Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
hapana mm nakataa mama ni mama 😍
Wapo wengi sana. Zunguka uyaone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wengi sana. Zunguka uyaone.
kwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
WorseYaani yeye kila siku analalamika she is hating people
Na mbaya zaidi yupo ccm that is too worst .
While my daddy is very humble generosity and visionary
I respect herhapana mm nakataa mama ni mama 😍
Kwa faida yako kaa nae mbali. Atakutia manuksi tu.Sema naumia Sana when I see her she is. Living mediocre life
KabisaMiaka hii hakuna kusema kitu. hata maombi jiombee mwenyewe.
Hata wachawi na wahuni wanazaa.I respect her
Ila MTU yeyote anaweza kuzaa
yah ipoI respect her
Ila MTU yeyote anaweza kuzaa
ThatJifunze and kuwa makini who you are sharing with, nikiwahi pitia kitu kama hiko. Turns out wabaya wako wanatoka kwenye familia , si ajabu hata ndugu wa damu.
Muombe mungu atakufungulia, lakin utashangaa ni wale watu unao waamini.
kuwa makin and dont share nao chochote anymore, stay vigilant
ThatJifunze and kuwa makini who you are sharing with, nikiwahi pitia kitu kama hiko. Turns out wabaya wako wanatoka kwenye familia , si ajabu hata ndugu wa damu.
Muombe mungu atakufungulia, lakin utashangaa ni wale watu unao waamini.
kuwa makin and dont share nao chochote anymore, stay vigilant
Nikwambie jambo gumu leo, samahani lakini: Mamako mchawi...Nimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
Nikwambie jambo gumu leo, samahani lakini: Mamako mchawi...
Kwani hakuna wamama wachawi, peleka huko uwana harakati wako mchawi ni mchawi tu hata kama ni mama!kwahy umeamua kumdhalirisha mama yako?
kuna watu akili zinawatosha wenyeweNikwambie jambo gumu leo, samahani lakini: Mamako mchawi...
Sawa kabisa ni lugha tu za kutambulisha mambo mengi, hasa wazungu wanapenda kuita negative energy, au positive energy na Mungu wanasema ni energy to pengi ne source of energy na hawapendi kumwona Mungu kama nafsi hai yenye utashi.Duuh - hapana Ila Mimi naamini Ana negative energy
Uchawi ni kitu ambacho huwa sikiamini kabisa Kama kipo
Mimi nimejifunza Sana kuhusu Nishati and universe
BICHWA KOMWE anajua zaidi kuhusu negative energy
just respect her 🙌 even if mchawi but respect be cool ongea nae pole pole perception huwa aziondoki kwa siku mmoja mtakuja kupata laanaKwani hakuna wamama wachawi, peleka huko uwana harakati wako mchawi ni mchawi tu hata kama ni mama!
Huo ndiyo uchawi wenyewe. Kuwa na uwezo wa kutumia negative energy kuharibu afya na mafanikio ya mwingine ndo ulozi wenyewe.Duuh - hapana Ila Mimi naamini Ana negative energy
Uchawi ni kitu ambacho huwa sikiamini kabisa Kama kipo
Mimi nimejifunza Sana kuhusu Nishati and universe
BICHWA KOMWE anajua zaidi kuhusu negative energy
Sina uhakika kwa wengine, ila kuna faida kubwa sana kuoa Mke mwana maombi, unaweza kuwa upo misele yako mwenzio yupo magotini kuombea riziki na amani nyumbaniNimekuja kugundua kuna familia zina negative energy
Nimefatilia hili jambo nikimwambia mzee wangu jambo lolote lazima litiki.
Ila nikimwamwabia my mom kila kitu kinakwama kwa 100%
My mama anatoka familia masikini yenye kuamini uchawi na fitina
Nimekuwa nikimfundisha my mama kuwa we need to trust in GOD uchawi ,negativity its just illusion.
Wakuu ukitaka kuoa make sure unatafuta mwanamke kutoka katika familia bora. Ambazo zipo educated and civilized.
no
just respect her 🙌 even if mchawi but respect be cool ongea nae pole pole perception huwa aziondoki kwa siku mmoja mtakuja kupata laana