Ukiwa unaweka mafuta full tank inapunguza ulaji wa mafuta kwenye gari?

Ukiwa unaweka mafuta full tank inapunguza ulaji wa mafuta kwenye gari?

kalanga1

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2017
Posts
318
Reaction score
432
Habarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta?

Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi inakuwa inakunywa sana, je ni kweli?

Kwa wenye uelewa nielewesheni plz.
 
Habarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta ??? Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi inakua inakunywa sana, je ni kweli ?? Kwa wenye uelewa nielewesheni plz
Top up kwenye full tank...ni kweli haili kiviile kama ya kigaloni

Speaking through experience

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ni ukweli mafuta yakiwa mengi unatembea km nyingi hii ni kwa sababu tank inakuwa haina hewa nyingi ambayo husababisha evaporation kutokana na joto na uchache wa mafuta.Mfano tia mafuta Lita kumi endapo gari itazima kabisa halafu angalia km ulizotembea zitakuwa chache ukilinganisha na gari ambayo INA full tank halafu tembea km za Lita kumi wakati gari ilipozima kwa kukosa mafuta jibu litakuja ulaji baada ya full tank ni km za kutosha kuliko za awali.
 
Habarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta ??? Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi inakua inakunywa sana, je ni kweli ?? Kwa wenye uelewa nielewesheni plz
Hakuna jibu la maana ulilopewa hadi sasa. Ukweli ni kwamba ukiweka gari full tank utatumia mafuta zaidi katika kuendesha gari kadiri mafuta yalivyo mengi, kwa sababu mafuta yanakuwa sehemu ya mzigo katika gari kwa hiyo injini inabidi ifanye kazi ya ziada kubeba mzigo wa mafuta.

Kihesabu tunasema fuel consumption is directly proportional to fuel level in the tank; C = kL, where C = fuel consumption rate, k = constant of proportionality, na L ni fuel level in the tank. Hiyo "k" ni assumption kwamba factors nyingine hazibadiliki, mfano idadi ya abiria ndani ya gari. Au kwa njia rahisi ni kwamba, rate ya consumption ya mafuta iko directly proportional na uzito wa gari. Kwa hiyo kadiri unavyojaza tank ndivyo unavyoongeza uzito wa gari na ndivyo gari itakula mafuta zaidi. Ulaji wa mafuta utapungua kadiri mafuta kwenye tank yanavyopungua, au kadiri uzito wa gari (load) unavyopungua.

Hiyo pia ndio sababu ndege haziweki full tank zinaporuka kwenda safari fulani, wanaweka mafuta yatakayotosha kuwafikisha wanapokwenda, na ziada kidogo ya emergency

Ndio maana unashauriwa usiweke vitu usivyohitaji kwenye buti ya gari kwa kuwa inafanya gari itumie mafuta zaidi. Utakuwa umesikia watu wakisema magari ya siku hizi ni karatasi sana tofauti na ya zamani - ni kweli na hilo lilifanyika ili kupunguza uzito wa gari ili lisitumie mafuta kwa wingi.
 
Hakuna jibu la maana ulilopewa hadi sasa. Ukweli ni kwamba ukiweka gari full tank utatumia mafuta zaidi katika kuendesha gari kadiri yafuta yalivyo mengi, kwa sababu mafuta yanakuwa sehemu ya mzigo katika gari kwa hiyo injini inabidi ifanye kazi ya ziada kubeba mzigo wa mafuta.

Kihesabu tunasema fuel consumption is directly proportional to fuel level in the tank; C = kL, where C = fuel consumption rate, k = constant of proportionality, na L ni fuel level in the tank. Hiyo "k" ni assumption kwamba factors nyingine hazibadiliki, mfano idadi ya abiria ndani ya gari. Au kwa njia rahisi ni kwamba, rate ya consumption ya mafuta iko directly proportional na uzito wa gari. Kwa hiyo kadiri unavyojaza tank ndivyo unavyoongeza uzito wa gari na ndivyo gari itakula mafuta zaidi. Ulaji wa mafuta utapungua kadiri mafuta kwenye tank yanavyopungua, au kadiri uzito wa gari (load) unavyopungua.

Hiyo pia ndio sababu ndege haziweki full tank zinaporuka kwenda safari fulani, wanaweka mafuta yatakayotosha kuwafikisha wanapokwenda, na ziada kidogo ya emergency

Ndio maana unashauriwa usiweke vitu usivyohitaji kwenye buti ya gari kwa kuwa inafanya gari itumie mafuta zaidi. Utakuwa umesikia watu wakisema magari ya siku hizi ni karatasi sana tofauti na ya zamani - ni kweli na hilo lilifanyika ili kupunguza uzito wa gari ili lisitumie mafuta kwa wingi.
Loh. Hii sasa ni kali
 
Hilo ni kweli kabisa technical hai make sense full tank na empty tank, vyote vinategemea na mambo mengine kama, aina ya barabara milima au matope, lami , speed unayoenda, unatumia ac au la, na aliyoeleza mkuu comment # 9
Sasa hapa ndio umeongea nini? Technical hai make sense? Full tank na empty tank? - utaendashaje gari na empty tank?

