Wafia dini mnaharibu Kila kitu, si Kila anaefulia/kuanguka kakosea au kamkosea huyo Mungu, kwa bahati mbaya sana hii dunia haiko fair watu wema ndie wanaongoza kwa kupata majanga na kufulia Sasa sijui nao mtasema wanakosea wao tu?.
Kama hujawai kutana na hii situation kaa kwa upole na usijudge kwa ubaya wala kwa wema maana huujui ukweli.
Chil, humu Kuna watu wamepitia mengi sana.
Wewe ni boya mkuu ππππ₯³Niliuza mafremu ya urithi kisa kwenda Dubai na binti mmoja mzur wa kidigo lakni saiv hata nipigeje hapokei smu na yupo na mwanaume mwingne mweny pesa anafanya kazi uwanja wa ndege
Niko hapa nasubiri shuhuda za waliouza marinda yao
Mkuu ulipo sema kila kitu... Unajua kila kitu wewe!?πππUnataka kimoja tu? Tunauza kila kitu isipokuwa uhai tu
Umeongea point sanahakuwa muungwa mtoe kwenye ushkaji kama ni mimi ningekukopesha Kwa dhamana ya gar lkn hata kama ni mtu Baki Huwa najisikia vibaya kununua kitu Kwa muuzaji anaekuuzia huku anauchungu na hiyo Mali mbaya sana hiyo.
Negative inaweza kuwa positive kwangu....hata nchi na miili yenu nauza mkuu.Mkuu ulipo sema kila kitu... Unajua kila kitu wewe!?πππ
Kuna watu tuna negative mindsetπππ embu fafanua kidogo.
Ndio.Hii sasa ndio hasara.....lakini sijui gari laptop hivyo vitu unavitafuta unavipata tena
Uza tuu una waambia ume iokota πMimi ningeuza hadi pete ya ndoa sema ni vile naona aibu kutafuta mtejaπ€£
Cha ajabu takriban miaka 4 mbele hana cha maana.Huyo hafai kuwa rafiki, muepuke.
Yoooh! π³Pussy π
Tegemea kuja kusikia mwanao amechapwa nao iwe kwa hiyari kwa sababu ya tamaa zake ama kwa force, kadhulumu watu wenye roho zao ngumu.Cha ajabu takriban miaka 4 mbele hana cha maana.
Tabia yake haikuwa kwangu tu. Alishakuwa na mchezo mpaka wa kudhulumu vitu vya watu kwa kupitia mikopo na kutaifisha vitu viliyowekwa kwake bond.
Kwa sasa hana mbele wala nyuma, nina hakika dhulma alizofanya kwa wengine zinamrudia sasa. Ni mtu mwenye hulka ya tamaa na choyo.
bei gani wauza?Mimi ningeuza hadi pete ya ndoa sema ni vile naona aibu kutafuta mtejaπ€£
kwasasa hapana ila nilikua boya kwa kweliWewe ni boya mkuu ππππ₯³
Baby naomba tamu ππPussy π
Wakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?
2020 Nilienda kuuza vigae kama vinne vilibaki home baada ya ujenzi nikakutana na mwana mmoja akaniambia Kuna dingi anavihitaji tukaenda tukafika mida ya samoja usiku mzee akasema anipe buku 2 hela nyingine nitafata kesho nilikasirika Sana na siwezi kurudi navyo home itakuwa noma, ikabidi nipokee tu, tukagawana na yule mwana bukubuku ,aloo. SIJARUDI KWA YULE DINGI HADI LEOWakuu
Kufulia kusikie tu kwa jirani.kuna kipindi kama miaka minne imepita,niliwahi kufulia kiasi kwamba nilikosa hata mia mbovu mfukoni.nikaona mambo yasiwe mengi nikauza zangu laptop yangu ilikua mpya kabisa aina ya HP kwa bei sawa na bure ili mambo yaende,ebana nikikumbukaga hii issue najihisi kuumia sana.
Kuna yeyote aliwahi kukumbwa na majanga kama haya?