Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Oukay😊🤗dharau, unafki, uongo, utapeli vimenisaidia sana.... haswa hapo kwenye uongo na utapeli
napenda ushindani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oukay😊🤗dharau, unafki, uongo, utapeli vimenisaidia sana.... haswa hapo kwenye uongo na utapeli
napenda ushindani
Tena fake, kuna member alisema yeye humu anaingia akiwa bar analewa 🤣🤣nafikiri hakuna haja ya kufikiria sana mtu wa mtandaoni ukiwa na mambo yako mengi yakufanya kukuingizia kipato wala huwezi pata muda wa kufikiria id za jf.
Unajishughulisha na biashara gani boss unipe kibarua 🤣dharau, unafki, uongo, utapeli vimenisaidia sana.... haswa hapo kwenye uongo na utapeli
napenda ushindani
sio kwenye biashara, mambo mengine tuUnajishughulisha na biashara gani boss unipe kibarua 🤣
mimi huwa nashanga sana mtu anaweka mawasiliano yake sahihi nakufanya biashara na id fake au pengine kuomba msaada wa kiofisi kabisa kwa id fake alafu badae analia ahilia mbali kuamini mambo ya mtandaoni hata ili la id fake nao unapigwa au kupata sonona kweli kuna watu ni hovyo sanaTena fake, kuna member alisema yeye humu anaingia akiwa bar analewa 🤣🤣
Ukifikiria kwa makini yuko sahihi, huwezi kujichosha na watu usiowafahamu
Kuna watu ni masikio ya kenge mpk watoke damu ndio wanasikia, humu ni sehemu ya kuburudika na kupoteza muda masaa yaende tuendelee na mambo mengine.mimi huwa nashanga sana mtu anaweka mawasiliano yake sahihi nakufanya biashara na id fake au pengine kuomba msaada wa kiofisi kabisa kwa id fake alafu badae analia ahilia mbali kuamini mambo ya mtandaoni hata ili la id fake nao unapigwa au kupata sonona kweli kuna watu ni hovyo sana
Sawa bosssio kwenye biashara, mambo mengine tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajishughulisha na biashara gani boss unipe kibarua [emoji1787]
😃🤣🤣🤣🤣🙌Watu wanadharau za kutosha na wametoboa maisha kudadekii
Humu unamjua mtu Kama Ana dharau kutokana na majibu yake ya uchangiaji tu, kinyodo, kimajivuno, kibusara, kinguruwe, ndo utaelewa huyu mtu yukoje kitabia.Humu unamjuaje mtu kama ana dharau?