Ukiwa unaweka mafuta full tank inapunguza ulaji wa mafuta kwenye gari?

Ukiwa unaweka mafuta full tank inapunguza ulaji wa mafuta kwenye gari?

Kwa experience yangu ya kujaza mafuta full tank nimegundua kwamba ukijaza full tank mafuta hayaendi mengi. Kwa mfano mi nikijaza gari yangu full na nikashindilia kabisa nikiwa natoka dodoma kuja dar natembeaga hadi Morogoro ule mshale wa full ukiwa haujashuka. Hii picha hapa nilikuwa nimetoka Dodoma na hapo nilikuwa chalinze ndo mshale ukawa hivyo
Kwa experience yangu ya kujaza mafuta full tank nimegundua kwamba ukijaza full tank mafuta hayaendi mengi. Kwa mfano mi nikijaza gari yangu full na nikashindilia kabisa nikiwa natoka dodoma kuja dar natembeaga hadi Morogoro ule mshale wa full ukiwa haujashuka. Hii picha hapa nilikuwa nimetoka Dodoma na hapo nilikuwa chalinze ndo mshale ukawa hivyoView attachment 1811016
1. Gari gani
2. Hyo ni presure ya kwenye tank
3. zima gari kisha baada ya muda washa utaona actural reading ya mafuta
 
Habarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta?

Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi inakuwa inakunywa sana, je ni kweli?

Kwa wenye uelewa nielewesheni plz.
Kimsingi naweza nikakubaliana na wewe sababu hata mie huwa naona kuna tofauti kubwa sana katika uwekaji wa mafuta ya kibaba na mafuta yakiwa full tank!

Kimsingi naona ulaji ni mzuri zaidi sababu jino moja la full tank hadi lidondoke ni sawa na ungeweka mafuta ya elfu 10 trip hata 3!

My experience!

Nikiweka litre 4.6 zutu la 10K naweza kwenda trip ya 40KM taa ikawaka tena ila incase nimeweka full tank hadi nikate kile kijino kimoja pale kwenye gauge nitakuwa nimetembea 100KM au zaidi! Sijajua sayansi ya nyuma ya hili tukio ila kimsingi gari huwa inakula mafuta vizuri ikiwa tank limejaa wese in full!

Hii inasaidia sana pia hata wale wenye engine kubwa kama V6 ama V8 wanaweza toa ushuhuda zaidi!
 
Kimsingi naweza nikakubaliana na wewe sababu hata mie huwa naona kuna tofauti kubwa sana katika uwekaji wa mafuta ya kibaba na mafuta yakiwa full tank!

Kimsingi naona ulaji ni mzuri zaidi sababu jino moja la full tank hadi lidondoke ni sawa na ungeweka mafuta ya elfu 10 trip hata 3!

My experience!

Nikiweka litre 4.6 zutu la 10K naweza kwenda trip ya 40KM taa ikawaka tena ila incase nimeweka full tank hadi nikate kile kijino kimoja pale kwenye gauge nitakuwa nimetembea 100KM au zaidi! Sijajua sayansi ya nyuma ya hili tukio ila kimsingi gari huwa inakula mafuta vizuri ikiwa tank limejaa wese in full!

Hii inasaidia sana pia hata wale wenye engine kubwa kama V6 ama V8 wanaweza toa ushuhuda zaidi!
Ukiweka full ukasafiri highway, consumption ni nzuri sana. Mi jino 1 linaweza shuka nikiwa nimeshakaribia msata kabisa.

Ila hizi town trips, mshale unatembea kama kawaida tu.
 
Mleta mada amechanganyikiwa, hajui ashike lipi!
Kama ulikwepo, nimebaki mtazamaji tu, lakini me nimeshajaza full tank nimeacha kuweka vibaba, kutokana na kwamba michango mingi humu inasema hvy. Na mimi nikiweka mafuta ya vibaba natumia kidogo tu yanaisha. Na experiance yangu nilionayo. Kuna siku nimeweka gari full tank nikawa naenda mkoa. Nimefika morogoro mjini mshale bado upo full
 
Shida kubwa hapa, tulio wengi tunanunua mafuta kwa kiwango cha pesa (say Sh50,000) na sio ujazo (e.g. 20L). Shida ya perception ya matumizi ya mafuta nafikiria inaanzia hapo. Price per litre inaweza kutofautiana kutoka siku hadi siku, kituo hadi kituo na mkoa hadi mkoa.

