Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

Wafia dini mnaharibu Kila kitu, si Kila anaefulia/kuanguka kakosea au kamkosea huyo Mungu, kwa bahati mbaya sana hii dunia haiko fair watu wema ndie wanaongoza kwa kupata majanga na kufulia Sasa sijui nao mtasema wanakosea wao tu?.

Kama hujawai kutana na hii situation kaa kwa upole na usijudge kwa ubaya wala kwa wema maana huujui ukweli.

Chil, humu Kuna watu wamepitia mengi sana.

Mapovu ya nini mkuu?? Au ndio stress za kuuza vitu😅😅
 
Huyo hafai kuwa rafiki, muepuke.
Cha ajabu takriban miaka 4 mbele hana cha maana.
Tabia yake haikuwa kwangu tu. Alishakuwa na mchezo mpaka wa kudhulumu vitu vya watu kwa kupitia mikopo na kutaifisha vitu viliyowekwa kwake bond.

Kwa sasa hana mbele wala nyuma, nina hakika dhulma alizofanya kwa wengine zinamrudia sasa. Ni mtu mwenye hulka ya tamaa na choyo.
 
Scientific calculator OSalo & Foska.

Na Laptop aina ya DELL.
 
Cha ajabu takriban miaka 4 mbele hana cha maana.
Tabia yake haikuwa kwangu tu. Alishakuwa na mchezo mpaka wa kudhulumu vitu vya watu kwa kupitia mikopo na kutaifisha vitu viliyowekwa kwake bond.

Kwa sasa hana mbele wala nyuma, nina hakika dhulma alizofanya kwa wengine zinamrudia sasa. Ni mtu mwenye hulka ya tamaa na choyo.
Tegemea kuja kusikia mwanao amechapwa nao iwe kwa hiyari kwa sababu ya tamaa zake ama kwa force, kadhulumu watu wenye roho zao ngumu.
 
Niliuza laptop, LG TV, simu sumsung

Pass🤣🤣🤣 hi ndio huwa inaniuma Zaid kwasab nilimuuzia fund wa mtaan kwang mpaka Leo ipo
 
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?

Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
2020 Nilienda kuuza vigae kama vinne vilibaki home baada ya ujenzi nikakutana na mwana mmoja akaniambia Kuna dingi anavihitaji tukaenda tukafika mida ya samoja usiku mzee akasema anipe buku 2 hela nyingine nitafata kesho nilikasirika Sana na siwezi kurudi navyo home itakuwa noma, ikabidi nipokee tu, tukagawana na yule mwana bukubuku ,aloo. SIJARUDI KWA YULE DINGI HADI LEO
 
Back
Top Bottom