Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Hapo hatukuwa tunaongelea accuracy ya kuzidisha, tulikuwa tunaongelea concept ya ujazo wa mafuta na uhusiano wake na uzito. Kwa mfano, kama gari inatumia diesel (0.85 kg/l) nikasema ukiweka lita 45 ni kama kilo 45, tatizo ni nini? Wewe unataka hadi nichukue calculator nikupe jibu kamili ndio utaelewa concept?Kwa kukusaidia chukua hiyo hiyo 45 zidisha mara 0.7 halafu ukipata jibu jishike kifuani sema kwa sauti kuu "MIMI NI POYOYO"
Kwa hiyo a cold petrol engine is more fuel efficient than a warm engine? What is the optimum engine temperature for efficient fuel consumption, 0° C?We jamaa ni mweupe tayari mpaka hapo. Hilo swali lako namba moja linakuaibisha.
Hivi unajua petrol inakuwa vapour katika joto lipi?
Katika joto la -40° Cpetrol inaweza kuevaporate.
Unajiabisha.
Hii analysis yako siyo sahihi from a logical point of view Witness,Top up kwenye full tank...ni kweli haili kiviile kama ya kigaloni
Speaking through experience
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
we huwezi kunichallenge chochote kwenye magari. Hapa unaandika matakataka tu.Kwa hiyo a cold petrol engine is more fuel efficient than a warm engine? What is the optimum engine temperature for efficient fuel consumption, 0° C?
Kakojoe ulale!
Nilikuambia kazidishe halafu ukipata jibu ujiite poyoyo. Hakuna IST inatumia Dizeli. Maada ilikuwa Lita 45 ni approximate 45kg.Hapo hatukuwa tunaongelea accuracy ya kuzidisha, tulikuwa tunaongelea concept ya ujazo wa mafuta na uhusiano wake na uzito. Kwa mfano, kama gari inatumia diesel (0.85 kg/l) nikasema ukiweka lita 45 ni kama kilo 45, tatizo ni nini? Wewe unataka hadi nichukue calculator nikupe jibu kamili ndio utaelewa concept?
Kumbe hata kiingereza hujui.we huwezi kunichallenge chochote kwenye magari. Hapa unaandika matakataka tu.
Unashinda unahamisha magoli.
Naona sasa hivi tumeanza kujadili fuel efficient at 0° C.
Kwa kukusaidia tu wewe mburula. Kinachofanya kuwa na fuel efficient nzuri ni joto la engine na siyo joto la mafuta. Hata ukiamua kuliimmerse tank lako kwenyw Ice as long as joto la la coolant limeshafika optimum temperature gari itatumia mafuta vizuri.
Kule nyuma kuna sehemu uliandika eti joto la engine lina uhisiano gani na tank la mafuta. Aiseee pale nikakuona mburula wa mwisho. Magari huyajui.
Kuna gari nyingi sana ambazo zina fuel return inayotoka kwenye engine kurudi kwenye tank. Kwa akili yako unadhani yale mafuta yatakuwa ya baridi?
Gari zote za kisasa ambazo ni returnless zina EVAP ambayo ni special kwa ajili ya kucontrol evaporation ya petrol kwenye tank.
Uendesjaji wako ndio husave ama kula mafuta hasa matumizi sahihi ya RPM.. Hiyo ya kuweka full tank ni nzuri tu kwa kuwa hutaingia kituo cha mafuta mara kwa maraHabarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta?
Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi inakuwa inakunywa sana, je ni kweli?
Kwa wenye uelewa nielewesheni plz.
Tumeshahamia kwenye kufundishana Kingereza?Kumbe hata kiingereza hujui.
Faida za kuweka mafuta full tank ni nyingi kuliko hasara.Uendesjaji wako ndio husave ama kula mafuta hasa matumizi sahihi ya RPM.. Hiyo ya kuweka full tank ni nzuri tu kwa kuwa hutaingia kituo cha mafuta mara kwa mara
[emoji817][emoji736][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Faida za kuweka mafuta full tank ni nyingi kuliko hasara.
Kwa petrol.
1. Wanasema gari yako inaishi maisha marefu unapoweka full tank.
2. Full tank inasaidia cooling ya pump.
3. Full tank inafanya tank lako lisipate kutu sababu ya condensate za maji.
4. Mafuta yakiwa Mengi hizo condensate na uchafu mwingine hazitakuwa sucked na pump.
5. Na mwisho full tank inapunguza formation ya fumes za petrol above the tank.
Hizo point zako 1-4 ndio nilizoziita "constant of proportionality" kwenye maelezo yangu. Huwezi kuzifanya zikawa "variables" wakati unataka kufanya ufafiti gari inakula mafuta zaidi ikiwa full tank au half tank. Kwa hiyo tuko palepale.Sasa mabishano hatutaki tena...