Nikiwa natoka dar kwenda mikoani, najaza full tank (bei ya dar ipo chini). Nikitoka mkoa kuja Dar, naweka kidogo kidogo.

Natamani watengenezaji wa magari waje na namna ya kuonesha (digitally) kiwango cha mafuta kwenye tank kwa litres (badala ya mshale ambao haumuwezeshi dereva kujua kwa uhakika ujazo wa mafuta katika gari yake at a particular point/time).
 
Hapa wametuchanga watu sio poa wamekuja watu na mahesabu.,, sasa ngoja tusikie na size ya rim inaongeza ulaji wa mafuta. Sijui nishike lipi hapa mara ujaze mafuta asubuhi sio mchana kwenye joto.
 
Si kwamba ukiwa full tank ulaji wa mafuta unapungua, hapana, wengi wanasema hivyo kwa kigezo cha mshale wa gage ya mafuta.

Niliwahi kifuatilia hili suala, nikafahamu kuwa baadhi ya magari hizo gage huwa zinaonyesha false positive hasa ukiwa umeshatumia angalau nusu ya tenki, ukweli upo kwenye Odometer tu, kama gari inakula lita 5/km itakula hivyo iwe full tank au la!

Gage nyingi zinasoma vizuri mafuta yakiwa yamejaa, na ni kwa sababu inakua na kaboya kana elea, saa nyingine kanakua kama kamejam, unaeza ona kamshale kapo juu ukajua mafuta hayapungui, ila mafuta yanapungua kama kawaida yanavyotakiwa kupungua.

AN296152-Fig-1.jpeg
 
Hayo ni maneno tu ya mtaani...
Uweke full tank uweke kigaloni fuel consumption lazima ikupe kilometa zinazo takiwa.... Ukiona gari yako inakula mafuta ujue lina shida...
Subbie yangu mwaka wa 2 sasa, naunga unga nayo mafuta ya elfu10 nazunguka kilometa 45.
 
Loh. Hii sasa ni kali
Muongo huyo na mbabaishaji!! fanya hivi Jaza gari yako mafuta full tank!! fanya safari zako za kwaida kazini, Kariakoo then, Home, angalia ulaji wake wa mafuta!!! je ukoje?

Pili yakiisha hayo ya full tank sasa weka mafuta Robo tank, linganisha na gari inapokuwa full tank kwa safari zako unazo fanya!! Ni hivi gari ikiwa nzito inakita barabarani vizuri, inasesereka kwa kasi nzuri, ikiwa nyepesi haina uzito inaruka ruka tu!! haikiti barabara vizuri! inapiga kelele kwa mbaali na kutetema kochoko!!!chokocho!!!

jaribu kubeba Mzigo, Viroba vya mchanga au abiria wanene (miji Mama) uone gari inavotulia barabarani, hilo moja!! yaani hapa nakupa neno na ujipime kabisaa kama nilivo kwambia, hata km upo mkoani kadiria halafu fanya hivo ulipime gari lako ulajiwake.

la pili Mpendwa Nitumie picha yako in Box, km hutajali unionyeshe Miguu yako kuanzia kwenye Magoti kwenda chini nikushauri kitu!!! but asikuone mtu lkn!! unachofanya haya ni mambo yetu tu sisi wawili hapa nina maana kuwa ...

Km Miguu yako ni mizito/minene Ile miguu ya Bia Gari yako itakula mafuta sana, kuendana na ukandamizaji wako, kwa sababu una kandamiza accerelator kwa uzito wa guuu bila kujua, hence more unnecessary fuel consumptions,

Pale unachotakiwa kufanya ni kukanyaga kiiiduuuchu km unaibia vile !!!, yaani vidole tu!! ukiiwezea hii art na kwambia nitakuwa nimeroga kabisaaa gari yako!! na utasave hela nyingi za kula chips kazini. hakika utanenepa!

