai kuwa rafiki, muepuke.
 
Niliuza gari kwa bei ya kutupa kwa mtu ambae nilienda kununua nae na alijua kabisa thamani ya gari yenyewe.

Alikuwa na uwezo wa kunipa at least 80% ya bei niliyonunulia ikizingatiwa gari niliitumia kwa miezi 2 tu na alikuwa anaihitaji hiyo gari ila alinilalia kwa vile alijua nilikuwa na shida ya ghafla.
Duh, kufa kufaana
 
Ukiona umeanza kuuza na vitu rejea kwa Mungu wako kuna mahari umeteleza vibaya mno ukaangukia chaliiii ubongo kwenye tiles.
Wafia dini mnaharibu Kila kitu, si Kila anaefulia/kuanguka kakosea au kamkosea huyo Mungu, kwa bahati mbaya sana hii dunia haiko fair watu wema ndie wanaongoza kwa kupata majanga na kufulia Sasa sijui nao mtasema wanakosea wao tu?.

Kama hujawai kutana na hii situation kaa kwa upole na usijudge kwa ubaya wala kwa wema maana huujui ukweli.

Chil, humu Kuna watu wamepitia mengi sana.
 
Back
Top Bottom