Tuhitimishe.
Suala la gari kutumia mafuta mengi kuliko umbali uliokadiriwa huchangiwa na
1..Uendeshaji wako
2..Uchakavu wa gari
3..Service duni hususani spark plugs, air filter na oil zisizo na ubora..
4..Aina ya barabara unayotumia, rough/foleni kali au namna gani
Acha ligi barabarani, acha gari lichanganye lenyewe..
Mwisho...weka mafuta full tank kwa maisha marefu ya pump yako na fuel injectors...mafuta ya kibaba yanafanya pump ivute uchafu unaolala chini kweny tank na kufanya injectors kuwa mbaya..
Dah...enzi zile za skonga...hii tulikuwa tunaita kuingia Chaka.....hoja ya Uzi ni nyingine na wewe unahitimisha kivingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]Sasa mabishano hatutaki tena...
Tuhitimishe.
Suala la gari kutumia mafuta mengi kuliko umbali uliokadiriwa huchangiwa na
1..Uendeshaji wako
2..Uchakavu wa gari
3..Service duni hususani spark plugs, air filter na oil zisizo na ubora..
4..Aina ya barabara unayotumia, rough/foleni kali au namna gani
Acha ligi barabarani, acha gari lichanganye lenyewe..
Mwisho...weka mafuta full tank kwa maisha marefu ya pump yako na fuel injectors...mafuta ya kibaba yanafanya pump ivute uchafu unaolala chini kweny tank na kufanya injectors kuwa mbaya..
ni nzuri tu kwa kuwa hutaingia kituo cha mafuta mara kwa mara nimeipendaUendesjaji wako ndio husave ama kula mafuta hasa matumizi sahihi ya RPM.. Hiyo ya kuweka full tank ni nzuri tu kwa kuwa hutaingia kituo cha mafuta mara kwa mara
Usisubiri kuisha, yatakuishia na huna kitu, we jaza full tank, yakipungua kiasi fulani unajazilizia.AHSANTENI KWA MICHANGO YENU JAMANI NITAJITAIDI KWANZIA LEO NITAKUWA NAWEKA FULL TANK YAKIISHA TENA NAWEKA FULL
hii mimi inanisaidia ata kwenye bajeti ukijaza full tank na ukaweka utaratibu wa ila mwisho wa wiki hizi emergency za katikati ya wiki unazikwepa sana ...Usisubiri kuisha, yatakuishia na huna kitu, we jaza full tank, yakipungua kiasi fulani unajazilizia.
We jamaa muongo kweli wewe duuh,uhalisia gari inapokuwa na full tank ulaji unakuwa mzuri unapata km za kutosha tofauti na mafuta ya kidebe.Hakuna jibu la maana ulilopewa hadi sasa. Ukweli ni kwamba ukiweka gari full tank utatumia mafuta zaidi katika kuendesha gari kadiri yafuta yalivyo mengi, kwa sababu mafuta yanakuwa sehemu ya mzigo katika gari kwa hiyo injini inabidi ifanye kazi ya ziada kubeba mzigo wa mafuta.
Kihesabu tunasema fuel consumption is directly proportional to fuel level in the tank; C = kL, where C = fuel consumption rate, k = constant of proportionality, na L ni fuel level in the tank. Hiyo "k" ni assumption kwamba factors nyingine hazibadiliki, mfano idadi ya abiria ndani ya gari. Au kwa njia rahisi ni kwamba, rate ya consumption ya mafuta iko directly proportional na uzito wa gari. Kwa hiyo kadiri unavyojaza tank ndivyo unavyoongeza uzito wa gari na ndivyo gari itakula mafuta zaidi. Ulaji wa mafuta utapungua kadiri mafuta kwenye tank yanavyopungua, au kadiri uzito wa gari (load) unavyopungua.
Hiyo pia ndio sababu ndege haziweki full tank zinaporuka kwenda safari fulani, wanaweka mafuta yatakayotosha kuwafikisha wanapokwenda, na ziada kidogo ya emergency
Ndio maana unashauriwa usiweke vitu usivyohitaji kwenye buti ya gari kwa kuwa inafanya gari itumie mafuta zaidi. Utakuwa umesikia watu wakisema magari ya siku hizi ni karatasi sana tofauti na ya zamani - ni kweli na hilo lilifanyika ili kupunguza uzito wa gari ili lisitumie mafuta kwa wingi.
Salama sana baba yake na jet na bruce...hii mimi inanisaidia ata kwenye bajeti ukijaza full tank na ukaweka utaratibu wa ila mwisho wa wiki hizi emergency za katikati ya wiki unazikwepa sana ...
mkuun salaaam
kwema kabisaSalama sana baba yake na jet na bruce...
Kwema namshukuru muumba mzee, sijui wewe ndugu yangu.kwema kabisa