So then gari ikikita na kukamata speed unakuwa km unatoa mguu wako hivi taatibu mno!! kwa kupandisha kamguu juu! yaani km hutaki kuikanyaga kimkandamizo, Labda nikujuze hao wanao sema eti full tank inakula sana mafuta miguu yao ni mizito mno,

Labda kabla sijaendelea na mengine weka akilini kwamba kuendesha gari lolote na mahali popote pale kwa mafanikio na kwa matokeo yeyote yale mazuri yasiyo kuumiza it's an art !!! born with Talent,

ambayo pia unaweza ku-i acquire kutoka kwa watu wengine, km mimi hapa navo kueleza. that's why Utaona Magari ya Halmashauri ya wilayani kwenu yanatofautiana kwa ubora kutoka Dereva mmoja na mwingine,

wakati magari yote hayo yamenunuliwa Mwaka mmoja Kampuni moja, na aina moja, lkn ajabu sasa la huyu lina chakaa mapema na la huyu km jipya vile! na yanafanya kazi moja ileile ya kupeleka chanjo Milimani huko!!! kwa nini?

sometimes wao hao Drivers si wepesi kufanya maamuzi garini pia si wepesi wa kulegezea mzigo wa uzito kwa accerelator, yaani akikanyaga ni amekanyaga guu lote anauma na meno, utadhani anaikomoa gari!! wengine ni maumbile akikanyaga ni amekanyaga.

kwa kufanya hivi kukanyagia sana kule kwa engine Mafuta lazima yaende kuungua kwa kasi isiyo ya lazima!! jifunze kuibia ibia kukanyaga accelerator ndo dawa mwanana kuzuia consumption ya mafuta,

ukitaka kuamini nayokwambia unaweza kulipima hili jambo langu nalo kwambia,kirahisi sana!! kwakutumia gari yako hiyo hiyo.....fanya hivi....kwa safari moja au mbili...

Angalia level ya mafuta!! yale yale anayo tumia Mkeo/Mmeo kwenda Temeke/Mbezi beach!! atatumia zaidi ya lita moja!! na mafuta hayo hayo kwa kiwango hicho hicho, ukifuata utaratibu wangu huu utaona ume tumia robo lita tu! kwenda na kurudi Temeke ukitokea Mbezi beach!.

Jua wazi kuwa Evaporation rate! pia inachangia sana ulaji wa mafuta ktka gari lako, kwa sababu kunanafasi imeachwa wazi katika tank la mafuta, Huyo jamaa ulie mjibu hapo juu amaelinganisha ulaji wa mafuta ya gari na n ndege!!! si kweli!! hata kidogo,

Ndege inatumia mafuta mengi wakati wa kupaa na kutua tu Baas! ni hivi ndege ikiwa angani ni nyepesi mno km unyoya wa kuku Mdada Mdogo tu! km wewe una weza hata kuipiga kofi moja tu! ikayumba ile mbaya!

Hii ni sayansi ya form two na tuliisoma kwenye Jr Physics, ila watu hawazingatii walojifunza!! au wamesahau ajili ya kunywa ulanzi wenye chumvi, sometimes Mafuta kwa ndege yanapunguzwa purposely ajili ya usalama na ajali zinazo weza tokea!

Yangu ni hayo tutaonana in box
 
Duniani kote Magari yananendeshwa Kwa full tank hata manufacturers wanashauri gari iendeshwe ikiwa full tank...
Faida ya Kwanza...
(1) engine inapoa vizuri
(2)fuel pump inafanya kazi vizuri na itadumu
(3)kiwango cha upepo Kwenye tank unapungua
(4) performance ya gari inakuwa ya Hali juu kuliko empty tank pia kumbuka gari ikiwa full tank inakuwa na Flo nzuri ya mafuta kutoka Kwenye tank Hadi Kwenye nozzle

Hiyo habari ya kusababisha uzito ni uongo pia gari yeyote ukitaka iwe na performance kubwa lazima iwe na uzito ndiyo maana baadhi ya watu wakiendesha Magari pekeyao wanabeba mpaka kiloba cha mchanga ili gari litulie barabaran

Umeelewa point ya Synthesizer lakini mkuu? Tunaongelea fuel consumption (utumiaji wa mafuta)

Kuhusu stability ni kweli uzito unahusika lakini alichokieleza kinatija.

Gari yenye abiria watano itaenda 60 km/h kwa mafuta mengi zaidi tofauti na gari yenye abiria mmoja.

Yeye amejikita kwenye hoja ya full tank inaongeza uzito wa gari na kusababisha matumizi makubwa ya mafuta. Umewahi kujiuliza kwanini tairi za dharura ni ndogo na nyepesi? Zina athari kwenye uzito wa gari na kwa namna moja kusababisha mafuta mengi kutumika.

