DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Akikujibu nitagHumu unamjuaje mtu kama ana dharau??
Nasubiri jibu.Akikujibu nitag
Kiufupi maisha hayana formula mojalakini kuna watu wanafanya tofauti na mnavyotueleza lakini bado wanatoboa
kupitia mwandiko. kwa kiasi kikubwa kile anachokiandika mtu kinaendana naye,Humu unamjuaje mtu kama ana dharau??
Ahsante.kupitia mwandiko. kwa kiasi kikubwa kile anachokiandika mtu kinaendana naye,
Inaonekana una mengi sana ya kutuambia😃😃😂dharau zitafanya watu wakuchukie ila hazitokunyima pesa, kwanza zinaweza kukusaidia kupata pesa😂
dharau, ubinafsi, unafki, uongo vinasaidia sana
dharau, unafki, uongo, utapeli vimenisaidia sana.... haswa hapo kwenye uongo na utapeliInaonekana una mengi sana ya kutuambia😃😃😂
Elewa neno Mafanikio Makubwadharau zitafanya watu wakuchukie ila hazitokunyima pesa, kwanza zinaweza kukusaidia kupata pesa😂
dharau, ubinafsi, unafki, uongo vinasaidia sana
labda mafanikio mengine, ila sio ya kifedhaElewa neno Mafanikio Makubwa
Just dig more knowledge ur too young upstairslabda mafanikio mengine, ila sio ya kifedha