Salaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba katika maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahani hata kwa kuigiza, atafurahi sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanishi zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba katika maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahani hata kwa kuigiza, atafurahi sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanishi zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.