Nafikiri imani kwamba ukiweka mafuta full tank yanatumika vizuri ni kwa sababu hauingii kujaza mafuta mara kwa mara.
 
saa nyingine kanakua kama kamejam, unaeza ona kamshale kapo juu ukajua mafuta hayapungui, ila mafuta yanapungua kama kawaida yanavyotakiwa kupungua.
Kaki jam!! karekebishe!! ili uende sawa!! ukiona kamshale kako juu wakati unaamini umekula trip sana jiulize kwa nini kamshale kako juu!!! hata pressure ikijaa kwa tank lazima kamshale kawe juu!! Maajabu ni hivi....

Hapo hapo bila kuchelewa Ukifungua mfuniko wa tank la mafuta ya gari lako!! hako kamshale kako kata rudi chini faster fyuuuu!!! so ni wazi kalikuwa juu ajili ya internal combustion pressure!!

Ukiona gari imekwisha Mafuta kabisaaaa!! hasa Escudo Lkn itatembea zaidi ya km 20 kwa nini?? ileile Pressure inayotokana na Mafuta inatosha kulipeleka gari mbali sana kuliko unavo dhania. na yakikuishia hapa kwa style hii, then ukaweka mafuta tena


hapa kuliwasha gari itakuchukua muda mrefu, gari halitawaka mara moja kama ulivo zoea!! sababu ya Tank fuel presure iliyo kuwemo humo! haimo!! Na mshale unakuonnyesha kabisaaa fuel tank empty lkn linawaka
waweza enda fika hata chalinze kwa baadhi ya gari, lkn kuliwasha tena pindi likizimika ndo mtihani
 
Duniani kote Magari yananendeshwa Kwa full tank hata manufacturers wanashauri gari iendeshwe ikiwa full tank...
Faida ya Kwanza...
(1) engine inapoa vizuri
(2)fuel pump inafanya kazi vizuri na itadumu
(3)kiwango cha upepo Kwenye tank unapungua
(4) performance ya gari inakuwa ya Hali juu kuliko empty tank pia kumbuka gari ikiwa full tank inakuwa na Flo nzuri ya mafuta kutoka Kwenye tank Hadi Kwenye nozzle

Hiyo habari ya kusababisha uzito ni uongo pia gari yeyote ukitaka iwe na performance kubwa lazima iwe na uzito ndiyo maana baadhi ya watu wakiendesha Magari pekeyao wanabeba mpaka kiloba cha mchanga ili gari litulie barabaran
Safi sana km huna gari nunua sasa hivi nakwambia!! naongezea hapo kwenye Point number 4. Ukifanya hivi Gari litadumu sana hata miaka 70 net!! Garage utazisikia!! manake Engine hiyo itadumu mpaka ulie pooo!!

watu hawajui tu hivi vimafuta kiduchu kiduchu ni kuwa engine inanyonya sana uchafu!! kitu hiki kinaharibu ubora wa gari na halidumu!! linachakaa faster
 
Ndio, kama wewe Mkuu. Lakini afadhali muongo kuliko mjinga asiyekubali kuelimishwa
Bado tu!! ndo unazidi kuwa muongo , chaka kabisaa!! Muongo hana cha uafadhali!! kwa sababu hataishi!! Uliwahi sikia kale kawimbo ka Marehemu Lwanzo ''Muongo na mulozi'' Bora Mjinga sababu ataiona kesho!! Muongo ata angamiza jamii yote!!! Tumfanyeje?

Alijibu ni watu wa kuchoma, lkn Mjinga aahaa! ni bora!!!.... jamii itaishi na yeye ataishi yaani ni wa daraja la juu kuliko, Muongo na Mulozi!!! make hawa wata chomwa! kwa mujibu wa Francoo!

Mjinga ni cheo! huyu anaweza akaelimishwa na akaelewa zaidi, kuliko muongo..... Nabii mmoja kunako Biblia aliwahi sema na nukuu ''Muongo ukimtwanga akawa km uji au maji!! ukamuumba upya!! atamuumba na uongo wake tena!! humo humo!!!''

Nachelea kudhani kuwa ni cheo kikubwa sana kuwa .....Mjinga wa waongo.....na wote mnajua jamani Muongo ni nani katka Biblia.....aliyefanya tukasota mpaka leo!!........bila aibu alimdanganya hata Yesu eti ajitupe chini mweee!!
 
Back
Top Bottom