Na unaposema vyote vinategemea na mambo mengine huko ni kutoelewa mambo, kwa sababu msingi wa swali ni matumizi ya mafuta katika conditions zilizo sawa - aina ya barabara sawa speed sawa nk

Umeongea katika mazingira ya kijiweni afadhali tu ungekaa kimya. Kama vitu huvielewi sio lazima utoe comment
 
Hakuna jibu la maana ulilopewa hadi sasa. Ukweli ni kwamba ukiweka gari full tank utatumia mafuta zaidi katika kuendesha gari kadiri yafuta yalivyo mengi, kwa sababu mafuta yanakuwa sehemu ya mzigo katika gari kwa hiyo injini inabidi ifanye kazi ya ziada kubeba mzigo wa mafuta.

Kihesabu tunasema fuel consumption is directly proportional to fuel level in the tank; C = kL, where C = fuel consumption rate, k = constant of proportionality, na L ni fuel level in the tank. Hiyo "k" ni assumption kwamba factors nyingine hazibadiliki, mfano idadi ya abiria ndani ya gari. Au kwa njia rahisi ni kwamba, rate ya consumption ya mafuta iko directly proportional na uzito wa gari. Kwa hiyo kadiri unavyojaza tank ndivyo unavyoongeza uzito wa gari na ndivyo gari itakula mafuta zaidi. Ulaji wa mafuta utapungua kadiri mafuta kwenye tank yanavyopungua, au kadiri uzito wa gari (load) unavyopungua.

Hiyo pia ndio sababu ndege haziweki full tank zinaporuka kwenda safari fulani, wanaweka mafuta yatakayotosha kuwafikisha wanapokwenda, na ziada kidogo ya emergency

Ndio maana unashauriwa usiweke vitu usivyohitaji kwenye buti ya gari kwa kuwa inafanya gari itumie mafuta zaidi. Utakuwa umesikia watu wakisema magari ya siku hizi ni karatasi sana tofauti na ya zamani - ni kweli na hilo lilifanyika ili kupunguza uzito wa gari ili lisitumie mafuta kwa wingi.
tunataka proove kama hizi kwa maswali ya kitaalam,siyo majibu ya kupiga ramli,kama kuna anapinga nae alete formula zake na aproove kama hivi,sio maneno mengi tu.
 
Hakuna jibu la maana ulilopewa hadi sasa. Ukweli ni kwamba ukiweka gari full tank utatumia mafuta zaidi katika kuendesha gari kadiri yafuta yalivyo mengi, kwa sababu mafuta yanakuwa sehemu ya mzigo katika gari kwa hiyo injini inabidi ifanye kazi ya ziada kubeba mzigo wa mafuta.

Kihesabu tunasema fuel consumption is directly proportional to fuel level in the tank; C = kL, where C = fuel consumption rate, k = constant of proportionality, na L ni fuel level in the tank. Hiyo "k" ni assumption kwamba factors nyingine hazibadiliki, mfano idadi ya abiria ndani ya gari. Au kwa njia rahisi ni kwamba, rate ya consumption ya mafuta iko directly proportional na uzito wa gari. Kwa hiyo kadiri unavyojaza tank ndivyo unavyoongeza uzito wa gari na ndivyo gari itakula mafuta zaidi. Ulaji wa mafuta utapungua kadiri mafuta kwenye tank yanavyopungua, au kadiri uzito wa gari (load) unavyopungua.

Hiyo pia ndio sababu ndege haziweki full tank zinaporuka kwenda safari fulani, wanaweka mafuta yatakayotosha kuwafikisha wanapokwenda, na ziada kidogo ya emergency

Ndio maana unashauriwa usiweke vitu usivyohitaji kwenye buti ya gari kwa kuwa inafanya gari itumie mafuta zaidi. Utakuwa umesikia watu wakisema magari ya siku hizi ni karatasi sana tofauti na ya zamani - ni kweli na hilo lilifanyika ili kupunguza uzito wa gari ili lisitumie mafuta kwa wingi.
Hii dunia ina watu waongo kiasi hiki?
 
Ndio, kama wewe Mkuu. Lakini afadhali muongo kuliko mjinga asiyekubali kuelimishwa
Duniani kote Magari yananendeshwa Kwa full tank hata manufacturers wanashauri gari iendeshwe ikiwa full tank...
Faida ya Kwanza...
(1) engine inapoa vizuri
(2)fuel pump inafanya kazi vizuri na itadumu
(3)kiwango cha upepo Kwenye tank unapungua
(4) performance ya gari inakuwa ya Hali juu kuliko empty tank pia kumbuka gari ikiwa full tank inakuwa na Flo nzuri ya mafuta kutoka Kwenye tank Hadi Kwenye nozzle

Hiyo habari ya kusababisha uzito ni uongo pia gari yeyote ukitaka iwe na performance kubwa lazima iwe na uzito ndiyo maana baadhi ya watu wakiendesha Magari pekeyao wanabeba mpaka kiloba cha mchanga ili gari litulie barabaran
 
Back
Top Bottom